CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Tupo siti za mbele hakuna kulala Dakika za majeruhi lazima kuendeleza mbinyo kwa hawa wenzetu wa mtaa wa Lumumba wakubali matokeo 2020
Mmmh nimekosa kiti naomba kale ka mkeka nikae huku,fungueni madirisha tupate hewa.
 
Bora muyaeleze hayo maovu "yanayopangwa" na hao maccm, ambayo hayaleti afya kwa demokrasia nchini kwetu
pia wazisome hadharani barua zote za malalamiko walizoziwasilisha NEC dhidi ya mgombea urais wa CCM na pia wafafanue mashiko ya hayo malalamiko kisheria na kikanuni.
halikadhalika waeleze kwa nini Chadema inaamini NEC ina upendeleo kwa mgombea urais wa CCM.
 
Yani chadema muendelee kuruka na huyu kilaza wenu ila ikifika October 28 mtaelewa tunaposema tutawachapa na safari hii kwa kishindo hadi mtastaafu siasa.
Sio kustaafu tu na Mbeligiji atarudi kwao waliomtuma.
 
Pale makaomakuu ya Chadema sio ofisi ni store ya kutunzia mizigo.
images%20(1).jpg
 
Aliyerusha hiyo Clip unamjua? au chadema wanamjua? ili asaidie polisi uchunguzi?

hiyo video sio ya kutengeneza? ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?

Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea

Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili

Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana

Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
Una mume?
 
Back
Top Bottom