CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

Ni kweli hata hizo kura milioni moja mbona ni nyingi sana. Kwa huo uchaguzi wa kutaka kumfurahisha Magufuli, hata kura 20 zitakuwa ni maajabu.
Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa uwazi zaidi na huru.
 
Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa uwazi zaidi na huru.

Wa uwazi wakati tume ya uchaguzi imesema haitatoa fomu za matokeo kwa mawakala, haruhusiwi msimamizi yoyote wa uchaguzi kusema kasoro mpaka uchaguzi uishe. Hayo ni baadhi tu ya upuuzi utakaokuwepo kwenye huo uchaguzi. Au hujui maana ya uwazi nini dogo?
 
Miongoni mwa wanasiasa wachache kwenye akili kubwa ni JJ mnyika amenifanya niipende siasa
Yule mama lazima tumle kichwa, anakimbilia kwenye vyombo vya habari kutangaza nia bila kufuata mwongozo wa CHADEMA!
 
Acha kusimamia porojo za Mnyika na uzushi wake.
Yani tume iamue hivyo alafu Zito Kabwe akae kimya.Unamjua vizuri yule muha au unamsikia?
 
Acha kusimamia porojo za Mnyika na uzushi wake.
Yani tume iamue hivyo alafu Zito Kabwe akae kimya.Unamjua vizuri yule muha au unamsikia?

Kuna uzi ulioletwa hiyo jana na katibu mkuu wa ACT akilalamikia jambo hilo hilo. Huenda hujaagizwa na wanaokulipa ukajibu hoja huko. Waombe ruhusa uende kwenye huo uzi ukapotoshe.
 
Sio kama chama cha Jiwe kupita sijui atapitia wapi wenye chama wanae labda aende Nccr mageuzi kama alivyoiandaa maana na kadi anayo tayari.
 
.

Jr[emoji769]
 
Eti kuitoa ccm madarakani!
Ndoto nyingine siyo sawa hasa ukilala mchana
 
Kwa CDM huyu ndiye mtu sahihi kabisa, ambaye ni ngumu kwake kughilibika kwa rushwa na hatimaye kuunga mkono juhudi. Ni mwanasiasa ambaye CCM wanamuogopa kuliko mwingine yeyote yule hapa nchini. CCM ipo tayari kujaribu kuifitia usajili CDM kuliko Mh. Lissu akapambane na mpeperusha bendera wake.

Makada wa chama tawala wameja "fear of unknown" wa kile kinachoendelea ktk mchakato wa CDM kumtafuta mpeperusha bendera wake.
 
Kikubwa kutokukata tamaa.......
 
Kuna uzi ulioletwa hiyo jana na katibu mkuu wa ACT akilalamikia jambo hilo hilo. Huenda hujaagizwa na wanaokulipa ukajibu hoja huko. Waombe ruhusa uende kwenye huo uzi ukapotoshe.
Kwa hiyo,kumbe unampango wa kuhamia ACT?
mpaka unawafatilia kiasi hiki!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…