CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

Hukutegemea CHADEMA kufanikiwa kupata point tatu muhimu. Mikutano na Mchakato wa Katiba mpya. Halafu happy Bado wapo kwenye mazungumzo Bado hayajaisha. So tutulie kwanza.
Uzuri ccm huwa hawaruhusu point tatu kipindi cha uchaguzi
 
Kama mpira kati ndio huu basi mtasubiri sana 2028 subiri tena maridhiano

Mambo yaliharibika baada ya uchaguzi wa 2015, CCM iliona ikieuhusu wapinzani itapoteza muelekeo. Ndio maana 2020 mtandao wa internet ilizimwa siku ya kupiga kura and beyond.
 
Ukiwa na kesi ya kujibu maana yake una hatia?

Kama huna uelewa na mambo ya kisheria ni bora zaidi kuwa kimya mkuu ili kulinda heshima kidogo uliyonayo.
Ukiwa na kesi ya kujibu maana yake mahakama bado inanoana kuna ushahidi unaoweza kukuweka hatiani
ndio maana Mbowe alipotoka moja kwa moja ikulu kushukuru kuepushiwa aibu alijua kinachofuata mama akampa na buyu la asali kimya mpaka leo
 
Mambo yaliharibika baada ya uchaguzi wa 2015, CCM iliona ikieuhusu wapinzani itapoteza muelekeo. Ndio maana 2020 mtandao wa internet ilizimwa siku ya kupiga kura and beyond.
ccm imeona tena iwalmbishe asali mtulie kidogo mpaka 2025 muombe tena maridhiano
 
Sio njaa. Wana akili Sana. Kupata pointing tatu sio mchezo.
Point tatu za nyokow!? They have merged their cards with the ruling party. Win-Win situation ndio kitu kinachofanyika japo mnaona nyeupe ila wenye tafakari pana tunaona ni njano. 🤣
 
Maamuzi ya nchi siyo sawa na maamuzi ya familia ambayo unafanya instantly. Tumpe benefit of doubt kwa vile immediately alipoapishwa aliomba muda kwanza atathmini maamuzi ya zuio lililowekwa na mtangulizi wake dikteta Magufuli.
Wazee wa mama anupiga mwingi 2025 mtapata kura moja
 
Maamuzi ya nchi siyo sawa na maamuzi ya familia ambayo unafanya instantly. Tumpe benefit of doubt kwa vile immediately alipoapishwa aliomba muda kwanza atathmini maamuzi ya zuio lililowekwa na mtangulizi wake dikteta Magufuli.
Acha chenga,

Alipoapishwa aliomba muda Ili asome KATIBA yote Ili ajue mikutano inaruhusiwa au la?

Muda upi unaongelea?
 
Leo chadema wote wanashangilia wanadai wamepata ushindi , unaona kabisa hawa hawaeleweki na ccm inawajua vizuri inajua jinsi ya kuwacontrol
 
Back
Top Bottom