kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Kitu ambacho ni lazima tuseme ni kimpa sifa Mh mbowe, huyu mwamba anjua biashara ya siasa. Wa pili ni ZZK... hawa watu ni wabaya wa biashara hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda amekuwa compromised na amelowa mbele mtoto wa kike...
Kweli hamna mkate mgumu kwenye maji..
Kwahiyo mpk Leo bado huoni kama mabuyu ya asali yameelemea watu?Ndicho mlichobakiza hakuna jingine. Semeni hamjafurahia, acheni kujificha.
Dua la kuku hilosukuma gang hatuja furahi kabisa tunajua 2025 mtakapo pata kura moja mtasingizia yalikuwa ni maagizo ya Magufuli.
Mbona analalamika kwenye mitandao mkuu pamoja na Lema na viongozi wengi tu ndani ya chamaMa
Makamu Mwenyekiti yupo nje ya nchi, ila nadhani anapata info zote. Na Kuna kipindi aliweka pressure ndio maana hata Leo wametangaza mikutano ya hadhara ipo huru.
sawa ngoja tusubiri mda utakapofika mkiomba maridhiano tenaDua la kuku hilo
kura itategemea busara za mwenyekiti wa ccm akiamua anaweza kuwapa hata negative
Nakukumbusha mkuu..
Hao ambao unahisi wamebadilika subiria 2024-2025 tutakuwa hapa hapa Allah atupe uzima tu.
Mbowe ameshakuwa toothless kutokana na kesi ya ugaidi,wamemhack wanamuendesha wanavyotaka.
Remote anayo mama said na kamwe Mbowe awezi kusema nyuma ya pazia yaliyoleta press conference ya leo.
Mtasuburi sana kama mnavyosubiri gwajiboy amfufue yule dhalim aliyeko jehanamsawa ngoja tusubiri mda utakapofika mkiomba maridhiano tena
Asali hamuangalii bwasheeTuheshimiane. Matusi ya Nini una hasira kumzidi Mwenyekiti wa CCM? Au Mzee Makamba wa CCM ? . Aisee. Pumzika hasira ziishe. Unadharau Sana unaona wengine hawafai kisa sio CCM ?.
Katiba mpya ni haki ya kila raia. Kama CCM watakula watajua wenyewe na Mungu wao. Sisi tunaangalia haki sio ushetani wa CCM .
Marekebisho gani tena ya sheria yamefanyika!?
mimi nimesikia tu kauli ya kuruhusu mikutano ya siasa ambayo ni halaii kwa katiba ya JMT.
Hao wanachama sijui hata kama mtawapata ajenda yenu ilikuwa ufisadi kwa JK, ika democrasia kwa Magu sasa sijuiSawa Kama huo ni ujanja waendelee tu. Ila sisi CHADEMA tumepata fursa ya kujenga chama na kutafuta wanachama wapya.
Mbona analalamika kwenye mitandao mkuu pamoja na Lema na viongozi wengi tu ndani ya chama
wanahisi DJ kalamba asali wao amewatenga waslimbe wote!?
kwanini picha za maridhiano hatumuoni hata katibu!?
Huyui kijana asali haijamfikia DJ analmba peke yake term hiiAsali hamuangalii bwashee
Asali hamuangalii bwashee
We' ni mmojawapo wa wale ambao hawana jema!Ni mwisho mzuri kwa sa100 kwenda kuzoa kura 99.999% na DJ kulamba asali
ila kwa wengine maumivu yapo pale pale
Hao wanachama sijui hata kama mtawapata ajenda yenu ilikuwa ufisadi kwa JK, ika democrasia kwa Magu sasa sijui
mtawaambia nini tena watu maridhiano!? huku mkilamba asli uchochoroni
Njia pekee kupunguza malalamiko DJ awaonjeshe wenzake Lisu na Lema na baadhiNadhani kwa yaliyotokea leo malalamiko yatapungua
Anaglau kwa hiliWe' ni mmojawapo wa wale ambao hawana jema!
Wewe umefanya nini kuleta mabadiliko? Unalilia wengine wapiganie matamanio yako wewe umelala!!Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.