Kwani si lidicteta lilishakufa?CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.
Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.
Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.
WHY?
Intelligence ilikufa na koronaAulizwe Sirro imekuwaje tena, ile intelijensia yao imeishia wapi?
Mkuu ila Tanzania Bara haina mikoa 26 tu mkuuCHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.
Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.
Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.
WHY?
😲😲😲🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna binadamu yoyote yule atakayejaribu kuihujumu Chadema na akabaki salama.
Kiujinga ujinga kweliiiMkuu ila Tanzania Bara haina mikoa 26 tu mkuu
Rekebisha hapo
Idadi ya Niko 26 ilikua kipindi kile Mkapa alivyoongeza mkoa wa Manyara
Baada ya hapo imeongezwa mikoa ya Katavi,Simiyu,Geita,Songwe na Njombe
Hivyo Tanganyika (Mnayoita Bara) ina mikoa 31 na pengine kiujinga ujinga utaongezwa wa 32 hivi karibuni
Chadema na vyama vingine vya siasa vimeachwa viendelee na shughuli zao, ili watapoangukia pua mwaka 2025, wasije na lawama za kuzuiliwa kufanya mikutano na mizunguko yao. Nadhani safar hii lawama zao watazihamishia kwa tume na katiba mpya. Kwa style hii ya uongozi wa mama uliotukuka, lazima viongozi wa upinzani watangaze kususia uchaguzi ili kuficha aibu watakayokumbana nayo mwaka 2025. Uongozi wa mama anatumia zaidi akili, utu, upendo na ujasiri, pia anatatua kero za wananchi wake, na hapindishi pindi sheria wala kuvunja katiba.
Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Huna akili wewe, ni kama siasa za mtaka yote kwa pupa alieishia kuzikosa zote. Kazi hiyo ya marehemu iungwe mkono na mazezeta kama wewe [emoji107]Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !CHADEMA wamefika mikoa 24 kati ya 26 Tanzania Bara bila kukamatwa na Polisi au kutolewa amri za DC na RC kuzuia mikutano na vikao vya chama katika Mikoa 24 sasa iwe kwa maagizo kutoka juu au kwa taarifa za kiintelijensia.
Najaribu kuona kila jambo jema moja la Shujaa katika mabaya yake mengi, sipati.
Kwanini alidhamiria kuua vyama vya upinzani.
WHY?
Akafa yeye. Chadema ina songa.Halafu kilichomkuta sasa....
Siasa za kistaarabu ni zile alizotaka jiwe za kumtukuza yeye kama mungu ambazo tulizikataa ?Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.
Halafu hakufa kitoto , KAFA SANA !Akafa yeye. Chadema ina songa.
Hayo ni maneno ya kujipa imani tu, hujui yajayo! Tusubiri kabla ya kusema maneno ya hovyo.Hapana, kiongozi muovu yuko motoni, hivyo siasa za kishenzi zimeondoka rasmi nchini.
Out of mada and topic, kinachoonekana hapa ni UANAHARAKATI tu! No more no less!Huna akili wewe, ni kama siasa za mtaka yote kwa pupa alieishia kuzikosa zote. Kazi hiyo ya marehemu iungwe mkono na mazezeta kama wewe [emoji107]
Kumbe Ingizo jipya !Out of mada and topic, kinachoonekana hapa ni UANAHARAKATI tu! No more no less!
Kama mamluki ulifuata mini kwenye kikao chao,huoni ungeweza kuwa sababu ya uvunjifu wa amani.SI KWAKUWA WAMEKUA NA ADABU KUUBWAA? KIPINDI CHA NYUMA MIKUTANO YAO ILIJAA VITISHO NA MAANDAMANO. WATU WALITAMANI MAANDAMANO HADI MSIBANII, KWAHIO WAMEKUWA WAADILIFU KABISAA. MIMI NIMESHIRIKI KIKAO CHAO KIMOJA SIJAONA HATA LUGHA YOYOTE YA UCHOCHEZI WALA LUGHA CHAFU. KWAKWELI WAENDELEEE HIVO HIVOO NA MUNGU AWABARIKI.
Wewe ni mmoja wawalioamini katika matumizi ya mabavu, na uonevu usio na tija, kumbuka enzi mpya hizi.Hapana, hapa hakuna wa kuulizwa, siyo Polisi wala RCs au DCs! Wakuulizwa hapa ni Mbowe na CHADEMA yake! Kulikoni mbona sasa anafanya SIASA za "kiustaarabu" tofauti na hiyo miaka ya nyuma enzi za JPM? Jibu ni rahisi, CHADEMA, kwa sasa wameshika adabu, hawawezi kudiriki kufanya upuuzi wao uliopelekea kufungiwa kufanya siasa, ikiwa ni pamoja na mikutano ya hadhara. Wameshika adabu kweli kweli, na wakidiriki kurudia upuuzi wao wa siku za nyuma, watakiona CHA MTEMA KUNI. Huyu SSH hana mchezo.