CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

Kamanda amekuwa compromised na amelowa mbele mtoto wa kike...

Kweli hamna mkate mgumu kwenye maji..

Yule Ni Rais, haijalishi jinsia yake. Ana back up kubwa Sana. Mbowe kafanya part yake na kapata alichotaka . Mkutano wa kwanza wa Thanksgiving tunaanzia uwanaja wa mashujaa Moshi.
 
Ma

Makamu Mwenyekiti yupo nje ya nchi, ila nadhani anapata info zote. Na Kuna kipindi aliweka pressure ndio maana hata Leo wametangaza mikutano ya hadhara ipo huru.
Mbona analalamika kwenye mitandao mkuu pamoja na Lema na viongozi wengi tu ndani ya chama
wanahisi DJ kalamba asali wao amewatenga waslimbe wote!?
kwanini picha za maridhiano hatumuoni hata katibu!?
 
Sasa
Nakukumbusha mkuu..

Hao ambao unahisi wamebadilika subiria 2024-2025 tutakuwa hapa hapa Allah atupe uzima tu.


Mbowe ameshakuwa toothless kutokana na kesi ya ugaidi,wamemhack wanamuendesha wanavyotaka.

Remote anayo mama said na kamwe Mbowe awezi kusema nyuma ya pazia yaliyoleta press conference ya leo.

Kuiba kura ni tabia ya CCM inajulikana na kila mtu. Kwa Sasa CHADEMA imepata fursa ya kujijenga, kupitia mikutano ya hadhara.
 
Tuheshimiane. Matusi ya Nini una hasira kumzidi Mwenyekiti wa CCM? Au Mzee Makamba wa CCM ? . Aisee. Pumzika hasira ziishe. Unadharau Sana unaona wengine hawafai kisa sio CCM ?.

Katiba mpya ni haki ya kila raia. Kama CCM watakula watajua wenyewe na Mungu wao. Sisi tunaangalia haki sio ushetani wa CCM .
Asali hamuangalii bwashee
 
Marekebisho gani tena ya sheria yamefanyika!?
mimi nimesikia tu kauli ya kuruhusu mikutano ya siasa ambayo ni halaii kwa katiba ya JMT.

Hotuba ilikuwa na mambo matatu.

Kwanza, Kuruhusu mikutano ya siasa.

Pili, Mchakato wa Katiba mpya. Ambapo tume itateuliwa hivi karibuni, ikihusisha watu wa makundi yote.

Tatu, marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa, mikutano ya siasa, uchaguzi, ofisi ya msajili na nk. Sheria zote zitapitiwa na na vyama kabla ya kupelekwa bungeni.

Pia kasisitiza bado maongezi yanaendelea Kuna mambo mengi baro hawajakubaliana na CHADEMA.
 
Sawa Kama huo ni ujanja waendelee tu. Ila sisi CHADEMA tumepata fursa ya kujenga chama na kutafuta wanachama wapya.
Hao wanachama sijui hata kama mtawapata ajenda yenu ilikuwa ufisadi kwa JK, ika democrasia kwa Magu sasa sijui
mtawaambia nini tena watu maridhiano!? huku mkilamba asli uchochoroni
 
Mbona analalamika kwenye mitandao mkuu pamoja na Lema na viongozi wengi tu ndani ya chama
wanahisi DJ kalamba asali wao amewatenga waslimbe wote!?
kwanini picha za maridhiano hatumuoni hata katibu!?

Nadhani kwa yaliyotokea leo malalamiko yatapungua
 
Nadhani kwa yaliyotokea leo malalamiko yatapungua
Njia pekee kupunguza malalamiko DJ awaonjeshe wenzake Lisu na Lema na baadhi
ya vijana wa ufipa walioshituka kama martine.
hawalalamiki kwa sababu hawapewi mrejesho ila kwa sababu hawalambishwi asali
ya magogoni tamu kuliko asali zote JMT, who cares kuhusu maridhiano!?
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Wewe umefanya nini kuleta mabadiliko? Unalilia wengine wapiganie matamanio yako wewe umelala!!
Kunawatu "Wanahara kati" lakini wanajiita "wana harakati"
 
Back
Top Bottom