CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

ccm imeona tena iwalmbishe asali mtulie kidogo mpaka 2025 muombe tena maridhiano
Huu ujinga wa kulambishana asali Magufuli hakuwahi kuufanya ndio chanzo cha mtifuano mkali by the time yuko madarakani. Wewe ni mpinzani kaa katika nafasi yako sio unaleta unafiki 🤣🤣🤣!

That was the Culprit iliosababisha chaos zote toka kwa Zitto. MBOWE pamoja na yule kibaraka wa wabelgiji.

Walikuwa wakipiga kelele wanaitwa Ikulu zama za msoga empire ila ilipofika Ngosha Kingdom wakawa wanatolewa mswaki. Kelele zikizidi wanatumiwa wajuba 🤣🤣🤣
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.


Yaani kama bado unafikiri mabadiliko yote hayo ni kwasabau ya Chadema na siyo nchi basi unahitaji muda kuwa mtu mzima. Katiba ni kwa kila mtu. Wakina Mbowe na Samia wanafikira miaka 50 ijayo sio miaka miwili ijayo
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Team Jiwe bhana !
 
Yaani kama bado unafikiri mabadiliko yote hayo ni kwasabau ya Chadema na siyo nchi basi unahitaji muda kuwa mtu mzima. Katiba ni kwa kila mtu. Wakina Mbowe na Samia wanafikira miaka 50 ijayo sio miaka miwili ijayo
UKO GIZANI SANA MZEE, ELIMU ELIMU ELIMUUU!
HUIJUI MICHEZO YA SIASA ZA BONGO ILIVYO.. UTASHANGAA NA ROHO YAKO IFIKAPO 2025.
 
Sasa hivi Kuna uchaguzi gani?. CCM ni wabaya tokea mwanzo , lakini CHADEMA wamepata wanachotaka kwa kiasi chake. Mambo mengine tutayarekebisha kwenye mchakato wa katiba.
Hakuna mchakato wowote wa katiba pumbavu ww...Nani akupe katiba wewe kwa kipi special? CCM watakula hela kama ilivyo ada.
 
Ukiwa na kesi ya kujibu maana yake mahakama bado inanoana kuna ushahidi unaoweza kukuweka hatiani
ndio maana Mbowe alipotoka moja kwa moja ikulu kushukuru kuepushiwa aibu alijua kinachofuata mama akampa na buyu la asali kimya mpaka leo

Kesi ya kujibu maana yake unatakiwa kujiteteea Kuna mambo inatakiwa uyatolee ushahidi kuyapinga. Tofautisha rulling of case to answer na Conviction. Halafu kesi ilishafutwaa
 
ccm imeona tena iwalmbishe asali mtulie kidogo mpaka 2025 muombe tena maridhiano

Asali gani?. Unaruhusu mikutano ndio asali au hitaji la kikatiba. CCM waendelee na ushetani wao, ila CHADEMA wamepambana kutoka kupigwa risasi mpaka kulindwa na Polisi kwenye mikutano yao. Big up CHADEMA
 
Asali gani?. Unaruhusu mikutano ndio asali au hitaji la kikatiba. CCM waendelee na ushetani wao, ila CHADEMA wamepambana kutoka kupigwa risasi mpaka kulindwa na Polisi kwenye mikutano yao. Big up CHADEMA
Hiyo ni danganya toto on the ground watu wanalamba asali maridhiano gani ya watu watatu!?
Chama kinajinasibu kina wanachama zaidi ya 10m ila maridhiano yanafanyika hata
makamu mwenyekiti hajui nini mnaridhiana.
 
Point tatu za nyokow!? They have merged their cards with the ruling party. Win-Win situation ndio kitu kinachofanyika japo mnaona nyeupe ila wenye tafakari pana tunaona ni njano. 🤣

Punguza hasira. Chadema walitaka vitu vifatavyo na wamevipata, shida ipo wapi.

1. Mikutano iruhusiwe. Imeruhusiwa
2. Mchakato wa Katiba mpya. Imeruhusiwa
3. Marekebisho ya sheria za vyama vya siasa tena watashirikishwa. Imeruhusiwa

Na Bado majadiliano yanaendelea ndio kwanza yapo katikati. Hizo ni conditions waliwekeana ili mazungumzo yaendelee
 
Asali gani?. Unaruhusu mikutano ndio asali au hitaji la kikatiba. CCM waendelee na ushetani wao, ila CHADEMA wamepambana kutoka kupigwa risasi mpaka kulindwa na Polisi kwenye mikutano yao. Big up CHADEMA
Tatizo tz hatujui haki yetu....tamko limekuwa kama hisani.... Ndo maana mchicha wanashangaa mama yao kuruhusu hili wanaona kama upendeleo....
 
Back
Top Bottom