CHADEMA ya LISSU, Fanyeni mnavyoweza, Kuutangazia na Kuusambazia Umma Habari za Utabiri wa SHEIKH YAHYA kuhusu UPINZAN KUCHUKUA NCHI !!

CHADEMA ya LISSU, Fanyeni mnavyoweza, Kuutangazia na Kuusambazia Umma Habari za Utabiri wa SHEIKH YAHYA kuhusu UPINZAN KUCHUKUA NCHI !!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mtakuja Kunishukuru sana !!.

Kama Kuna video ambayo Sheikh Yahya anatabiri kuanzia Ujio wa Hayati Dkt JPM, Kisha Rais Dkt Samia, na kwamba Baadae Upinzani unachukua Nchi.

Tumieni Kila kitu mlichonacho kuhakikisha Huo unakua Wimbo Mtaani kuanzia Mijini mpaka Vijijin.


Kwa wanaoona Mbali kama Mimi watakubaliana na Athari kubwa mbili Kwa pande zote mbili za CCM na CHADEMA.

1-CHADEMA , Hamasa , Ari na nguvu mpya itazidi kuamka miongoni wa Wanachadema na hivo kuongeza uzalendo juu ya Chama Chao , Huu Uzalendo Kwa chama utaambukizwa Kwa wananchi na Chama kitazidi kuimarika mara dufu.


2-CCM Wafuasi wa CCM watakua Demoralized, Kwa kua kisaikolojia watakua wameathirika pakubwa na Utabiri Huu, hivo Hamasa ,nguvu kwao vitapungua , na hali hii italazamisha Wana CCM hawa na Wananchi huru kuhamia CHADEMA .



Wakati CCM wanatumia NGOs zao kuja na utafiti Et CCM itashinda Kwa 83% lengo lao Huwa ni Hilo , kushusha Hamasa ya Wanachadema , na kuwakatisha Moyo wananchi wasihangaike kupiga kura ili Wana CCM wenyewe ndio wapige kura na michezo michafu ifanyike, wakiwan tayari na faida ya Kuipumbaza Jamii kupitia Utafiti Uchwara.


Sasa Mapambano yaanze, yaan huko Mitandaoni Kuanzishwe Ma Polls ya kutosha ,"Piga kura yako ,nani atashinda Uchaguzi 2025 kati ya CCM na CHADEMA"..


Wakati huohuo mnasambaza Utabiri wa Sheikh Yahya kupitia kila nyenzo mlonayo.


Alafu mpige SPANA za uhakika, jikiteni kwenye Maisha halisi , umasikin, Ukosefu wa Ajira, watu kutekwa na kuuwawa, Miradi kuhujumiwa ( Kwa mfano Mradi wa SGR , Huu usipondwe badala yake mseme "Chama Cha CCM kwakua Mafisadi wake wote Wana miliki Ma BUS wamekua wanauhujumu mradi Huu wa JPM Kwa kuhakikisha Umeme sio wa uhakika , na kuweka Nauli kubwa ili Masikin na mnyonge asipande, akapande Ma BUS yao, sisi tukishika Nchi hii tutaweka Nauli ambayo Kila mnyonge atapanda .

JPM Baba wa watu alijenga JNHEPP lengo Umeme ushuke Bei na usikatike, je Leo Umeme mnaunganishiwa shingapi?? Mnanunua shingapi? Haukatiki unakatika??.

Uchomaji wa masoko na majengo ,hii tunaiweka Kwa style ileile ya waliochoma Bank Kuu ,alafu kuthibitishia wananchi mnawaambia "Simnaona kabisa Reports zote za uchomaji hawaziweki hadharani ????mliwahi sikia wameziweka hadharani???

Watumishi walotumbuliwa kurudishwa makazini, Ahadi hewa za nyongeza ya mshahara.


Mambo ni mengi sana ambayo Kitengo mkiyatumia yatawavusha !!

Yaan kwenye Spana hapa ni mwendo wa kuchanganya UKWELI na UWONGO na wakati huohuo mnaufanya unakua Mkubwaa sana Ili uaminike .


