Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Mbowe pekee ndie anaweza kuongoza upinzani. Wengine wote ni bure kabisa. Na ccm inamuogopa sana Mbowe na inatamani sana Mbowe ang'atuke na ndio itakuwa kwa heri upinzani. Ni rahisi tu mwenye akili kuona Mbowe aking'atuka tu upinzani kwa heri. ccm wanatamani itokee hilo
 
Sometimes tunampa maua yake maana kupambana na CCM yahitaji uwe shujaa,na hiyo siyo kwake tuh,tumeona hata Kwa Lipumba na marehemu Seif Shariff.

Sometimes tunapata mawazo kuwa may be Mangi ni Double Agent...
Mtoe Lipumba, ila Seif Sharif Hamad uko sahh kabisa...Mzee alipambana haswaa hadi anaingia kaburini!.
 
Wengine tulishauri zamani...

Tundu Lissu hawezi kufikia peak yake akiwa Chadema...

Kile ni chama cha kikabila...

Na hilo atalijua akithubutu kupingana na Mbowe hadharani...

Atashangaa matusi yanatoka kwa watu wa eneo moja tu la nchi.
Thibitisha ni wapi na lini kisu amepingana na mbowe mawazo kizani badala uwaze utajengaje chama chako unawaziawenzio mabaya ila mimi ninajua mbowe huwa hajawahi jibu mpuuzi hata siku moja yeye anasonga mbele alipokea chama kikiwa kichanga amekiongoza hadi kimekuwa cha imara kinachosumbua chama tawala kwa ccm kimejiaribu kwa kugawa bandari huku mtaani maisha magumu hela hakuna kodi zimekuwa Rundo kushawishi ni ngumu
 
Hakun

Hakuna mwanachama/shabikia wa Chadema anayelalamika kuhusu uenyekiti wa Mbowe pale Chadema. Wanaompigia kelele ni chawa wa ccm.
Swali: ccm wanashida gani na uenyekiti wa Mbowe?
Jibu: Mbowe hanunuliki.
Ikumbukwe Chadema ni chama kilichosajoliwa kihalali, kina katiba, na katiba inafuatwa vizuri, vinginevyo msajili ageshaingilia. (Si unakua msajili jezi yake ni ragi ya kijani?)
Sasa mtu wa CDM atalalamika hadharani juu ya Mbowe atabaki bado mwanachama.

CCM wako mikono salama Mbowe akiwa Mwenyekiti wa CDM ni rahisi kuongea nae na kulegeza misimamo kama ulivyoona kwenye maridhiano lakini sioTundu Lissu atawasumbua Sana.

Waliompiga risasi walilijua hilo ni rahisi kumtishatisha Mbowe kwa maneno na biashara Zake lakini kwa Tundu ni tofauti labda risasi Tu sio maneno atakuaibisha haraka sana.

Tundu pia anajicho lakuona mbele haraka Sana kitatokea nini na ndio maana alipinga maridhiano mapema sana lakini Mbowe aliendelea nayo baadae Sana alikuja kugundua Tundu alikua mkweli na alikua sahihi. Shida ya Tundu hataki kupindisha mambo na kuwa mnafiki hata unapohitajika unafiki na Hiyo ndio tabia ya wanasiasa kutokua wakweli.
 
Kama Lissu msaliti mbona wanakaa meza moja na Rais wa nchi? Unajua maana msaliti ? acha ujuha wewe
Mkuu. Naomba usinilishe maneno Pili, nadhani umekurupuka tu kwa uchawa wako kwa Tundu Lissu... Nikuulize, ni wapi hapa 👇🏿nimemtaja Tundu lissu?

Najinukuu '

"Hata hivyo hakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kuandamana na kuunga mkono uasi na usaliti"

...
kukujibu swali lako kama najua maana ya Msaliti? Ndio

Je, na wewe unajua maana ya Usaliti?

acha ujuha
 
"The best way to control the opposition is to lead it ourselves" - V.I. Lenin

The Bolsheviks were ahead of their time. Their 100 years old blueprint on political subversion is still a Magna-Carta for repressive and ruthless regimes all over the world.​
That's true, it's called controlled opposition, left and right wings for the same Bird.
 
