Pre GE2025 CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone

Pre GE2025 CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE

Soma, Pia
hicho ni kiasi cha gharama ya retreat moja ya kula bata kama ile Bagamoyo majuzi, right? :pedroP:
 
Hizi mimba changa mlizobeba zinazowafanya mtapike maneno ya shombo mithili ya dagaa bichi very soon mtayatapika au kuwatokea puani!! Muda ni hakimu mzuri sana!
Umekuwa mtetezi wa Mwamba?!
 
Tafsiri hapo ni kwamba zitakuwa kura 22150 (0.75%) sababu hakuna anayechangia shilingi 1. Wanaanza 1000 na kuendelea.
Kama watu 64 miln na kila mmoja kachangia Shilingi moja na mtu mmoja kura moja, maana yake acceptance ni 100%.
 
Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE

Soma, Pia
CHADEMA HAIKUBALIKI NA UMMA KELELE NYINGI SANA PESA KIDOGO
 
Umechagua fungu baya sana muda utasema.
Hapana mkuu. Mimi katu sitaombea Lissu ashindwe kwani itakuwa ni Tanzania imeshindwa. Mbowe sikutaka aendelee kwa sababu tu alishakaa muda mrefu hivyo angekiuka ile kanuni muhimu sana ya demokrasia ambayo huwa naitetea: ukomo wa madaraka.
 
Sio ndogo hata hiyo shilingi moja, tumeonesha mwanzo mwema.
Tanzania tuna mikoa 31

Hiyo milioni 64 ukigawa kwa mikoa 31 ni kuwa kila mkoa mzima umechangia milioni mbili na Watu wa nje ya nchi wamechangia milioni 2

Kwa mkoa mzima kuchangia milioni 2 na diaspora kuchangia milioni 2

Ni hela ndogo sana

Hizo milioni 64 Mbowe zote angetoa mfukoni mwake peke yake
 
Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 03 Machi 2025, Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam ametoa taarifa ya kiasi kilichokusanywa tangu kuzinduliwa kwa mkakati maalum wa TONE TONE uliolenga kushirikisha umma kukichangia Chama, ambapo mpaka tarehe 1 Machi, amesema jumla ya TSh. Milioni 64,315, 150 ilikuwa imepatikana kupitia TONE TONE

Soma, Pia
Hata wiki bado na Pesa inakatwa kwa mwezi.

Tone tone imekuja kwa mafanikio zaidi
 
Tanzania tuna mikoa 31

Hiyo milioni 64 ukigawa kwa mikoa 31 ni kuwa kila mkoa mzima umechangia milioni mbili na Watu wa nje ya nchi wamechangia milioni 2

Kwa mkoa mzima kuchangia milioni 2 na diaspora kuchangia milioni 2

Ni hela ndogo sana

Hizo milioni 64 Mbowe zote angetoa mfukoni mwake peke yake
Changisha wewe wale wanywa gongo wenu kama watachanga hata laki moja.

Nyie pokeeni tu pesa za mabeberu basi
 
Hizo enzi za Mbowe ilikuwa ni kama kumsukuma mlevi..zinapatikana ndani ya masaa machache🐼
 
Hizo enzi za Mbowe ilikuwa ni kama kumsukuma mlevi..zinapatikana ndani ya masaa machache🐼
Mbowe alikuwa anaamimiwa na wenye pesa wenzie matajiri na wafanyabiashara


Sababu ni mtu anashughuli.za kumwingizia kipato za.pesa nyingi zinazojulikana

Lisu na Godbless Lema hawana shughuli za kueleweka za kuwaingizia kipato matajiri.na wafanyabiashara kuwaamini inakuwa kipengele
 
Naomba msaada jinsi ya kuchangia kupitia mix by yas! Na mimi nitie baraka zangu hapo
 
Njia ipi ya kuchangia wajf million moja tukichanga 1000 inapatikana b 1
 
Mshahara wa CEO wa Vodavom wa mwezi mmoja.
Tundu Lissu atakufa kwa presha,kuendesha vyama kunataka hela
Watanzania tuko milioni 64 na imepayikana milioni 64 ina maana kila mtanzania kachangia shilingi moja
Kwani watanzania wote ni CDM au wafanya zile calculation ziloonyesha kila mtz atapata noah moja!! Teh tehee teehee!!
 
Back
Top Bottom