CCM Kwa Sasa Haina Wajibu hoja wenye ushawishi!! Watajitokeza wanaojibu lkn kwakua hawana ushawishi na wameshadharauliwa ,hawawezi kuaminika.


CHADEMA Kitengo cha Propaganda anzeni kazi mpaka kufikia October wananchi wengi watakua tayari wako manipulated !!.
 
Mtakuja Kunishukuru sana !!.

Kama Kuna video ambayo Sheikh Yahya anatabiri kuanzia Ujio wa Hayati Dkt JPM, Kisha Rais Dkt Samia, na kwamba Baadae Upinzani unachukua Nchi.

Tumieni Kila kitu mlichonacho kuhakikisha Huo unakua Wimbo Mtaani kuanzia Mijini mpaka Vijijin.


Kwa wanaoona Mbali kama Mimi watakubaliana na Athari kubwa mbili Kwa pande zote mbili za CCM na CHADEMA.

1-CHADEMA , Hamasa , Ari na nguvu mpya itazidi kuamka miongoni wa Wanachadema na hivo kuongeza uzalendo juu ya Chama Chao , Huu Uzalendo Kwa chama utaambukizwa Kwa wananchi na Chama kitazidi kuimarika mara dufu.


2-CCM Wafuasi wa CCM watakua Demoralized, Kwa kua kisaikolojia watakua wameathirika pakubwa na Utabiri Huu, hivo Hamasa ,nguvu kwao vitapungua , na hali hii italazamisha Wana CCM hawa na Wananchi huru kuhamia CHADEMA .



Wakati CCM wanatumia NGOs zao kuja na utafiti Et CCM itashinda Kwa 83% lengo lao Huwa ni Hilo , kushusha Hamasa ya Wanachadema , na kuwakatisha Moyo wananchi wasihangaike kupiga kura ili Wana CCM wenyewe ndio wapige kura na michezo michafu ifanyike, wakiwan tayari na faida ya Kuipumbaza Jamii kupitia Utafiti Uchwara.


Sasa Mapambano yaanze, yaan huko Mitandaoni Kuanzishwe Ma Polls ya kutosha ,"Piga kura yako ,nani atashinda Uchaguzi 2025 kati ya CCM na CHADEMA"..


Wakati huohuo mnasambaza Utabiri wa Sheikh Yahya kupitia kila nyenzo mlonayo.


Alafu mpige SPANA za uhakika, jikiteni kwenye Maisha halisi , umasikin, Ukosefu wa Ajira, watu kutekwa na kuuwawa, Miradi kuhujumiwa ( Kwa mfano Mradi wa SGR , Huu usipondwe badala yake mseme "Chama Cha CCM kwakua Mafisadi wake wote Wana miliki Ma BUS wamekua wanauhujumu mradi Huu wa JPM Kwa kuhakikisha Umeme sio wa uhakika , na kuweka Nauli kubwa ili Masikin na mnyonge asipande, akapande Ma BUS yao, sisi tukishika Nchi hii tutaweka Nauli ambayo Kila mnyonge atapanda .

JPM Baba wa watu alijenga JNHEPP lengo Umeme ushuke Bei na usikatike, je Leo Umeme mnaunganishiwa shingapi?? Mnanunua shingapi? Haukatiki unakatika??.

Uchomaji wa masoko na majengo ,hii tunaiweka Kwa style ileile ya waliochoma Bank Kuu ,alafu kuthibitishia wananchi mnawaambia "Simnaona kabisa Reports zote za uchomaji hawaziweki hadharani ????mliwahi sikia wameziweka hadharani???

Watumishi walotumbuliwa kurudishwa makazini, Ahadi hewa za nyongeza ya mshahara.


Mambo ni mengi sana ambayo Kitengo mkiyatumia yatawavusha !!

Yaan kwenye Spana hapa ni mwendo wa kuchanganya UKWELI na UWONGO na wakati huohuo mnaufanya unakua Mkubwaa sana Ili uaminike .


CCM Kwa Sasa Haina Wajibu hoja wenye ushawishi!! Watajitokeza wanaojibu lkn kwakua hawana ushawishi na wameshadharauliwa ,hawawezi kuaminika.


