CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo

CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo

CDM acheni ubabaishaji na kupoteza muda bure, Lisu apewe Uenyekiti mambo yasiwe mengi
sasa kusiwe na utaratibu wa kufuata? yaani kwa sababu wewe umesema ndio iwe?
 
lissu akiwa mwenyekiti wa chadema ccm itanufaika vipi, au wanamuingiza kingi kwenye kumi na nane zao waimalize kabisa chadema halafu baadae mama ashinde kwa ulaini bila upinzani mkali wa chadema?

Ukiona Mpinzani anakuunga mkono jua unaingia CHAKA ,kwanini haujiulizi CCM hawamtaki MBOWE wanamtaka TAL? Na kwanini Pastor Kinyambe Msigwa ndiyo a-finance mkutano wa Lissu? Na kwanini waliodhuria wengi pale kwqenye mkutano wa Lissu wengi walikuwa SISIEMU waliovalia mavazi ya CDM? Mimi nashangga jinsi sisisemu wanavyompigania Lissu awe mwenyekiti.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika anazungumza na Waandishi wa habari muda huu, Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam.

Fuatilia live mazungumzo yake hapa

  • CHADEMA yatoa tamko la Uchaguzi wa Kitaifa kwa mwaka 2024
Katibu Mkuu anatangaza kuwa kutakuwa na uchaguzi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari 2025.

Fomu za kugombea ngazi ya Taifa zinapatikana katika ofisi za makao makuu ya Chama (Mikocheni), makao makuu ya Mabaraza, ofisi za Kanda, ofisi za Chama za mikoa na wilaya kuanzia tarehe 17 Desemba 2024. Mwisho wa kurejesha fomu ni Januari 5, 2025, saa 10 jioni katika ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam au katika ofisi za Kanda anayotoka mgombea husika.

Mbowe mitano tena 😆😆
 
CDM acheni ubabaishaji na kupoteza muda bure, Lisu apewe Uenyekiti mambo yasiwe mengi
Ubabaishaji au taratibu za chama,Mwenyekiti wa chama chenye lengo la kushika dola hawezi kupewa kama hisani lazima kura zipigwe kwa uwazi na mshindi hapewe haki yake(ndio msingi wa demokrasia kuchagua au kuchaguliwa).
 
Ubabaishaji au taratibu za chama,Mwenyekiti wa chama chenye lengo la kushika dola hawezi kupewa kama hisani lazima kura zipigwe kwa uwazi na mshindi hapewe haki yake(ndio msingi wa demokrasia kuchagua au kuchaguliwa).
Kwa busara Mbowe hakupaswa tena kuingia kwenye kinyang'anyiro na Lisu, huo ni uroho mkubwa wa madaraka, na wengi watakaomchagua Mbowe ni kwa sababu ya maslahi Tu ya kisiasa lakini itoshe Mbowe kazi ya Uenyekiti imeshamshinda
 
Ni utaratibu kaka wala hakuna ubabaishaji .. Na Lissu ndio chaguo la chama
Watu wanasubiri kuona matamko yatakayoonyesha kuna mgogoro chadema,lakini hawapati.Wanadhani Lissu kutangaza nia kutaleta mgogoro na chairman.Hawajui hayo ni maamuzi ya chama
 
Vita iliyoibuka kisa Lissu ni kubwa Boni na genge lake,huku Yeriko Nyerere nayeye hapoi,kwahiyo chadema ni ngumu kuongoza kuliko kuwa Rais wa Tanzania? Yale yale ya sisiemu ndiyo nayaona chadema,uchawa huu binafsi naona hata chadema ni wale wale tu wapigania tumbo
 
Back
Top Bottom