CHADEMA yafika Mikoa 24 ya Tanzania Bara bila kukamatwa wala kuzuiliwa na Polisi

CHADEMA yafika Mikoa 24 ya Tanzania Bara bila kukamatwa wala kuzuiliwa na Polisi

Njia ya muongozo ni fupi sana...

Kipindi kile ilikua inasemekana ziara zao zina viashiria vya uvunjaji wa amani...
Basi utaona defender kibao, virungu na mabomu ya machozi...

Mbona sasa Mama karuhusu hatujaona huo uvunjaji wa amani?
 
Ndiyo mana watu wanawaona nyie mataga hamna akili au wapumbavu(sorry to say that) , hivi baada ya mdhalimu mwendazake kufa ambaye alizuia vyama vya siasa hasa upinzani kufanya siasa, sasa watu wako huru na katiba inafatwa ila wew bado unataka aulizwe Mbowe?
Hata nimekosa kundi la kukuweka.
Nazidi kusisitiza lete hoja siyo vioja na vihoja na matusi. Ukishindana na mjinga, wenye akili watakuona nawe kama mjinga na mpumbavu huyo. Solution ni kumsamehe aendelee na ujinga wake hadi atakapokutana na shetani, labda atamsaidia. Again nasema lete hoja, otherwise sh## up!
 
CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.

Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.

Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.

WHY?
Wakati wa magufuli usalama wa nchi ulikuwa mdogo, kulikuwa na ulazima wa kuzuia mikutano isiyo na umuhimu ikiwemo mikutano ya kisiasa.
 
SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA

Mkuu, wapinzani wapo vile vile, hawajawai kutukana Mtu au kufanya uchochezi wowote! Kuhamasisha maandamano na watu kuandamana ni haki ya kikatiba!
Mabadiliko unayo yaona siyo ya wapinzani, ni serikali imebadilika, tulikuwa awamu ya tano, sasa tupo ya sita!
OK haya! Nawatakia kila la heri! Tukutane Tobo atakaporudi hapo 2025 au siyo!
 
Back
Top Bottom