Pre GE2025 CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone

Pre GE2025 CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapana mkuu. Mimi katu sitaombea Lissu ashindwe kwani itakuwa ni Tanzania imeshindwa. Mbowe sikutaka aendelee kwa sababu tu alishakaa muda mrefu hivyo angekiuka ile kanuni muhimu sana ya demokrasia ambayo huwa naitetea: ukomo wa madaraka.
Lissu hana anapofika!! Hata kama tunatetea demokrasia huwezi tetea ule ushenzi aloonesha Lissu na chawa wake wakati wa kampeni!! Trust me! Lissu kaipoteza elite group kwa kiwango kikubwa sana na bahati mbaya yake siasa zake si rahisi kueleweka kwa lumpen!

Lissu kajiharibia mno ile behavior aliyoonesha wakati wa kuusaka uenyekiti na itamgharimu sana. Mimi niliyekua nasikiliza hotuba za lissu hadi kuanzisha thread humu…. Kumchangia matibabu then gari leo sikua wa kusikia kichefuchefu nikimsikia Lissu!
 
SIku chache baada ya matangazo kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema kusema kuwa wamechangiwa milioni 64, tayari chama hicho kimetoa taarifa kuwa Tundu Lissu atakwenda Uganda kwenye shughuli za kikazi.

Kwa vile ni shughuli za chama, huko atakula posho ya maana kwa viwango vile vile vya serikali, endeleeni kuchanga wanachadema Lissu anazidi kuzitengenezea safari, hapo hajaenda Ulaya nako kuongea na mabeberu.

Kweli wanadamu wanaangamia kwa kukosa maarifa

Snapinsta.app_482154266_18350636674194590_3125930399646093289_n_1080.jpg
 
Watanzania jilioni 64 wachangia milioni 64,what a shame,nani masikini hapo mimi au watanzania
Huo ni mwanzo tu au sio ??
Na michango inaendelea bila ukomo au sio hivyo ??
Inawezekana watu wakajiwekea kautaratibu ka kila siku au kila wiki au kila mwezi kutuma michango yao 🙌
 
Lissu hana anapofika!! Hata kama tunatetea demokrasia huwezi tetea ule ushenzi aloonesha Lissu na chawa wake wakati wa kampeni!! Trust me! Lissu kaipoteza elite group kwa kiwango kikubwa sana na bahati mbaya yake siasa zake si rahisi kueleweka kwa lumpen!

Lissu kajiharibia mno ile behavior aliyoonesha wakati wa kuusaka uenyekiti na itamgharimu sana. Mimi niliyekua nasikiliza hotuba za lissu hadi kuanzisha thread humu…. Kumchangia matibabu then gari leo sikua wa kusikia kichefuchefu nikimsikia Lissu!
Leo mnamgeuzia Lissu wakati Mbowe na kundi lake ndiyo walikuwa kama vichaa? Kweli binadamu ni kiumbe mwingine. Huyu huyu Mbowe alikodi mpaka mamluki wachumia tumbo wakubwa kama kina Balile, Kibanda ndiyo unasema alifanya kampeni nzuri? Pisheni huko..
 
Leo mnamgeuzia Lissu wakati Mbowe na kundi lake ndiyo walikuwa kama vichaa? Kweli binadamu ni kiumbe mwingine. Huyu huyu Mbowe alikodi mpaka mamluki wachumia tumbo wakubwa kama kina Balile, Kibanda ndiyo unasema alifanya kampeni nzuri? Pisheni huko..
Nimekupata kwenye kona 😂😂😂😂!!! Anyways muda ni hakimu wa kweli.
 
Mbona mna mabasha zenu wa Ulaya wanawafadhili ndio chanzo Cha mapovu ya kibaraka Lisu baada ya kuulizwa na Balile 😆😆
Umri, elimu, na ustaarabu ulionao vinakukataza kutumia lugha chafu. Mlipompiga risasi na kuzuia haki zake zote hamkutosheka, mkadhani mumeishamuua bahati MUNGU akamfufua. Hasira zimehamia kwenye matusi maana risasi zilishindwa.
 
