CHADEMA ya LISSU, Fanyeni mnavyoweza, Kuutangazia na Kuusambazia Umma Habari za Utabiri wa SHEIKH YAHYA kuhusu UPINZAN KUCHUKUA NCHI !!

CHADEMA ya LISSU, Fanyeni mnavyoweza, Kuutangazia na Kuusambazia Umma Habari za Utabiri wa SHEIKH YAHYA kuhusu UPINZAN KUCHUKUA NCHI !!

Sidhani kama ni kweli zaidi ya 80% ya watanzania wakiwemo wale wa fuasi wa ccm wanahitaji mabadiliko, ila wana wasi wasi na ni nani wakuwaletee hayo mabadiliko bila kutafuta masirahi yake binafsi
Sisi tuko huku ground na mitandaoni hali ilivyo huku mitandaoni ni tofaut kabisa na half iliyoko mitaani... Upinzani kuchukua nchi wanahitaji more than 10 years kujiimarisha kwa kuweka Sera nzuri kwa wapiga kura wa mitaani sio wa mitandaoni... Ccm Ni lidude fulani hivi likubwa huwez ukaliondoa kwa tabiri za shekh yahya
CCM anakura zake ambazo ndizo za kuvuruga kwanza .

Wanawake , wanaoishi Vijijin ambao Kwa ujumla wake ninwatu wenye Elimu Duni kabisa
 
Back
Top Bottom