CHADEMA yaanza kutumia mbinu za kisasa kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Kalamu na Mask zenye maneno "TUME HURU" zaanza kusambazwa mitaani

Watz wapi? Kwenye vituo vya kujiandikisha kupiga kura tumeona idadi, au mna watanzania wenu sisi tusiowajua? Ingekuwa mnategemea kura za watanzania tusingeona hilo box la kura likinajisiwa.
Mtanyooka tu
 

Huwa ninacheka sana nikisikia mtu anasema watu wa huko vijijini, kimsingi watu wa huko vijijini huwa wanaburuzwa na watu wa mjini. Kwa kawaida watu wa mjini ndio huanzisha vuguvugu lolote na watu wa huko vijijini ni bendera fuata upepo tu. Mfano mrahisi watu wa huko vijijini hawana umeme, barabara nzuri, vituo vya afya nk, umewahi kuona wanalalamika? Jaribu kukata umeme hapa mjini, barabara iwe mbovu usikie hizo kelele. Na hata viongozi huwa wanaogopa kelele za watu wa mijini na siasa hao wengi waliokubaliana na kila kitu.
 
Rushwa hiyo kuelekea uchaguzi mkuu. Haya wenzenu wakianza nao kuchapisha tisheti na kanga msipige kelele. Hiyo tume huru mmeijua leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Acha kutetea ukabila wewe...!
Yaani kwa vile JIWE ni homeboy wako unatetea ujinga hapa...!!!
CHADEMA wako vizuri na wako sahihi kwa kila kitu..!! Kuanzia mikutano yote na maandamano yote Ni HAKI YAO KIKATIBA!!! Tuacheni kutetea upuuzi wa Magufuli wa kuvunjwa Katiba kwa Kuzuia mikutano ya Wapinzani na KUPIGA marufuku maandamano kwa hofu ya kuigopa CHADEMA...!

HUWEZI KUSHINDANA UWANJANI HUKU WENZAKO UMEWAFUNGA MIKONO...….!!!HIYO Ni dalili ya kwanza kabisa kwa jitu joga lenye hofu!!!
 
Haya majambazi ya CCM yasivo kuwa na akili yanaweza sema hizi kalamu ni "UCHOCHEZI"!!
Magufuli na CCM yake lazima ajue hitaji la TUME HURU YA UCHAGUZI Ni kwa kila Mtz Mzalendo anayependa Amani ya nji yetu..!!!
Hebu tufafanuliwe huo muundo wa tume huru...fafanueni kuhusu composition yake ...na uteuzi wa tume hiyo inayoitwa huru...pia mfafanue kwanini tume ya Sasa mnaona siyo huru...haitoshi tu kusema tume huru ...fafanua zaidi ili watu waelewe....
 
Tume Huru ya Uchaguzi ndiyo silaha pekee tuliyosalia nayo Wanyonge, wkati ni huu wa kuitumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…