Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,826
- 5,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapoHivi makao makuu ya chama ndio pale ofisa wa NEC alipoonekana anatoka akiwa amepanda bodaboda or?
Hata mi nimeona aisee kuna fala kabandika picha yake Jana usiku hapa getini kwangu.kawa albino aisee kweli.Keisha yupi,yule albino wa CCM?
Kaa kwa kutulia taga.Hivi hao waandishi wa habari hawachoki tu kuwasikiliza maana kila mara tu mnaongea nao na hakuna impact yeyote ya mazungumzo yenu.
Mmmh nimekosa kiti naomba kale ka mkeka nikae huku,fungueni madirisha tupate hewa.Tupo siti za mbele hakuna kulala Dakika za majeruhi lazima kuendeleza mbinyo kwa hawa wenzetu wa mtaa wa Lumumba wakubali matokeo 2020
pia wazisome hadharani barua zote za malalamiko walizoziwasilisha NEC dhidi ya mgombea urais wa CCM na pia wafafanue mashiko ya hayo malalamiko kisheria na kikanuni.Bora muyaeleze hayo maovu "yanayopangwa" na hao maccm, ambayo hayaleti afya kwa demokrasia nchini kwetu
Sio kustaafu tu na Mbeligiji atarudi kwao waliomtuma.Yani chadema muendelee kuruka na huyu kilaza wenu ila ikifika October 28 mtaelewa tunaposema tutawachapa na safari hii kwa kishindo hadi mtastaafu siasa.
Chama kubwa!
Mbona chakubanga amegundishia mic mdomoni? Acha upepo uvume tuzione nyeti zenu, kware nyie.
Ukimshangaa huyu basi huna budi kupigwa bumbuwazi na Polepolejuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Joined september 21Yani chadema muendelee kuruka na huyu kilaza wenu ila ikifika October 28 mtaelewa tunaposema tutawachapa na safari hii kwa kishindo hadi mtastaafu siasa.
M
Ofisi ndogo ile itatutosha wote unaotukaribisha?
Una mume?Aliyerusha hiyo Clip unamjua? au chadema wanamjua? ili asaidie polisi uchunguzi?
hiyo video sio ya kutengeneza? ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?
Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea
Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili
Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana
Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
juzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Hivi ilikuwaje Keisha mkamchomoa kwenye Halmashauri kuu ya Ccm?Chadema Keisha habari yao.
Chakubanga anaongea kila baada ya siku 3 huoni.kweli wewe ni msukule wa ccmjuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Polepole anaongea kila baada ya siku mojajuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama