CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

Hivi wewe ulitaka Mbowe afanyaje?
Ni mapema mno kuwahukumu wapinzani.
Ebu tulieni kwanza muone kama malalamiko yao kama hayatafanyiwa kazi ndo mje hapa.
Vinginevyo nyinyi ni wale mliokuwa mnanufaika na ule uhasama uliokuwepo kati ya ccm na upinzani

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
hayo malalamiko yao yatafanya wabunge waliopita bila kupigwa 2020 wapewe chadema!?
Dj anajua hana chakupoteza ndio maana analamba asali wala hajali kitu.
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.

Erythrocyte umeiona hii hapa ambayo ni pure n simple.
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Haaaa chadema ni machizi walai ....nso wamejiunga na team wanya akili na kubakisha mafii kichwani....au kwa kifupi chawa wa mama
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Sasa wakamponde magufuli jukwaani waonekitacho wakuta
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Mana hapo kwanza nchekeh 🤣
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Ila sijaona facts zako juu ya madai yako ya CDM kukosa kura kwa watanzania!!
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Na endapo ccm inaweza kufanya uchaguzi huru bila vyombo vyengine kuingilia michakato ya uchaguzi mfano policcm, nec, tiss n.k.

Na bila ya kuteka na kupiga kura feki na kufanya dhulma yoyote inayoweza kupelekea uchafuzi nakuahidi kununulia simu yoyote ya kuanzia 100000tsh hadi 500000 tsh.
 
Huko Marekani,Leo Kevin McCarthy anaweza asiwe Speaker wa Bunge la wawakilishi Marekani,kisa Tu alikuwa anahujumu juhudi za baadhi ya wawakilishi ndani ya chama chake chenyewe katika utumishi wao kwa zaidi ya miaka minne sasa,,Leo McCarthy ana hitaji Kura 218 awe speaker,Republicans wapo 222, hao watu aliowahujumu miaka nenda Rudi wamekuwa kundi la watu zaidi ya 20+ na wanamnyima uspika MTU wa chama chao...

Kwanini nayasema haya, upinzani wa nchi hii Walikua na nafasi nzuri Sana ya ku-negotiate mambo ya msingi,wamehujumiwa kwa muda mrefu..hii ni kwasababu inaonekana namba moja amebanwa Huko na wahisani. Lakini kwa concessions hizi za kuachiwa wapige mayowe kwenye majukwaa tu,Hapana..Either they can't negotiate au they have negotiated their political futures in the Parliament 2025 and left the country to rot..

Anyway Kila MTU ale kwa urefu wa kamba yake.Wajamaa wameongeza urefu wa kamba.. WEWE JE?
Mkuu natamani unipe. Shule kidogo kuhusu uchaguzi huo waspika naona mpaka leo wanachagua Mara ya nane bado McCarthy kura hazitoshi. Kwanini hawampi yule aliye na kura nyingi ushindi. Sasa si watakaa mwezi mzima bila kumpata spika
 
Mkuu natamani unipe. Shule kidogo kuhusu uchaguzi huo waspika naona mpaka leo wanachagua Mara ya nane bado McCarthy kura hazitoshi. Kwanini hawampi yule aliye na kura nyingi ushindi. Sasa si watakaa mwezi mzima bila kumpata spika
Ni mara ya saba sasa..A simple majority does not suffice according to the rules..ni lazima Kura zizidi nusu ya members waliopo House of Representatives ambayo ni 218... Wataendelea hivo hata mwaka mzima,hata mwaka mmoja..rekodi ni spika kuchaguliwa baada ya Kura kupigwa na kurudiwa mara 137 kama sikosei...

McCarthy hapati Kura kwasababu kwa SASA chama chake kina watu wenye mirengo tofauti,,kuna wanaojiita MAGA Republicans na hawa wa zamani kwa jina maarufu na la utani mitandaoni wanaitwa RINOs( Republicans In Name Only) .ningependa kuongelea kwa upana mirengo yao inahusu nini kiufupi hawa MAGA wamechoka kupelekeshwa..Wana mambo Yao wameyaweka mezani ambayo kama McCarthy atayakubali atakua spika,akiyakAtaa wataendelea kupiga Kura mpaka kuchere...

Hivyo ndio jinsi wenzetu wanavyoforce concessions,sio kuitwa ikulu na Kula vitumbua Kesho yake wanaanza kusifia kuachiliwa mikutano ambayo ni haki Yao ya kikatiba sio baraka za Rais
 
Back
Top Bottom