Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE
Mwanzo Mzuri.. Ila pesa bado ndogo.. Kulinganisha na umma. Kikubwa nina ona ni ile spirit ya kuchanga... Ukiweza shawishi mtu akuchangie pesa ni wazi ume mshawishi akupigie kura. Sasa usikute pesa yote wana changia diaspora hapo ndiyo kuna Chamgamoto.
Mshahara wa CEO wa Vodavom wa mwezi mmoja.
Tundu Lissu atakufa kwa presha,kuendesha vyama kunataka hela
Watanzania tuko milioni 64 na imepayikana milioni 64 ina maana kila mtanzania kachangia shilingi moja
Mshahara wa CEO wa Vodavom wa mwezi mmoja.
Tundu Lissu atakufa kwa presha,kuendesha vyama kunataka hela
Watanzania tuko milioni 64 na imepayikana milioni 64 ina maana kila mtanzania kachangia shilingi moja
Kwa muda mfupi walioanza, na changamoto walizokutana nazo tunaweza kusema wameanza vizuri sana. Bado tunaendelea kuchanga kila mwezi. Najua wewe unasubiri kwa hamu Lissu afeli lakini Mungu alivyo mkubwa si ajabu wewe ndiye utakayekufa kwa pressure mwaka huu.
Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE
Na hapo Vodacom walikuwa wanarudisha miamala. Sasa wasingerudisha ingekuwaje?
Mungu azidi kuwatangulia mfanikishe lengo lenu.
Ushauri wangu. Tafuteni pia namna ya ku monitor hiyo michango yenu electronically. Kama wameweza kuzuia michango isifike hawashindwi pia kuwaibia kimtandao account ikawa na pesa kidogo.
Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE