CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA yaitisha Mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
Heri yule anayejidanganya kidogo,kuliko yule anayetaka kuubadili ukweli kuwa uongo.
 
Hivi hao waandishi wa habari hawachoki tu kuwasikiliza maana kila mara tu mnaongea nao na hakuna impact yeyote ya mazungumzo yenu.
Kweli nyani haoni kundule pole pole hamuoni ila wakiitisha chadema wakiitisha mkutano munawashwa kweli kuku akinya amekunya akinya bata kaharisha Lumumba mnapumulia visinginoni
 
Aliyerusha hiyo Clip unamjua? au chadema wanamjua? ili asaidie polisi uchunguzi?

hiyo video sio ya kutengeneza? ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?

Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea

Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili

Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana

Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
Mjinga mwingine huyu hahaha ugali kuutetea lazima ujitoe ufaham
 
Yule anguko lake ilikaribia ,hata hajashitakiwa na chadema ,ni clip yake tu imemshitaki ,hivi kwenye mikutano ya chadema kwa mfano wahuni walete vurugu OCD kama yule atatoa msaada gani
Hii point, imenifanya nigundue kwanini askar hatakiwi kujihusisha na siasa au kuwa mwamachama
 
Link please!
Hakuna mwandishi aliyefika hadi mida wanawapigia simu kuwabembeleza waende wengi hawataki wengine wanadai nauli

Saa hiibinaingia saa sita Hanna kitu yaani wanakosa hadi wandishi wa habari
 
Hivi hao waandishi wa habari hawachoki tu kuwasikiliza maana kila mara tu mnaongea nao na hakuna impact yeyote ya mazungumzo yenu.
Kama hakuna impact,mbona maji ya shingo kwa chama mbogamboga, hata mnakimbilia mbeleko na bado hamjiamini.
 
Labda huna habari kuwa mdogo wake lema mgombea ubunge Jimbo la Arusha mjini alikamatwa kwa kujaribu kuingilia mifumo ya kibenki.
Ndio kazi za mbeleko zenu kubambikia mashitaka ya uongo.
 
Hakuna mwandishi aliyefika hadi mida wanawapigia simu kuwabembeleza waende wengi hawataki wengine wanadai nauli

Saa hiibinaingia saa sita Hanna kitu yaani wanakosa hadi wandishi wa habari
Wewe ni propagandist wa chama mfu-CCM mkuu?
 

Wote mnakaribishwa .

=======

1602319817178.png


Ingefaa na hii pic iwekwe sambamba
 
Yule anguko lake ilikaribia ,hata hajashitakiwa na chadema ,ni clip yake tu imemshitaki ,hivi kwenye mikutano ya chadema kwa mfano wahuni walete vurugu OCD kama yule atatoa msaada gani

Huyo OCD ndio amekuwa akiratibu mikutano ya Mbowe kufanyiwa fujo yeye na DC. Na yeye DC ndio waliratibu Lisu kupigwa mawe huko hai.
 
I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tundu anajikutaga anajua kila kitu. Hapo utakuta anataka kufundisha idara za serikali kazi.

Eti ndugu zangu mnaotokea singida jina "Tundu" lina maana gani kilugha?
 
Back
Top Bottom