CHADEMA yaingia zama za kuengua, kusimamisha na kufukuza wanachama wake kama vibaka

CHADEMA yaingia zama za kuengua, kusimamisha na kufukuza wanachama wake kama vibaka

Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Muda unatumia kuandika hizi pumba ungeutumia kulima bustani ya mbogamboga.
 
Muda unatumia kuandika hizi pumba ungeutumia kulima bustani ya mbogamboga.
nipo shambani gentleman πŸ’

hata wewe ungetumia muda mrefu sana unatumia kunifuatilia ungefika mbali sana kiuchumi gentleman ,

hata hivyo,
bado manufaa ni makubwa sana utayapata mathalani kuongeza uelewa na ufahamu juu ya masuala haya ya siasa.

well done gentleman and welcome πŸ‘Š
 
nipo shambani gentleman πŸ’

hata wewe ungetumia muda mrefu sana unatumia kunifuatilia ungefika mbali sana kiuchumi gentleman ,

hata hivyo,
bado manufaa ni makubwa sana utayapata mathalani kuongeza uelewa na ufahamu juu ya masuala haya ya siasa.

well done gentleman and welcome πŸ‘Š
Kwann Mbowe kashindwa pamoja na Kumpigia kampeni za Kutosha??
 
Kwann Mbowe kashindwa pamoja na Kumpigia kampeni za Kutosha??
Gentleman,
ni mapema mno kwa mtaalamu kueleza au kujibu swali lako muhimu. ni muhimu kuchukua muda kidogo na kutathmini hatua za tangu mwanzo na kubaini wapi changamoto ilitokea na ndipo naweza kueleza jambo hilo πŸ’
 
Gentleman,
ni mapema mno kwa mtaalamu kueleza au kujibu swali lako muhimu. ni muhimu kuchukua muda kidogo na kutathmini hatua za tangu mwanzo na kubaini wapi changamoto ilitokea na ndipo naweza kueleza jambo hilo πŸ’
Uni tag basi Comrade ukijibu
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
images(13)(1)~2.jpeg
 
Sasa Imekuwaje unaanza kupiga ramli mapema hivi wakati Chadema wenyewe wametulia?
sasa gentleman unaniletea ushirikina hali yakua unajua kabisa mimi ni apostle?

siwezi kubabaika nao unless una jambo jengine πŸ’
 
Ni kipindi ambacho chadema itadhiofika zaidi kwenye medani ya siasa huku wanachama wake wenye hekima na busara wakijiengua mapema kuepuka aibu ya ukosefu wa hekima na busara miongoni mwa viongozi wao dhidi ya wanachama wao.

Ni zama ambazo utovu wa nidhamu na kutwezana utu vitaonekana ndio ujasiri miongoni mwa viongozi wake hususani wapya.

Kwa hekima na busara zao viongozi wengi wa chadema katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kitaifa, Kanda, mikoa, wilaya na hata kata wataomba kuachia ngazi na kujiudhulu nafasi zao kuwepa uropokaji na ukosefu wa ustaarabu kwenye uongozi wa juu.

Kama mdau wa siasa, ukizingatia 4rs za Dr.Samia Suluhu Hassan, unadhani chadema imepoteza uelekeo kwa kiasi gani, achilia mbali kwenye suala la rushwa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Kazi najua imeisha,rudi nyumbani ukaangalie mambo mengini ila uwadai pesa ya kuletwa chadema kwa mkopo kwa kampeni ya ulee upande wenu.
 
Hivi kweli kuna watu wanaamini kabisa kuwa Mh. Lisu ataenda holela tofauti na matakwa ya taifa hili?. Siasa za nchi zinatakiwa ziende sawa na maslahi ya taifa so hakuna anayeweza kwenda atakavyo.

Ninachoona ni siasa zitachangamka tu ila eti awe na jeuri aliyonayo akiwa sio mwenyekiti, hilo haliwezekani.

Ni rahisi kwa mwanachama kuwa na msimamo mkali kuliko kiongozi wake sababu uongozi ni wajibu na Mh. Lisu analijua hilo vyema.
 
Relax bas gentleman kama kweli huna funza kichwani πŸ’
Post zako ni definition ya funza kichwani rejea takataka inazoandika kama sio zao la funza! Nadhani you are a great loss in your entire family and clan. Your father would have ejerculated you through masterbation
 
Mwam
nipo shambani gentleman πŸ’

hata wewe ungetumia muda mrefu sana unatumia kunifuatilia ungefika mbali sana kiuchumi gentleman ,

hata hivyo,
bado manufaa ni makubwa sana utayapata mathalani kuongeza uelewa na ufahamu juu ya masuala haya ya siasa.

well done gentleman and welcome πŸ‘Š
Akili ndio kitu huna......
 
Back
Top Bottom