Tatizo siyo chama kuishi miaka mingapi, tatizo ni Mbowe kuwa mwenyekiti kwa miaka 30. Chama kinaeeza kuishi hata miaka 100.
Muulize Zubeir kabwe alitamani kuongoza chadema akifikiri umaaruwake anao yeye mwenyewe kumbe anabebwa na chadema amehasi ameanzisha chama chake kasha choka na hawiki tena chama kasha kabidhi visiwani lakini mbowe bado yuko imara chama kina mizizi tangu ngazi za vitongoji na lisu na msingwa wanajitambua vema hawezi waza hayo ila uzuri chadema kuna demokrasia huwezi kuchukuliwa hatua kama ccm pale unapokuwa na mawazo tofauti ccm ukihoji hata risasi unalambwa
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Propaganda tu za Lumumba.

Tundu Lissu na Msigwa siyo wajinga. Wanajua kabisa kuwa wakitoka CDM huo utakuwa ni mwisho wao kisiasa. Na kama wataanzisha chama basi kitakuwa ni chama cha briefcase. Kama watatoka watakiyumbisha chama kidogo tu lakini kitasurvive na kuibuka kikubwa zaidi.

Yaani chama ambacho kiko likely kufa nchi hii ni CCM na si CDM .... CCM kwa sasa kinasurvive kwa ajili ya dola tu.
 
Walakin picha👇🏿 inasema vinginevyo
fb_img_1680258242993-jpg.2572153
Tatizo lako kubwa huoni kama hao ni watanzania.
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Mtu mwenye Sigda kubwa kama wewe kuwa muongo ni kumuaibisha Allah
 
Mbowe pekee ndie anaweza kuongoza upinzani. Wengine wote ni bure kabisa. Na ccm inamuogopa sana Mbowe na inatamani sana Mbowe ang'atuke na ndio itakuwa kwa heri upinzani.
Lissu anaogopwa sana na ccm kuliko Mbowe, hilo halihitaji mjadala.
 
Mbowe sijui ana biashara gani ndani ya CHADEMA.

Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.

Sasa sijui ana jipya gani aliloshindwa kulifanya ndani ya miaka zaidi ya 20 aliyokuwa mwenyekiti wa Chama!
Madhara ya Mbowe kwa Taifa ni madogo kuliko ya ccm iliyokaa madarakani tangu uhuru.
 
Siaminigi kwenye upuuzi kama huu. Huyo Mbowe ni immortal? Acheni kuwa mnasifia upuuzi na ujinga wa namna hii.
Viongozi wa CCM wakisema kutawala milele inakuwa nongwa lakini kwa upande wa Chadema kiongozi mmoja kutawala milele ni sawa.
Halafu anatokea mtu anasema kuna vyama vya upinzani Tanzania?
Unatumia kipimo gani kwamba tunachoongea sisi ni upuuzi na Ujinga?. Na kwamba wewe sio mpumbavu na mjinga?. Mtu asie mpumbavu na mjinga hawezi kukimbia hoja na kukimbilia ku-comand hoja zake ndio zenye mantic. Naona umepanick mzee?. Sindano imeingia. Mbowe ni bonge moja la kiongozi.
 
Siaminigi kwenye upuuzi kama huu. Huyo Mbowe ni immortal? Acheni kuwa mnasifia upuuzi na ujinga wa namna hii.
Viongozi wa CCM wakisema kutawala milele inakuwa nongwa lakini kwa upande wa Chadema kiongozi mmoja kutawala milele ni sawa.
Halafu anatokea mtu anasema kuna vyama vya upinzani Tanzania?
Anaeamini katika wizi, uonevu, dhulma huyo ndio mpuuzi asiye na humanity yaani hana tofauti na fisi ubinafsi ndio his priorities wala hajali madhara ya huo ubinafsi kwa wengine.
 
Unatumia kipimo gani kwamba tunachoongea sisi ni upuuzi na Ujinga?. Na kwamba wewe sio mpumbavu na mjinga?. Mtu asie mpumbavu na mjinga hawezi kukimbia hoja na kukimbilia ku-comand hoja zake ndio zenye mantic. Naona umepanick mzee?. Sindano imeingia. Mbowe ni bonge moja la kiongozi.
😀😀
Nipanick kisa mbowe na chama kisichojua kinataka nini. Nimekujibu wewe na wenzako ambao mnamtegemea mtu mmoja kwenye uongozi lakini wengine wakifanya hivyo mnaita machawa.

Hata wewe ni bonge moja la kiongozi kuliko huyo unayemsifia, ni kwa sababu tu hujapata hiyo nafasi kutokana na kuamini kwamba huyo anayekuongoza ndo anastahili kuwa kiongozi peke yake.

Pamoja na kutetea upuuzi ila unaweza kuwa kiongozi bora sana kuliko huo upuuzi unaoutetea.
Asante
 
Back
Top Bottom