CHADEMA Kitengo cha Propaganda anzeni kazi mpaka kufikia October wananchi wengi watakua tayari wako manipulated !!.
Siasa na ushirikina wapi na wapi siasa ni sayansi, ila unaweza ukawa na point kwa sababu jamii yetu imejaa hizo imani
 
Huku kwa ground Sasa ndo kazi ilipo, ccm Ni maisha ya watu in real life, mtandaoni mpaka Sasa chadema inaongoza polls kwa 60% ila kwa ground CCM inaongoza over 80%
 
Huku kwa ground Sasa ndo kazi ilipo, ccm Ni maisha ya watu in real life, mtandaoni mpaka Sasa chadema inaongoza polls kwa 60% ila kwa ground CCM inaongoza over 80%
Sidhani kama ni kweli zaidi ya 80% ya watanzania wakiwemo wale wa fuasi wa ccm wanahitaji mabadiliko, ila wana wasi wasi na ni nani wakuwaletee hayo mabadiliko bila kutafuta masirahi yake binafsi
 
Chadema kitaeleweka kuwa chama cha kushirikina

Watanzania walio wengi hawaamini ushirikina
 
Chadema kitaeleweka kuwa chama cha kushirikina

Watanzania walio wengi hawaamini ushirikina
Huo ni Utabiri, Alitabiri TB Joshua kile kipindi kua Lowassa anashinda, mliona Ile morale iliyokuwepo hapa Nchini??.
 
Huku kwa ground Sasa ndo kazi ilipo, ccm Ni maisha ya watu in real life, mtandaoni mpaka Sasa chadema inaongoza polls kwa 60% ila kwa ground CCM inaongoza over 80%
CCM anakura zake ambazo ndizo za kuvuruga kwanza .

Wanawake , wanaoishi Vijijin ambao Kwa ujumla wake ninwatu wenye Elimu Duni kabisa
 
Mtakuja Kunishukuru sana !!.

Kama Kuna video ambayo Sheikh Yahya anatabiri kuanzia Ujio wa Hayati Dkt JPM, Kisha Rais Dkt Samia, na kwamba Baadae Upinzani unachukua Nchi.

Tumieni Kila kitu mlichonacho kuhakikisha Huo unakua Wimbo Mtaani kuanzia Mijini mpaka Vijijin.


Kwa wanaoona Mbali kama Mimi watakubaliana na Athari kubwa mbili Kwa pande zote mbili za CCM na CHADEMA.

1-CHADEMA , Hamasa , Ari na nguvu mpya itazidi kuamka miongoni wa Wanachadema na hivo kuongeza uzalendo juu ya Chama Chao , Huu Uzalendo Kwa chama utaambukizwa Kwa wananchi na Chama kitazidi kuimarika mara dufu.


2-CCM Wafuasi wa CCM watakua Demoralized, Kwa kua kisaikolojia watakua wameathirika pakubwa na Utabiri Huu, hivo Hamasa ,nguvu kwao vitapungua , na hali hii italazamisha Wana CCM hawa na Wananchi huru kuhamia CHADEMA .



Wakati CCM wanatumia NGOs zao kuja na utafiti Et CCM itashinda Kwa 83% lengo lao Huwa ni Hilo , kushusha Hamasa ya Wanachadema , na kuwakatisha Moyo wananchi wasihangaike kupiga kura ili Wana CCM wenyewe ndio wapige kura na michezo michafu ifanyike, wakiwan tayari na faida ya Kuipumbaza Jamii kupitia Utafiti Uchwara.


Sasa Mapambano yaanze, yaan huko Mitandaoni Kuanzishwe Ma Polls ya kutosha ,"Piga kura yako ,nani atashinda Uchaguzi 2025 kati ya CCM na CHADEMA"..


Wakati huohuo mnasambaza Utabiri wa Sheikh Yahya kupitia kila nyenzo mlonayo.


