Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...au CUF.Badala ya kuunda chama kipya wangefufua NCCR au TLP
Naona umefurahiinapata pointi gani mpya hapo zaidi ya hali halisi ambayo ni bayana kabisa, the party is no more united![]()
Hii comment ikifanyiwa kazi kisomi itakuja kuvunja historia ya CCM hapa Tanzania.Mbowe ndio kirusi katika siasa za upinzani Tanzania.
Chama kipya chenye nguvu chanukiaFriends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Bro here is a home of great thinkers.. try to manipulate your medula before coming with any serious allegation.Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Hata kifo Cha mwendazake kilianza kama TETESI na mwishowe zikawa ni kweli.Bro here is a home of great thinkers.. try to manipulate your medula before coming with any serious allegation.
Mbona huhoji demokrasia ya china inayokuletea toothpick na ya India inayokupeni mchele wa biriyani? Haya, geuka angalia hapo Rwanda na Uganda uniambie wamekaa muda gani hao wakuu wao!
Najua hutohoji lakini unakimbilia kumfokea Mbowe alete maendeleo as if anakusanya Kodi yenu! Jifungue kwenye Hilo sanduku la Giza ulilofungiwq na ccm uangaze nje huona ukapata uelewa wa aina za demokrasia zilizopo na zinazozaliwa duniani!
Kwani hawezi kushiriki kuwa mpinzani sharti lazima awe ni mwenyekiti wa kudumu?Mbowe pekee ndie anaweza kuongoza upinzani. Wengine wote ni bure kabisa. Na ccm inamuogopa sana Mbowe na inatamani sana Mbowe ang'atuke na ndio itakuwa kwa heri upinzani. Ni rahisi tu mwenye akili kuona Mbowe aking'atuka tu upinzani kwa heri. ccm wanatamani itokee hilo
Wewe ni legend ila still kilaza kama kina police mwashwaambwaHata kifo Cha mwendazake kilianza kama TETESI na mwishowe zikawa ni kweli.
Kabla ya uchaguzi chama tawala kitamegukaFriends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Mama, baba, mke, mtoto au huyo mtu wa ndani ni yupi. Ila sema tz umbea unalipa sn kuliko kubetMtu wa ndani kabisa
nani atawapa usajili?Friends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.