CHADEMA yaingia zama za kuengua, kusimamisha na kufukuza wanachama wake kama vibaka

CHADEMA yaingia zama za kuengua, kusimamisha na kufukuza wanachama wake kama vibaka

kwamba ulishindwa kuelewa kabisa maelezo, ufafa na uchambuzi wangu kisayansi ulikua una maanisha nini gentleman ?πŸ’
Uchambuzi wa kisayansi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sayansi unaijua ww?

Kwanza hiyo ni ramli aka utabiri wa hovyo, kama vile ulivyokuwa unatabiri lissu atashindwa vibaya
Kikowapi? Kuwa mpole
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Dah una roho ngumu sana hivi unajisikiaje sasa baada ya yale magazeti yako yote yaliyokuwa yamejaa uzushi na uongo wa mila aina
 
Mi niweweseke tena? Kwa lipi? Unaweweseka wewe uliekuwa Dodoma na wenzio wanakula mapochopocho ya mama wewe kutwa upo chadema, jf na mlimani city hutulii ukashiba wakati wasira anarudishwa yupooooo!
kwahiyo dodoma sikuwepo gentleman?🀣

na kwani ukiwa Dodoma JF inapotea au sijaelewa? 🀣
 
kwahiyo dodoma sikuwepo gentleman?🀣

na kwani ukiwa Dodoma JF inapotea au sijaelewa? 🀣
Ulikuwepo kimwili na wasanii wengine ila wenzio wanashiba, mwenzao upo bize kuaminisha watu simba ataangushwa, ni busara na uungwana sasa kuacha nature ichukue mkondo wake katika kujenga siasa mpya na mtazamo mpya wa kitaifa na namna na kucope na "msiyemtaka kaja" badala ya kuleta ramli chonganishi hapa! Hujui ya kesho na huna namna ya kujua unakuja kujipa umuhimu hapa eti "zama za kuenguana" achana nazo, kaa chini kunywa maji, relax acha simba aanze kazi zake za kujenga nchi! Hakuhusu
 
Dah una roho ngumu sana hivi unajisikiaje sasa baada ya yale magazeti yako yote yaliyokuwa yamejaa uzushi na uongo wa mila aina
Gentleman,
mimi sina roho ngumu bali nyepesi iliyojazwa upendo, ujasiri , ustahimilivu, bidii na amani ya kiwango cha juu sana hususani humu JF,

hata hivyo,
licha ya tofauti za mirengo na mitazamo katika masuala mballimbali yanayoibuliwa humu jukwaani, bado sintachoka wala kuacha kueleza uzoefu wangu dhidi ya mambo ambayo nadhani yanaweza kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau wa JF kama family.

Niko comfortable sana kuandika humu jukwaani, niko vizuri zaidi kujieleza kwa wananchi na ndio maana nikajaaliwa afya njema basi nami nitakwenda kutetea nafasi ya uwakilishi wa wananchi kule jimboni.

Nawatakia Chadema kila la kheri katika kukisimamia chama chao πŸ’
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Jinga limeingia zama za kuengua akili yake lenyewe. Kashindwa Mbowe linaumia jinga. Na Bado safari matahira kama wewe yote mtapukutika. Jiandae Mungu ameshaanza kuchukua majinga kama wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ulikuwepo kimwili na wasanii wengine ila wenzio wanashiba, mwenzao upo bize kuaminisha watu simba ataangushwa, ni busara na uungwana sasa kuacha nature ichukue mkondo wake katika kujenga siasa mpya na mtazamo mpya wa kitaifa na namna na kucope na "msiyemtaka kaja" badala ya kuleta ramli chonganishi hapa! Hujui ya kesho na huna namna ya kujua unakuja kujipa umuhimu hapa eti "zama za kuengua" achana nazo, kaa chini kunywa maji, relax acha simba aanza kazi zake za kujenga nchi! Hakuhusu
kwahiyo gentleman,
ukiwa mahali kimwili kiroho na kiakili unakua haupo right?🀣

kwahiyo gentleman,
unataka kusema kuna watu hapa wapo Tanzania kimwili lakini kiroho na kiakili wako ubelgiji?au?🀣
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Hashindi hashindi ameshinda! Huu ni utabiri wa watu kama wewe waliojaza funza kichwani! Kila mnachotabiri kinashindwa na kikishindwa mnakuja na kipya!
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Msingi mkuu wa Chadema ni siasa ngumu, siasa za kiharakati. Hizo ndizo siasa zilizoifanya Chadema ikapendwa na watu. Siasa za kistaarabu ndizo zilizoiharibu chadema na siasa hizo ni matokeo ya ujio wa Lowasa. Ndio maana sisi wengine tulisema, anguko la chadema lililopelekea bwana Mbowe kushindwa uchaguzi, ni matokeo ya Ujio wa Lowasa uliopelekea chama kusaliti Mifumo na siasa zake, na ku adopt siasa za CCM( Lowasa).
 
Hashindi hashindi ameshinda! Huu ni utabiri wa watu kama wewe waliojaza funza kichwani! Kila mnachotabiri kinashindwa na kikishindwa mnakuja na kipya!
Relax bas gentleman kama kweli huna funza kichwani πŸ’
 
Back
Top Bottom