Uchaguzi 2020 CHADEMA yaitaka Tume ya Uchaguzi NEC kutoa Ufafanuzi kuhusu Majina ya Wabunge wa Viti Maalum Wanaodaiwa wamepelekwa Bungeni

Bado najiuliza kama wengi wanavyohoji humu, inakuwaje inakuwaje kukifuata fuata chadema wakati tayari mna wabunge wa kutosha kuongoza bunge pasi hofu?
Serikali ina watu makini sana. Inafanya hivyo ili kusudi pale ipate namna bora ya kuwakata na hakutakuwa na kelele. Kumbuka Serikali za Mitaa. Si mliaminishwa na wajinga eti uchaguzi utarudiwa?
 
CHADEMA imejaa watu wapu-mbavu (eti yanajiita viongozi)! Majina ya Wabunge wa viti maalum hupelekwa kwenye Tume ya Uchaguzi (NEC) Siku 30 kabla ya Uchaguzi Mkuu. Sasa nyie mlipeleka nini!!? Acheni ushamba wewe Mnyika na Mbowe, tunajua mnataka kuchezea majina ya wanaostahili ili mjaze mahawara zenu! CHADEMA ni taasisi ya Umma na si mali ya Mbowe! acheni ujinga!
 
Chadema mnakwama wapi? Mbona vitu vipo wazi. Hakika chama kinaongozwa na vilaza.

NEC inatoa idadi ya wabunge, ukitaka majina nenda bungeni.
 
Seconded
 
BWANA WENUU KAELEKEAA UBELGIJI AMEWAAGAA AMA KELELE TU
 
NJOOON SASA MKIISHIWA TUWALISHE ...
 
NANIIIWENU

amewaachiaa matumizilakini ama
 

Attachments

  • IMG-20201110-WA0038.jpg
    75.5 KB · Views: 2
  • VID-20201110-WA0040.mp4
    1.3 MB
REMMY ONGALA ALISEMAAA
WEMAAAAAA WEMAAAA.......
 

Attachments

  • Screenshot_20201110-192710.png
    147.7 KB · Views: 2
Kama ni kweli nec wamepeleka majina bila mawasiliano na chama husika,basi hii italeta hisia hasi juu ya utendaji kazi wa hii taasisi,then kwanini kuwe na mivutano?Mambo Kama haya yanarudisha hitaji la TUME huru,nje ya hapo turudi tu mfumo wa chama kimoja maisha yaende.
 
Serikali ina watu makini sana. Inafanya hivyo ili kusudi pale ipate namna bora ya kuwakata na hakutakuwa na kelele. Kumbuka Serikali za Mitaa. Si mliaminishwa na wajinga eti uchaguzi utarudiwa?
Sikuelewi..!
 
Nilijua tu watapandikiza watu wao bloodyfools
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…