CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Erythrocyte, kuna ujambazi mkubwa sana unaendelea sirini kwenye akaunti za watu kwenye mabenki. Wakikuta akaunti yako imetabasamu, unaitwa unaombwa kiasi. Ukishebedua unapigwa loki. Halafu inachukuliwa kibabe, ukileta mdomo unaambiwa chanzo chako cha pesa siyo halali kwahiyo kesi ya utakatishaji wa fedha inakuhusu.
Mtakumbuka wiki iliyopita watu wenye akaunti CRDB walishtukia udokozi wa kuanzia elfu 10 hadi 50 na wenginezaidi. Walipopiga kelele wakasema ni mtandao ulikosea wakazirudisha. Huo uhuni HAUKUBALIKI. Siyo kuwa kwasababu ccm inakufa, inapiga mateke masufuria yenye chakula na sisi tufe nayo. SHUJAA LSSU ALIZUNGUMZIE HILI NA AWAOMBE WAPIGA KURA WAKOMESHE HII KITU NA KULIONDOA HILI ZIMWI kwasababu huko tunakokwenda huyu SHETANI akiendelea, tutaishi kama tuko jehanamu. #SasaBasi.
Labda huna habari kuwa mdogo wake lema mgombea ubunge Jimbo la Arusha mjini alikamatwa kwa kujaribu kuingilia mifumo ya kibenki.
 
I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
Good observation (Madame) ...................but its impossible for us to have online vote (president by internet)
Are these online Chadema members?

9CF3A077-11ED-4BEA-8CAB-C88F67481DA3.jpeg
 
I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
Wewe ni yule asiyejua hiyo lugha uliyoitumia, au kawaajiri wengi wa aina yake, wewe ukiwa mmoja wao?

You simply have no handle to the language.
 
Hivi hao waandishi wa habari hawachoki tu kuwasikiliza maana kila mara tu mnaongea nao na hakuna impact yeyote ya mazungumzo yenu.
Kitendo cha wewe kujua tu kuwa kila mara waandishi wanaenda kusikiliza ujue ndiyo impact yenyewe tunayoitaka
 
Labda huna habari kuwa mdogo wake lema mgombea ubunge Jimbo la Arusha mjini alikamatwa kwa kujaribu kuingilia mifumo ya kibenki.
Ndio huyo mlisema ni muIsrael? Ufala wenu unafika mwisho washenzi wakubwa nyie. Mdogo wake Lema ndiye aliyefanya ujambazi na kuchukua pesa zote kwenye bureau de change zote nchini na ndiye aliyewafilisi wafanyabiashara wote nchini? Ndiye aliyesababisha makampuni binafsi yanauzwa? Nyie subirini tu hizo pesa mtazinya. Mmeshazoea dhuluma, ipo siku yenu yaja.
 
Wataongelea mafanikio yaliyopatikana baada ya Lisu kwenda kununua nyanya kariakoo
 
Back
Top Bottom