CHADEMA yaingia zama za kuengua, kusimamisha na kufukuza wanachama wake kama vibaka

CHADEMA yaingia zama za kuengua, kusimamisha na kufukuza wanachama wake kama vibaka

Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Tulia dawa ikuingie, hivi unadhani chadema Kuna wajinga wajinga kama huko ulipo??nenda kamsaidie mwamba kupangusa machozi
 
Pumzika kuandika propaganda chafu kwa CHADEMA, huoni aibu ulivyoshindwa kwa Lissu?
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wataanza na Wenje Kwa mujibu wa Lema 😁😁
 
Mbona kwenye Chama pia kuna watu wamejiengua? Na kuna watu walifukuzwa?

Kwenye siasa hayo ni mambo ya kawaida sana

Kila mwenyekiti anakuja na mpango kazi wake

Hata mwenyekiti wenu ana mpango kazi wake
acha upotoshaji na uzingatie hoja mahususi mezani gentleman 🐒
 
Relax gentleman,

huna haja ya kubabaika na kuweweseka 🐒

Mi niweweseke tena? Kwa lipi? Unaweweseka wewe uliekuwa Dodoma na wenzio wanakula mapochopocho ya mama wewe kutwa upo chadema, jf na mlimani city hutulii ukashiba wakati wasira anarudishwa yupooooo!
 
Back
Top Bottom