CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
DJ mzee wa deal anawachora watu wanaojifanya Wana vibe anawazoom tu alafu anachekaaaaaa.
 
Ni mara ya saba sasa..A simple majority does not suffice according to the rules..ni lazima Kura zizidi nusu ya members waliopo House of Representatives ambayo ni 218... Wataendelea hivo hata mwaka mzima,hata mwaka mmoja..rekodi ni spika kuchaguliwa baada ya Kura kupigwa na kurudiwa mara 137 kama sikosei...

McCarthy hapati Kura kwasababu kwa SASA chama chake kina watu wenye mirengo tofauti,,kuna wanaojiita MAGA Republicans na hawa wa zamani kwa jina maarufu na la utani mitandaoni wanaitwa RINOs( Republicans In Name Only) .ningependa kuongelea kwa upana mirengo yao inahusu nini kiufupi hawa MAGA wamechoka kupelekeshwa..Wana mambo Yao wameyaweka mezani ambayo kama McCarthy atayakubali atakua spika,akiyakAtaa wataendelea kupiga Kura mpaka kuchere...

Hivyo ndio jinsi wenzetu wanavyoforce concessions,sio kuitwa ikulu na Kula vitumbua Kesho yake wanaanza kusifia kuachiliwa mikutano ambayo ni haki Yao ya kikatiba sio baraka za Rais
Duuh Asante mkuu. Wenzetu wako mbali Sana hakunaga kuunga mkono juhudi kidwanzi.
 
Kinyago cha kuchongwa na abdul hakina magakha, watapewa wabunge wa mserereko wawe political shield
 
Back
Top Bottom