Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Umepanic relaxNa hamna kitu mtafanya kudadadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepanic relaxNa hamna kitu mtafanya kudadadeki
Ofisi zenyewe sasa hata za mwenyekiti wa soko la Tandale ni nafuujuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Huyu mnyika jimbo limemshinda analeta story za vijiweni
Ndio mkutano wa waandishi wa habari kamanda?Kwa kifupi mchakato wa kuchapisha makaratasi ya kupigia kura umeshitukiwa na ni mchakato haramu kwa malengo haramu
Ushahidi kuwa anaratibu unaweza kuwa nao? Concrete evidence?Huyo OCD ndio amekuwa akiratibu mikutano ya Mbowe kufanyiwa fujo yeye na DC. Na yeye DC ndio waliratibu Lisu kupigwa mawe huko hai.
Ushahidi kuwa anaratibu unaweza kuwa nao? Concrete evidence?
Ah Jane msambwanda,mtata weweMkuu, ili nipate kichekesho kingine kama hiki natakiwa kupiga namba gani?
Na ulivyo na mshepu mkubwa lazima uchokeMmetupotezea muda tumeacha kazi zetu halafu mkutano wenyewe haupo. Chadema ovyo sana
ni chama kimesema?Sasa kama chadema ni chama cha kihuni je yule mgombea wa CCM aliyesema jukwaani anataka sugu amsugue kweli kweli tuseme ni chama cha aina gani?
wahuniTime management seems to be an issue with these guys.
Kauli ya mwenyekiti ni kauli ya chama,au na wewe unataka usuguliweni chama kimesema?
Sasa wa kupanic mimi au nyie magwanda mnaolialiaUmepanic relax
TutaupingaKwahiyo mtafanyaje?
Baada ya kuwashinda majukwaani mnatafuta upenyo kwenye makaratasiHiki Chama Bwana badala ya kuelekeza nguvu kwenye kampeni wapo bize na nani amechapisha makaratasi.Sera hawana kabisa
Kumbe unafuatilia!?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mmetupotezea muda tumeacha kazi zetu halafu mkutano wenyewe haupo. Chadema ovyo sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheeeka kwa nguvuMbona chakubanga amegundishia mic mdomoni? Acha upepo uvume tuzione nyeti zenu, kware nyie.
Kama huwa unafuatilia chadema kiasi hiki,kuanzia leo wewe ni rafiki yangu mpendwa[emoji28][emoji28][emoji28]Mmetupotezea muda tumeacha kazi zetu halafu mkutano wenyewe haupo. Chadema ovyo sana