love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
- #21
Wajinga ndio waliwaoWatu hawajifunzi kwa CUF/ACT kule Zanzibar. Sharif amekaa chini sana na CCM hadi akagaa dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga ndio waliwaoWatu hawajifunzi kwa CUF/ACT kule Zanzibar. Sharif amekaa chini sana na CCM hadi akagaa dunia.
Kila siku wanaimbiwa CCM ni ile ile sijui wanasahau vipiHapo jamaaa keshakuwa compromised. Wala hana cha kudai kwa watawala
hilo ni takwa la katiba sio maridhianoMnafahamika tu wale msiopenda utangamano katika taifa. Imewauma kuona baadhi ya matunda ya maridhiano yakianza kupatikana. Bila shaka watu kama wewe ni wale waliokuwa wakineemeshwa na hali iliyokuwepo. Sasa tafuteni kazi nyingine ya kufanya.
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza
kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena
stori za katiba mpy, anasubiri tena maridhiano 2028.
Mbona miaka yote mnapangaHakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kupanda mstari kwenye box la kura lisiloheshimika.
sukuma gang hatuja furahi kabisa tunajua 2025 mtakapo pata kura moja mtasingizia yalikuwa ni maagizo ya Magufuli.Sukuma Gang waumini wa siasa za kuhasimiana na kuuana wamenuna sana leo,washenzi kabisa
Hivi watanzania mnajuwa kweli mnachokitaka? Kila kitu kulalamika tu.Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza
kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena
stori za katiba mpy, anasubiri tena maridhiano 2028.
Wapuuzi wa CCM Siku zote wanawaza kushinda chaguzi tu, pumbavu kweliLeo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza
kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena
stori za katiba mpy, anasubiri tena maridhiano 2028.
Dogo Mpuuzi sana huyu, achana naeHivi watanzania mnajuwa kweli mnachokitaka? Kila kitu kulalamika tu.
Kwanini msifurahi kuona mikutano iliyosimamishwa na dikteta Magufuli sasa imeruhusiwa kwa busara ya Rais Samia?
Wawaze nini sasa kama familia zao zinategemea ugali kutokana na ushindi wa uchaguziWapuuzi wa CCM Siku zote wanawaza kushinda chaguzi tu, pumbavu kweli
Ndugu Stuxnet,Hivi watanzania mnajuwa kweli mnachokitaka? Kila kitu kulalamika tu.
Kwanini msifurahi kuona mikutano iliyosimamishwa na dikteta Magufuli sasa imeruhusiwa kwa busara ya Rais Samia?
Atakwambia alikuta maagizoNdugu Stuxnet,
miaka miwili ya huyu ZUIO lilikuwepo, pia tumwite dictator?
Sasa ulikuwa wapi kuzuia takwa la katiba lisikiukwe tangu 2016?hilo ni takwa la katiba sio maridhiano
hilo ni takwa la katiba sio maridhiano
Asikusumbue mkuu. Huyo jamaa ni sadist. Amechukizwa na mabadiliko yanayoanza kutokea.Ni Bora subira yenye matumaini kuliko ule ukatili ulio kuwepo ...huwezi elewa mkuu...
Kweli mkuuAsikusumbue mkuu. Huyo jamaa ni sadist. Amechukizwa na mabadiliko yanayoanza kutokea.
Chadema kama chama kikuu cha upinzani itabidi wajibu mimi siandai mikituno yaoSasa ulikuwa wapi kuzuia takwa la katiba lisikiukwe tangu 2016?
Kwamba alikuta maagizo au WOSIA wa marehemu? Really!!!Atakwambia alikuta maagizo
Kama ile kesi ya gaidi wanasema alikuta maagizo sitoshangaa 2025 wakipata kura 1 wakasema yalikuwa ni maagizo toka kwa hayatiKwamba alikuta maagizo au WOSIA wa marehemu? Really!!!
Jambo moja unatakiwa kulijua ni kuwa,Kama ile kesi ya gaidi wanasema alikuta maagizo sitoshangaa 2025 wakipata kura 1 wakasema yalikuwa ni maagizo toka kwa hayati