Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahakumbe unaishi manzese gentleman,
kumbe ndiyo maana hua una makasiriko sana ee,🐒
hamna mwanamume hapo!Njoo uopoe wako siyo kumendea wa wenzako!
Tulia dawa ikuingie, hivi unadhani chadema Kuna wajinga wajinga kama huko ulipo??nenda kamsaidie mwamba kupangusa machoziNi kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.
Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.
Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.
Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Unateseka ukiwa wppwagu na pwaguzi wanapeana moyo na matumaini sio dah 🐒
Dunia gani?? Au kuna dunia nyingineKama miongoni mwa wanafalsafa mashuhuri duniani gentleman 🐒
Wataanza na Wenje Kwa mujibu wa Lema 😁😁Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.
Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.
Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.
Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Bwashee ila wewe ni mnafki sana. Siulisema Lissu hawezi kuchukua chama saivi unapepea na upepo wa LissuYaani ulishindwa kabisa kuelewa Mbowe anafeli? 🐼😂
HayaBwashee ila wewe ni mnafki sana. Siulisema Lissu hawezi kuchukua chama saivi unapepea na upepo wa Lissu
acha upotoshaji na uzingatie hoja mahususi mezani gentleman 🐒Mbona kwenye Chama pia kuna watu wamejiengua? Na kuna watu walifukuzwa?
Kwenye siasa hayo ni mambo ya kawaida sana
Kila mwenyekiti anakuja na mpango kazi wake
Hata mwenyekiti wenu ana mpango kazi wake
Relax gentleman,
huna haja ya kubabaika na kuweweseka 🐒