Alafu mpige SPANA za uhakika, jikiteni kwenye Maisha halisi , umasikin, Ukosefu wa Ajira, watu kutekwa na kuuwawa, Miradi kuhujumiwa ( Kwa mfano Mradi wa SGR , Huu usipondwe badala yake mseme "Chama Cha CCM kwakua Mafisadi wake wote Wana miliki Ma BUS wamekua wanauhujumu mradi Huu wa JPM Kwa kuhakikisha Umeme sio wa uhakika , na kuweka Nauli kubwa ili Masikin na mnyonge asipande, akapande Ma BUS yao, sisi tukishika Nchi hii tutaweka Nauli ambayo Kila mnyonge atapanda .

JPM Baba wa watu alijenga JNHEPP lengo Umeme ushuke Bei na usikatike, je Leo Umeme mnaunganishiwa shingapi?? Mnanunua shingapi? Haukatiki unakatika??.

Uchomaji wa masoko na majengo ,hii tunaiweka Kwa style ileile ya waliochoma Bank Kuu ,alafu kuthibitishia wananchi mnawaambia "Simnaona kabisa Reports zote za uchomaji hawaziweki hadharani ????mliwahi sikia wameziweka hadharani???

Watumishi walotumbuliwa kurudishwa makazini, Ahadi hewa za nyongeza ya mshahara.


Mambo ni mengi sana ambayo Kitengo mkiyatumia yatawavusha !!

Yaan kwenye Spana hapa ni mwendo wa kuchanganya UKWELI na UWONGO na wakati huohuo mnaufanya unakua Mkubwaa sana Ili uaminike .


CCM Kwa Sasa Haina Wajibu hoja wenye ushawishi!! Watajitokeza wanaojibu lkn kwakua hawana ushawishi na wameshadharauliwa ,hawawezi kuaminika.


CHADEMA Kitengo cha Propaganda anzeni kazi mpaka kufikia October wananchi wengi watakua tayari wako manipulated !!.
HATUISHI KWA UTABIRI WA WACHAWI. INGAWA TUNAFAHAMU KIZIMKAZ HAWEZI KUSHINDA UCHAGUZI
 
Huo ni Utabiri, Alitabiri TB Joshua kile kipindi kua Lowassa anashinda, mliona Ile morale iliyokuwepo hapa Nchini??.
Morale wa Lowasa haukuwa shauri ya TB Joshua bali pesa yake Lowassa alimwaga pesa makanisani, misikitini,bodaboda nch nzima,na team za kampeni nchi nzima walilipwa pesa nyingi,vyombo vya habar,wasaniii ,wanamuziki wote aliwapa pesa nyingi

Pesa yake ndio ilihamasisha sio maneno ya TB Joshua
 
Upo sahihi mkuu. Miaka yote CCM huendesha propaganda kuwa wao ndio walinda amani wa nchi hii. Ukichagua upinzani amani itatoweka. Swali ni kwamba baada ya upinzani kushinda nani huyo ataiondoa amani?

CHADEMA ikiwa na watu wa kupiga propaganda kama hizo huwa zina impact sana mtaani.
 
CCM inakwenda kusambaratika.. kuna mafuriko yasiyozuilika yanakwenda CDM ya Lissu
 
CCM inakwenda kusambaratika.. kuna mafuriko yasiyozuilika yanakwenda CDM ya Lissu
Mpaka sasa kimya hakuna cha mafuriko

Mafuriko ona Ya Lowasa alipojiunga tu na Chadema mafuriko yakalipuka mara moja siku hiyo hiyo

Lisu kuwa mwenyekiti hakuna cha mafuriko chama kimepooza utafikiri kinaumwa malaria
 
CCM ndiyo bye bye mkuu. Ardhi na mbingu zinajua hilo
 
Mtakuja Kunishukuru sana !!.

Kama Kuna video ambayo Sheikh Yahya anatabiri kuanzia Ujio wa Hayati Dkt JPM, Kisha Rais Dkt Samia, na kwamba Baadae Upinzani unachukua Nchi.

Tumieni Kila kitu mlichonacho kuhakikisha Huo unakua Wimbo Mtaani kuanzia Mijini mpaka Vijijin.


