love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
- #41
Duuh!!! me najua ameelemewa na buyu la asali..Jambo moja unatakiwa kulijua ni kuwa,
Mbowe anapokaa kimya Huwa ni hatari ktk kupanga mikakati kuliko hata anapokuwa jukwaani.
Uchaguzi Leo hii ukifanyika Kwa HAKI, CDM wanapaita 70% ya wabunge wote.
Hao wabunge anaweza kuwapata lakini sio kwa juhudi zake ila uzembe wa awamu iliyopo