Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tupo siti za mbele hakuna kulala Dakika za majeruhi lazima kuendeleza mbinyo kwa hawa wenzetu wa mtaa wa Lumumba wakubali matokeo 2020
Mbona chakubanga amegundishia mic mdomoni? Acha upepo uvume tuzione nyeti zenu, kware nyie.juzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Keisha yupi,yule albino wa CCM?Chadema Keisha habari yao.
Pole pole kila dk 5 yy yuko kwenye TV zote na redio zote zinazomilikiwa na MTU wa chatojuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Akiongea mwenezi wa chama mboga mboga,haulalamiki ama haufahamu kuwa walikuwa wamafungwa midomo kwa miaka mitano.juzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Mmh kwani kuna masharti? Mbona polepole keshaitisha PC zaidi ya mara tatu? Nyakati kama hizi hilo ni jambo la kawaida kabisajuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Yule anguko lake ilikaribia ,hata hajashitakiwa na chadema ,ni clip yake tu imemshitaki ,hivi kwenye mikutano ya chadema kwa mfano wahuni walete vurugu OCD kama yule atatoa msaada ganiOCD Hai ameshindwa kubalance shobo, ona sasa hatma yake iko mashakani.
Good observation (Madame) ...................but its impossible for us to have online vote (president by internet)I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
Tuko busy na mzalendo jpm
Punguza shobo wewe humuoni kibanga naye kila Siku anaitisha pressjuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama