CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Yule anguko lake ilikaribia ,hata hajashitakiwa na chadema ,ni clip yake tu imemshitaki ,hivi kwenye mikutano ya chadema kwa mfano wahuni walete vurugu OCD kama yule atatoa msaada gani
Aliyerusha hiyo Clip unamjua? au chadema wanamjua? ili asaidie polisi uchunguzi?

hiyo video sio ya kutengeneza? ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?

Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea

Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili

Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana

Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
 
Tupo siti za mbele hakuna kulala Dakika za majeruhi lazima kuendeleza mbinyo kwa hawa wenzetu wa mtaa wa Lumumba wakubali matokeo 2020
Sisi mapema sana tutakuwa tumekubali matokeo. Mbona mapema tuu. Tutakubali kabisa kwa kuwa CHADEMA itakuwa imeshindwa Buuuuu!
 
Aliyerusha hiyo Clip unamjua? au chadema wanamjua? ili asaidie polisi uchunguzi?

hiyo video sio ya kutengeneza? ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?

Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea

Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili

Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana

Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
Hiki unachokiandika siyo propaganda tena,bali ni uongo sasa
 
Aliyerusha hiyo Clip unamjua au chadema wanamjua ili asaidie polisi uchunguzi?

He hiyo video sio ya kutengeneza ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?

Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea

Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili

Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana

Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
Nye ni wajinga kweli,hivi kwanini CCM mnakuwa vilaza hivi ,video inaonekana kwa macho ni ya kweli ,anaunda timu ya uchunguzi ya kwenda hai ya nini wakati polisi wana wataalam wa IT dk 5 wanakaa wanaangalia kama video ya kweli au uwongo.

Wewe ni mpumbavu na kilaza hata adhabu haijatolewa unatetea upumbavu
 
Nye ni wajinga kweli,hivi kwanini CCM mnakuwa vilaza hivi ,video inaonekana kwa macho ni ya kweli ,anaunda timu ya uchunguzi ya kwenda hai ya nini wakati polisi wana wataalam wa IT dk 5 wanakaa wanaangalia kama video ya kweli au uwongo.

Wewe ni mpumbavu na kilaza hata adhabu haijatolewa unatetea upumbavu
Tumeshazoea ccm ni wajinga na vilaza basi msionyeshe wazi kiasi hiki
 
I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election [emoji736]
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora muyaeleze hayo maovu "yanayopangwa" na hao maccm, ambayo hayaleti afya kwa demokrasia nchini kwetu
Mimi wananikera wanaposema ngome zimevamiwa nijuavyo mimi ngome ndiyo ulinzi wa mwisho wa roho yako 'chukueni hatua'
 
Erythrocyte, kuna ujambazi mkubwa sana unaendelea sirini kwenye akaunti za watu kwenye mabenki. Wakikuta akaunti yako imetabasamu, unaitwa unaombwa kiasi. Ukishebedua unapigwa loki. Halafu inachukuliwa kibabe, ukileta mdomo unaambiwa chanzo chako cha pesa siyo halali kwahiyo kesi ya utakatishaji wa fedha inakuhusu.
Mtakumbuka wiki iliyopita watu wenye akaunti CRDB walishtukia udokozi wa kuanzia elfu 10 hadi 50 na wenginezaidi. Walipopiga kelele wakasema ni mtandao ulikosea wakazirudisha. Huo uhuni HAUKUBALIKI. Siyo kuwa kwasababu ccm inakufa, inapiga mateke masufuria yenye chakula na sisi tufe nayo. SHUJAA LSSU ALIZUNGUMZIE HILI NA AWAOMBE WAPIGA KURA WAKOMESHE HII KITU NA KULIONDOA HILI ZIMWI kwasababu huko tunakokwenda huyu SHETANI akiendelea, tutaishi kama tuko jehanamu. #SasaBasi.
 
Nye ni wajinga kweli,hivi kwanini CCM mnakuwa vilaza hivi ,video inaonekana kwa macho ni ya kweli ,anaunda timu ya uchunguzi ya kwenda hai ya nini wakati polisi wana wataalam wa IT dk 5 wanakaa wanaangalia kama video ya kweli au uwongo.

Wewe ni mpumbavu na kilaza hata adhabu haijatolewa unatetea upumbavu
Unaweza angalia video kwa macho tu ukasema ya kweli

Bendi nyingi zikirekodi waweza waona wakiimba kwenye barabara za marekani na majengo ya marekani kumbe wamerekodi Dar es salaam ni mchanganya video tu studio kafanya mambo yake

Humu Chadema tulishawafuma mkiweka nyomi za Lowasa za 2015 huku mhutubiaji akiwa Lieu

Huyo video huwezi itizama tu ukasema ni kweli .Uchunguzi wa kipolisi na wataalamu wa forensic ndio waweza sema ni yenyewe au la lakini kuikodolea tu mimacho na kusema ni yenyewe ni uongo
 
Tumeshazoea ccm ni wajinga na vilaza basi msionyeshe wazi kiasi hiki
Duuh kweli bavicha mmevurugwa ,

Una comment halafu unajijibu tena mwenyewe na kujipiga mkwara kabisa.
 
Unaweza angalia video kwa macho tu ukasema ya kweli

Bendi nyingi zikirekodi waweza waona wakiimba kwenye barabara za marekani na majengo ya marekani kumbe wamerekodi Dar es salaam ni mchanganya video tu studio kafanya mambo take

Humu Chadema tulishawafuma mkiweka nyomi za Lowasa za 2015 huku mhutubiaji akiwa Lieu

Huyo video huwezi itizama tu ukasema ni kweli .Uchunguzi wa kipolisi na wataalamu wa forensic ndio waweza sema ni yenyewe au la lakini kuikodolea tu mimacho na kusema ni yenyewe ni uongo
Unamwandikie kumjibu nani kwa utumbo mwingi hivi ,huo utumbo mwandikie mmeo ,nye vilaza si mnapinga kila kitu cha wazi
 
Ni matakwa ya kisheria. Huwezi kumhukumu mtu bila kumsikiliza kwanza.
Nye ni wajinga kweli,hivi kwanini CCM mnakuwa vilaza hivi ,video inaonekana kwa macho ni ya kweli ,anaunda timu ya uchunguzi ya kwenda hai ya nini wakati polisi wana wataalam wa IT dk 5 wanakaa wanaangalia kama video ya kweli au uwongo.

Wewe ni mpumbavu na kilaza hata adhabu haijatolewa unatetea upumbavu
 
Back
Top Bottom