love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
- #101
Nilitaka wakumbuke wakati huu wanaposherekea matunda ya maridhiano ccm kwenye sanduku la kura hawana maridhianoMi sijaelewa...kwani we ulitakaje???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka wakumbuke wakati huu wanaposherekea matunda ya maridhiano ccm kwenye sanduku la kura hawana maridhianoMi sijaelewa...kwani we ulitakaje???
Mabeberu ndio! Kwani hujui bajeti yenu kila mwaka huchangiwa na mabeberu?
Wazee wa mama anupiga mwingi 2025 mtapata kura moja
Hayo maridhiano gani ambayo hata makamu mwenyekiti wenu hajui manaridhiana nini!?Ukitukana utaonekana mshamba tu . Mnachukia maridhiano mnataka watu wauane. Nchi nyingi za africa zinangamia kwa watu kutokaa meza moja. Leo mama kawaita machawa hamjistukii tu
Sasa wafanyaje...wasifanye mikutano? Siku zote wenye akili wapo na wanajua mema na mabaya...kwani uchaguzi ulopita hatukuona yote??? Hakuna marefu yasiyo kuwa ncha... Ccm kuna mwisho wenu tena hamtaamini.Nilitaka wakumbuke wakati huu wanaposherekea matunda ya maridhiano ccm kwenye sanduku la kura hawana maridhiano
Leo chadema wote wanashangilia wanadai wamepata ushindi , unaona kabisa hawa hawaeleweki na ccm inawajua vizuri inajua jinsi ya kuwacontrol
walioanzisha mama anaupiga mwingi, mama anaponya nchi, sukuma gang, mama msikivu ni chadema wakiongozwa na hilda newton usijitoee ufahamuMara mama atapata kura moja mara chadema watapata kura moja , tuelewe lipi?
Samia anafikiria misaada na mikopo ya wahisani. Vyote hivyo kafanya kufurahisha wadau wa maendeleo, hivi hamwezi kusoma tabia za watu? CCM hawana mpango wa kuwapa madaraka chama chochote kwa njia ya kistaraabu.Yaani kama bado unafikiri mabadiliko yote hayo ni kwasabau ya Chadema na siyo nchi basi unahitaji muda kuwa mtu mzima. Katiba ni kwa kila mtu. Wakina Mbowe na Samia wanafikira miaka 50 ijayo sio miaka miwili ijayo
Aliyewaita malofa hakukosea
kama wewe ni lofa ni nghumu kujua wewe ni lofaHalafu hayupo na matusi yake. Katuakana ila kaondoka katuacha tunaendelea. Halafu mtu kuita lofa na wewe sio lofa haisumbui.
PovuTuheshimiane bajeti ni ya CCM . Mimi CHADEMA hainihusu.
Hakuna mchakato wowote wa katiba pumbavu ww...Nani akupe katiba wewe kwa kipi special? CCM watakula hela kama ilivyo ada.
wote walamba asali sema mwenyekiti wa ccm ndio anatembea na kibuyu cha asali anachagua naniHamna upinzan Tena..
Siwezi kufurahia usanii!!! Ni sawa na mke wako atoke kuchepuka halafu aje kujifanya anakupeti peti 🤣 nawewe unachekelea tu.
Kwa ufipa mpaka dunia ukiumbwa upya tenaUtaelewa siku ikifika.
Sasa mbona maridhiano anayofanya DJ makamu mwenyekiti hajui anaridhiana nini!?Mfano mfu?. Ndoa ni private ila politics is public. Tafuta mfano mzuri. Au unamaanisha CCM ni mke wa CHADEMA?
Utaelewa tu...hata mbeleko ulilo zoea litakukataaKwa ufipa mpaka dunia ukiumbwa upya tena
Ilifutwa na DDP sio mahakama