CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

Hiyo lugha ya "kulamba asali" ni ya maudhi sana. Ukiulizwa utueleze hiyo asali inalambwaje unaweza kueleza? Wewe mwenyewe uko nyuma ya keyboard huku ukitumia fake ID, halafu uko frontline kubeza watu wanaojitolea muda, rasilimali na uhai wao kurekebisha mambo. Afadhali wao wamefikia hapo, wewe mchango wako ni upi? Si ujitokeze unyooshe yaliyoshindikana ili tukuone kidume?
Haaaahaaahaaa mkuu umeongea kwa uchungu sana.
 
Hiyo ni danganya toto on the ground watu wanalamba asali maridhiano gani ya watu watatu!?
Chama kinajinasibu kina wanachama zaidi ya 10m ila maridhiano yanafanyika hata
makamu mwenyekiti hajui nini mnaridhiana.

Mazungumzo Bado yanaendelea hayajafika mwisho. Tusiwe na haraka.
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
Pole sana ndugu, ndio imeshakuwa. Mikutano ambayo ulitamani iendelee kuzuiwa sababu ulikuwa unafaidika na zuio hilo ndio hiyo imesharuhusiwa.

Sometimes uwe flexible tu kukubali mabadiliko hata kama inakwenda kinyume na matamanio yako. Kumbuka hapa duniani haupo peke yako na hakuna principle popote ya kuridhisha matamanio yako tu.

Pole sana, umeongea kwa machungu sana lakini ndio hivyo, hakuna kinachorudi nyuma. Jiandae kisaikolojia kwa hasara hiyo usiyoitamani!
 
Mbowe na Asali ni Uji na Mgonjwa Slaa alikuwa na dhamira njema kumbe mwenzake shida yake ni buyu la asali
akijisikia tu saivi yupo magogoni analamba asali ubaya ni kwamba hataki kulamba na wenzake
Lisu na Lema ila simlaumu utamu wa asali ya magogoni itakuwa kiboko
 
walioanzisha mama anaupiga mwingi, mama anaponya nchi, sukuma gang, mama msikivu ni chadema wakiongozwa na hilda newton usijitoee ufahamu

Sawa mkuu. Tunasuburi hiyo kura moja. Ila nakumbukuka CHADEMA walizuiliwa kufanya mikutano ya nje na ndani kwa miaka mitano , ila uchaguzi ulipofika watu wakazima internet na twitter , na kufanya uharamia. Lakini bado hawakupata kura moja. Sasa najiuliza ukiwapa CHADEMA Uhuru wa kufanya siasa miaka mitatu yote watapata kura ngapi?
 
Kamanda amekuwa compromised na amelowa mbele mtoto wa kike...

Kweli hamna mkate mgumu kwenye maji..
 
Sawa mkuu. Tunasuburi hiyo kura moja. Ila nakumbukuka CHADEMA walizuiliwa kufanya mikutano ya nje na ndani kwa miaka mitano , ila uchaguzi ulipofika watu wakazima internet na twitter , na kufanya uharamia. Lakini bado hawakupata kura moja. Sasa najiuliza ukiwapa CHADEMA Uhuru wa kufanya siasa miaka mitatu yote watapata kura ngapi?
kura itategemea busara za mwenyekiti wa ccm akiamua anaweza kuwapa hata negative
 
Samia anafikiria misaada na mikopo ya wahisani. Vyote hivyo kafanya kufurahisha wadau wa maendeleo, hivi hamwezi kusoma tabia za watu? CCM hawana mpango wa kuwapa madaraka chama chochote kwa njia ya kistaraabu.

Sasa waalumu CCM wenye nia mbaya na sio CHADEMA wenye nia njema.
 
Sawa mkuu. Tunasuburi hiyo kura moja. Ila nakumbukuka CHADEMA walizuiliwa kufanya mikutano ya nje na ndani kwa miaka mitano , ila uchaguzi ulipofika watu wakazima internet na twitter , na kufanya uharamia. Lakini bado hawakupata kura moja. Sasa najiuliza ukiwapa CHADEMA Uhuru wa kufanya siasa miaka mitatu yote watapata kura ngapi?
Nakukumbusha mkuu..

Hao ambao unahisi wamebadilika subiria 2024-2025 tutakuwa hapa hapa Allah atupe uzima tu.


Mbowe ameshakuwa toothless kutokana na kesi ya ugaidi,wamemhack wanamuendesha wanavyotaka.

Remote anayo mama said na kamwe Mbowe awezi kusema nyuma ya pazia yaliyoleta press conference ya leo.
 
wote walamba asali sema mwenyekiti wa ccm ndio anatembea na kibuyu cha asali anachagua nani
amlambishe ukiona mtu analalmika ujue bado hajalambishwa kam Lisu na Lema

Mbona wewe unalalmika mkuu. Yani unalalmika kuliko wazee wa CCM.
 
Ma
Kwa hiyo makamu mwenyekiti hatakiwi kujua maridhiano yanahusu nini huku
unasema chama ni mali ya umma!?

Makamu Mwenyekiti yupo nje ya nchi, ila nadhani anapata info zote. Na Kuna kipindi aliweka pressure ndio maana hata Leo wametangaza mikutano ya hadhara ipo huru.
 
Back
Top Bottom