Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Yaani ‘Niffer’ kwa masaa mannę baada ya ghorofa la kariakoo kuanguka; alichangisha karibu millioni 50 kabla ya kuzuiwa kuchangisha na serikali.
CDM taasisi kubwa walitakiwa kuwa kwenye billions sasa hivi, kwa cause yao.
Sasa jiulize Lissu ndio wakuingiza watu barabarani kweli kuzuia uchaguzi, vikundi vya watu wachache mitandaoni visiwadanganye.
CDM inatakiwa kubadili strategy hasa rhetoric yao, Lissu anaongea kisomi sana that’s not politic. Unatakiwa uonge na wananchi lugha watayoilewa.
CDM taasisi kubwa walitakiwa kuwa kwenye billions sasa hivi, kwa cause yao.
Sasa jiulize Lissu ndio wakuingiza watu barabarani kweli kuzuia uchaguzi, vikundi vya watu wachache mitandaoni visiwadanganye.
CDM inatakiwa kubadili strategy hasa rhetoric yao, Lissu anaongea kisomi sana that’s not politic. Unatakiwa uonge na wananchi lugha watayoilewa.