Kwa wanaoona Mbali kama Mimi watakubaliana na Athari kubwa mbili Kwa pande zote mbili za CCM na CHADEMA.

1-CHADEMA , Hamasa , Ari na nguvu mpya itazidi kuamka miongoni wa Wanachadema na hivo kuongeza uzalendo juu ya Chama Chao , Huu Uzalendo Kwa chama utaambukizwa Kwa wananchi na Chama kitazidi kuimarika mara dufu.


2-CCM Wafuasi wa CCM watakua Demoralized, Kwa kua kisaikolojia watakua wameathirika pakubwa na Utabiri Huu, hivo Hamasa ,nguvu kwao vitapungua , na hali hii italazamisha Wana CCM hawa na Wananchi huru kuhamia CHADEMA .



Wakati CCM wanatumia NGOs zao kuja na utafiti Et CCM itashinda Kwa 83% lengo lao Huwa ni Hilo , kushusha Hamasa ya Wanachadema , na kuwakatisha Moyo wananchi wasihangaike kupiga kura ili Wana CCM wenyewe ndio wapige kura na michezo michafu ifanyike, wakiwan tayari na faida ya Kuipumbaza Jamii kupitia Utafiti Uchwara.


Sasa Mapambano yaanze, yaan huko Mitandaoni Kuanzishwe Ma Polls ya kutosha ,"Piga kura yako ,nani atashinda Uchaguzi 2025 kati ya CCM na CHADEMA"..


Wakati huohuo mnasambaza Utabiri wa Sheikh Yahya kupitia kila nyenzo mlonayo.


Alafu mpige SPANA za uhakika, jikiteni kwenye Maisha halisi , umasikin, Ukosefu wa Ajira, watu kutekwa na kuuwawa, Miradi kuhujumiwa ( Kwa mfano Mradi wa SGR , Huu usipondwe badala yake mseme "Chama Cha CCM kwakua Mafisadi wake wote Wana miliki Ma BUS wamekua wanauhujumu mradi Huu wa JPM Kwa kuhakikisha Umeme sio wa uhakika , na kuweka Nauli kubwa ili Masikin na mnyonge asipande, akapande Ma BUS yao, sisi tukishika Nchi hii tutaweka Nauli ambayo Kila mnyonge atapanda .

JPM Baba wa watu alijenga JNHEPP lengo Umeme ushuke Bei na usikatike, je Leo Umeme mnaunganishiwa shingapi?? Mnanunua shingapi? Haukatiki unakatika??.

Uchomaji wa masoko na majengo ,hii tunaiweka Kwa style ileile ya waliochoma Bank Kuu ,alafu kuthibitishia wananchi mnawaambia "Simnaona kabisa Reports zote za uchomaji hawaziweki hadharani ????mliwahi sikia wameziweka hadharani???

Watumishi walotumbuliwa kurudishwa makazini, Ahadi hewa za nyongeza ya mshahara.


Mambo ni mengi sana ambayo Kitengo mkiyatumia yatawavusha !!

Yaan kwenye Spana hapa ni mwendo wa kuchanganya UKWELI na UWONGO na wakati huohuo mnaufanya unakua Mkubwaa sana Ili uaminike .


CCM Kwa Sasa Haina Wajibu hoja wenye ushawishi!! Watajitokeza wanaojibu lkn kwakua hawana ushawishi na wameshadharauliwa ,hawawezi kuaminika.


CHADEMA Kitengo cha Propaganda anzeni kazi mpaka kufikia October wananchi wengi watakua tayari wako manipulated !!.
Hoja nyepesi sana. Why chadema itegemee tabiri kama mbinu za kushinda uchaguzi?

Kuna actual things chadema wanaweza fanya but not that. Wataonekana watoto
 
Mtakuja Kunishukuru sana !!.

Kama Kuna video ambayo Sheikh Yahya anatabiri kuanzia Ujio wa Hayati Dkt JPM, Kisha Rais Dkt Samia, na kwamba Baadae Upinzani unachukua Nchi.

Tumieni Kila kitu mlichonacho kuhakikisha Huo unakua Wimbo Mtaani kuanzia Mijini mpaka Vijijin.


