Pre GE2025 CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone

Pre GE2025 CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pesa ndogo hiyo! Juhudi ziendelee kufanywa kupata pesa zaidi.
Waelekeze nguvu Mikoani. Huku Sumbawanga msimu wa maharage umeanza, pesa ni kedekede. Wakielimishwa wadau wa huku, michango itazidi hapo.
 
Kampeni ya 'Tone Tone' ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyoanzishwa usiku wa kuamkia Februari 28, 2025, imefanikiwa kukusanya shilingi milioni 64.3 kutoka kwa Watanzania.
Na ikumbukwe kila baada ya siku saba, Kutakua na taarifa ya makusanyo haya.
Naomba niweke thread hii ili tuendelee kupata update hizo, kwa yoyote atayeweza kufahamu kwa muda, kwasababu ya ufinyu wa taarifa. Chadema wako transparent sana. Kongole kwao. Ningeomba pia update wananchi tuipate ya week iliyoisha juzi.
 
Back
Top Bottom