Yaani ‘Niffer’ kwa masaa mannę baada ya ghorofa la kariakoo kuanguka; alichangisha karibu millioni 50 kabla ya kuzuiwa kuchangisha na serikali.

CDM taasisi kubwa walitakiwa kuwa kwenye billions sasa hivi, kwa cause yao.

Sasa jiulize Lissu ndio wakuingiza watu barabarani kweli kuzuia uchaguzi, vikundi vya watu wachache mitandaoni visiwadanganye.

CDM inatakiwa kubadili strategy hasa rhetoric yao, Lissu anaongea kisomi sana that’s not politic. Unatakiwa uonge na wananchi lugha watayoilewa.
Pamoja na kuongea vizuri sana, lakini ngoja chawa wa Lissu waje wakutukane maana zaidi ya kutukana hakuna chawa wa Lissu anayeweza kukujibu kwa hoja!
 
Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE

Soma, Pia
Pengo la Mhe Mbowe linaonekana wazi
 
Hamasa ziendelee, Harakati za kumtoa mkoloni hazijawahi kuwa rahisi.
 
Mshahara wa CEO wa Vodavom wa mwezi mmoja.
Tundu Lissu atakufa kwa presha,kuendesha vyama kunataka hela
Watanzania tuko milioni 64 na imepayikana milioni 64 ina maana kila mtanzania kachangia shilingi moja
Jikite kwenye hoja
 
Nchi ina watu milioni 60, kupata hizo 64 milioni, maana yake kila mtanzania katoa shilingi 1.
 
Nchi ina watu milioni 60, kupata hizo 64 milioni, maana yake kila mtanzania katoa shilingi 1.
Kwa mujibu wa Msigwa Chadema ina wanachama 400,000 maana yake ni kuwa kama wamepata milioni 64 maana yake kila mwanachadema kachangia shilingi 160

Hela ndogo mno Chadema bado ina safari ndefu kwenye pesa

Tundu Lisu anachoweza ni makelele tu kwenye Pesa hakuwezi yeye na hiyo timu yake mpya
 
Najaribu kuwaza kwa sauti, na kisha najiuliza maswali kimoyo moyo ila jibu sipati,.

Ivi wadau kweli Chadema hii yenye nguvu na makelele mengi mtaani wanachama wake wameweza kuchangia milioni 64 peke ake kwenye kampeni ya tonetone ??

Hii imekaaje wadau ?


Kuna wazo pia nikiwahi lipata, nilijaribu kufanya research kwa marafiki zangu wote wanachadema nikagundua kua katika kila rafiki zangu 10 ambao hujinasibu kua ni wanachadeam saba kati yao aifha hawana kadi za kupigia kira au pia huwa hawaendi kabisa kupiga kura.
Badae mtu akanambia research ulofanya haipo valif na nini nini ...

Sasa hili la michango ya tonetone imeibua maswali mapya kichani mwangu kwakweli.

Kama kuna wana chadema geb watupe mawazo yao juu ya hii issue tuone ????
 
Najaribu kuwaza kwa sauti, na kisha najiuliza maswali kimoyo moyp ila jibu sipati,.

Ivi wadau kweli Chadema hii yenye nguvu na makelele mengi mtaani wanachama wake wameweza kuchangia milioni 64 peke ake kwenye kampeni ya tonetone ??

Hii imekaaje wadau ?
Si bado wanaendelea?
 
Wengi ni wafuasi wa mdomo tu, hawana uzalendo na chama chao.
Kwa hali hii wacha CCM watunyooshe
 
Mil 64 ndani ya siku 4 unasema imekwama?

Hapo kuna fitna za kimtandao za Vodacom na TCRA alafu unadhani pesa hizo ni kidogo?

Kama msingeweka hizo fitna zenu now tungekuwa tunaongelea Mil. 300 kwa siku 4.

Pia kumbuka michango inaendelea.
 
Back
Top Bottom