Kwa wanaoona Mbali kama Mimi watakubaliana na Athari kubwa mbili Kwa pande zote mbili za CCM na CHADEMA.

1-CHADEMA , Hamasa , Ari na nguvu mpya itazidi kuamka miongoni wa Wanachadema na hivo kuongeza uzalendo juu ya Chama Chao , Huu Uzalendo Kwa chama utaambukizwa Kwa wananchi na Chama kitazidi kuimarika mara dufu.


2-CCM Wafuasi wa CCM watakua Demoralized, Kwa kua kisaikolojia watakua wameathirika pakubwa na Utabiri Huu, hivo Hamasa ,nguvu kwao vitapungua , na hali hii italazamisha Wana CCM hawa na Wananchi huru kuhamia CHADEMA .



Wakati CCM wanatumia NGOs zao kuja na utafiti Et CCM itashinda Kwa 83% lengo lao Huwa ni Hilo , kushusha Hamasa ya Wanachadema , na kuwakatisha Moyo wananchi wasihangaike kupiga kura ili Wana CCM wenyewe ndio wapige kura na michezo michafu ifanyike, wakiwan tayari na faida ya Kuipumbaza Jamii kupitia Utafiti Uchwara.


Sasa Mapambano yaanze, yaan huko Mitandaoni Kuanzishwe Ma Polls ya kutosha ,"Piga kura yako ,nani atashinda Uchaguzi 2025 kati ya CCM na CHADEMA"..


Wakati huohuo mnasambaza Utabiri wa Sheikh Yahya kupitia kila nyenzo mlonayo.


Alafu mpige SPANA za uhakika, jikiteni kwenye Maisha halisi , umasikin, Ukosefu wa Ajira, watu kutekwa na kuuwawa, Miradi kuhujumiwa ( Kwa mfano Mradi wa SGR , Huu usipondwe badala yake mseme "Chama Cha CCM kwakua Mafisadi wake wote Wana miliki Ma BUS wamekua wanauhujumu mradi Huu wa JPM Kwa kuhakikisha Umeme sio wa uhakika , na kuweka Nauli kubwa ili Masikin na mnyonge asipande, akapande Ma BUS yao, sisi tukishika Nchi hii tutaweka Nauli ambayo Kila mnyonge atapanda .

JPM Baba wa watu alijenga JNHEPP lengo Umeme ushuke Bei na usikatike, je Leo Umeme mnaunganishiwa shingapi?? Mnanunua shingapi? Haukatiki unakatika??.

Uchomaji wa masoko na majengo ,hii tunaiweka Kwa style ileile ya waliochoma Bank Kuu ,alafu kuthibitishia wananchi mnawaambia "Simnaona kabisa Reports zote za uchomaji hawaziweki hadharani ????mliwahi sikia wameziweka hadharani???

Watumishi walotumbuliwa kurudishwa makazini, Ahadi hewa za nyongeza ya mshahara.


Mambo ni mengi sana ambayo Kitengo mkiyatumia yatawavusha !!

Yaan kwenye Spana hapa ni mwendo wa kuchanganya UKWELI na UWONGO na wakati huohuo mnaufanya unakua Mkubwaa sana Ili uaminike .


CCM Kwa Sasa Haina Wajibu hoja wenye ushawishi!! Watajitokeza wanaojibu lkn kwakua hawana ushawishi na wameshadharauliwa ,hawawezi kuaminika.


CHADEMA Kitengo cha Propaganda anzeni kazi mpaka kufikia October wananchi wengi watakua tayari wako manipulated !!.
Amka mkuu! Utabr usiwekee sriaz
 
Hoja nyepesi sana. Why chadema itegemee tabiri kama mbinu za kushinda uchaguzi?

Kuna actual things chadema wanaweza fanya but not that. Wataonekana watoto
Hujaielewa maana ya Uzi huo.

Wakati ambao CDM inapambana na mambo unayoona ni muhimu sana, ni lazima Kitengo Cha propaganda kifanye kazi kwelikweli .
 
Back
Top Bottom