CHADEMA yafika Mikoa 24 ya Tanzania Bara bila kukamatwa wala kuzuiliwa na Polisi

CHADEMA yafika Mikoa 24 ya Tanzania Bara bila kukamatwa wala kuzuiliwa na Polisi

K
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
Kwani si lidicteta lilishakufa?
 
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
Mkuu ila Tanzania Bara haina mikoa 26 tu mkuu

Rekebisha hapo

Idadi ya Niko 26 ilikua kipindi kile Mkapa alivyoongeza mkoa wa Manyara

Baada ya hapo imeongezwa mikoa ya Katavi,Simiyu,Geita,Songwe na Njombe

Hivyo Tanganyika (Mnayoita Bara) ina mikoa 31 na pengine kiujinga ujinga utaongezwa wa 32 hivi karibuni
 
Sahivi mbowe angekua ndani, Tanzia zingeshaandikwa za kutosha, wavaa uniform wangekuwa mbele ya makamera na virungu vyao kutishatisha watu....
 
Mkuu ila Tanzania Bara haina mikoa 26 tu mkuu

Rekebisha hapo

Idadi ya Niko 26 ilikua kipindi kile Mkapa alivyoongeza mkoa wa Manyara

Baada ya hapo imeongezwa mikoa ya Katavi,Simiyu,Geita,Songwe na Njombe

Hivyo Tanganyika (Mnayoita Bara) ina mikoa 31 na pengine kiujinga ujinga utaongezwa wa 32 hivi karibuni
Kiujinga ujinga kweliii
 
Chadema na vyama vingine vya siasa vimeachwa viendelee na shughuli zao, ili watapoangukia pua mwaka 2025, wasije na lawama za kuzuiliwa kufanya mikutano na mizunguko yao. Nadhani safar hii lawama zao watazihamishia kwa tume na katiba mpya. Kwa style hii ya uongozi wa mama uliotukuka, lazima viongozi wa upinzani watangaze kususia uchaguzi ili kuficha aibu watakayokumbana nayo mwaka 2025. Uongozi wa mama anatumia zaidi akili, utu, upendo na ujasiri, pia anatatua kero za wananchi wake, na hapindishi pindi sheria wala kuvunja katiba.

Hapa umecheza na maneno ili uonekane unajua sana kutabiri. Msimamo uko wazi, bila tume huru ya uchaguzi, hakuna kushiriki ushenzi wowote uitwao uchaguzi. hini ya tume hii hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Chini ya tume huru ya uchaguzi, hata kama ccm watashinda sio zaidi ya 50%, na uamuzi wa lolote ndani ya bunge utakwisha. Hii ndio hofu kubwa sana ya ccm kuhusu tume huru ya uchaguzi, maana ccm sio chama cha kizazi hiki.
 
Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.

Hapana, kiongozi muovu yuko motoni, hivyo siasa za kishenzi zimeondoka rasmi nchini.
 
Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Huna akili wewe, ni kama siasa za mtaka yote kwa pupa alieishia kuzikosa zote. Kazi hiyo ya marehemu iungwe mkono na mazezeta kama wewe [emoji107]
 
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Siasa za kistaarabu ni zile alizotaka jiwe za kumtukuza yeye kama mungu ambazo tulizikataa ?
 
SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA WAADILIFU KABISAA. MIMI NIMESHIRIKI KIKAO CHAO KIMOJA SIJAONA HATA LUGHA YOYOTE YA UCHOCHEZI WALA LUGHA CHAFU. KWAKWELI WAENDELEEE HIVO HIVOO NA MUNGU AWABARIKI.
Kama mamluki ulifuata mini kwenye kikao chao,huoni ungeweza kuwa sababu ya uvunjifu wa amani.
 
Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Wewe ni mmoja wawalioamini katika matumizi ya mabavu, na uonevu usio na tija, kumbuka enzi mpya hizi.
 
Back
Top Bottom