Tatizo siyo chama kuishi miaka mingapi, tatizo ni Mbowe kuwa mwenyekiti kwa miaka 30. Chama kinaeeza kuishi hata miaka 100.ccm ipo miaka mingapi madarakani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo siyo chama kuishi miaka mingapi, tatizo ni Mbowe kuwa mwenyekiti kwa miaka 30. Chama kinaeeza kuishi hata miaka 100.ccm ipo miaka mingapi madarakani?
Kama Lissu msaliti mbona wanakaa meza moja na Rais wa nchi? Unajua maana msaliti ? acha ujuha weweLissu sio Sheikh. Haijalishi
Ni nani kutoka CHADEMA ambao walioenda kuandamana na kutolea mfano wengine? Hakuna!
Maandamano(protest) sio lazima yawe ya watu wengi- angetokea Lema ama Heche na wengine basi...labda. Hata hivyo hakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kuandamana na kuunga mkono uasi na usaliti.
Wacheni kututukana Wananchi kwa kujilinda kwetu
Hata mtu anaweza kukaa zaidi ya miaka 40. Soma historia . babayako papa wa vatican anaongoza miaka mingapi?Tatizo siyo chama kuishi miaka mingapi, tatizo ni Mbowe kuwa mwenyekiti kwa miaka 30. Chama kinaeeza kuishi hata miaka 100.
Basi sawa ngoja tuombe uhai tuonenot lifetime,
but until he is satisfied, that he left the party on the hands of a patriot individual, disciplined and mature person he trust, without fear of contradictions......
but not his vice chairman completely 🐒
tafsiri ya demokrasia na maendeleo inabaki ndani ya fikra na uelewa wa mtu binafsi 🐒
What do you mean,mbowe is planning assassination to him?Point.
Nasikia ashapata kiwewe, woga na wasiwasi, kila anapoona watu ambao hawajui. Akiwa Jukwaani amesema kuna watu wanamfuatilia. Watu wasiojulikana-Red Brigade?
Mzee wa 'Mfumo Kristo' porojo nyingine huziwezi...baki kulekule kwenye kufia dini, hizi mwachie Lucas Msambwanda.Friends and Our Enemies...
Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.
Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.
Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Mbowe nani anaweza kumduru mtu katika taifa ambalo ccm ndio wanaongoza?What do you mean,mbowe is planning assassination to him?
Vyama vya siasa vya kidemokrasia haviendeshwi hivyo. Kama mnataka iwe hivyo badilini jina kiitwe"Chama cha Kikomunidti", ili Mbowe awe Xi Jing Ping wenu.Hata mtu anaweza kukaa zaidi ya miaka 40. Soma historia . babayako papa wa vatican anaongoza miaka mingapi?
kwa hivyo unaamanisha na CCM tuitoe ishakaa sana madarakani?Vyama vya siasa vya kidemokrasia haviendeshwi hivyo. Kama mnataka iwe hivyo badilini jina kiitwe"Chama cha Kikomunidti", ili Mbowe awe Xi Jing Ping wenu.
Hapana,wamchukue wakili mwabukusi kwenye chama Chao watafaulu kupata wafuasi.Wangemchukua Slaa na wakili Mwambusi
Slaa huyu Padri?Hapana,wamchukue wakili mwabukusi kwenye chama Chao watafaulu kupata wafuasi.
Slaa ni Mfa Njaa tuh.
Nashauri jina la chama Chao liitwe Tanzania Economic Liberators
TETESI MKUU..Hii ni chai kabisa. Ni uzushi, Ni uongo. Never believe it ❌❌❌
Tunamuingelea Mbowe kama mtu, huyu ndiyo atoke. Usultani wake hautakiwi ktk vyama vya demokrasiakwa hivyo unaamanisha na CCM tuitoe ishakaa sana madarakani?
Sasa tatizo wanamwachia nani, Mbowe?Sisiemu wana biashara gani na Taifa tangia tupate uhuru wa benders hawataki kuachia wengine!!!
Kufia dini ni ibada ya maisha hatuwezi kuiacha,lakini hata hiki chaka kikifa SI ni vizuri vile vile Kwa kuwa ni chama cha udini na UKABILA.Mzee wa 'Mfumo Kristo' porojo nyingine huziwezi...baki kulekule kwenye kufia dini, hizi mwachie Lucas Msambwanda.
wana utaratibu wao katika chama chao, wewe kama mwanachama tumia fursa hio ya kikatiba kumuondoa, wewe kama CCM waache wenyewe waongozwe,Tunamuingelea Mbowe kama mtu, huyu ndiyo atoke. Usultani wake hautakiwi ktk vyama vya demokrasia
Mbowe kakiuka misingi na taratibu za chadema ndiyo maana Msigwa analalamikawana utaratibu wao katika chama chao, wewe kama mwanachama tumia fursa hio ya kikatiba kumuondoa, wewe kama CCM waache wenyewe waongozwe,
Msigwa huyu mchungaji? au msigwa mwengine?Mbowe kakiuka misingi na taratibu za chadema ndiyo maana Msigwa analalamika
Hakifi sasa...unafikiri Chadema ni kama CUF?Kufia dini ni ibada ya maisha hatuwezi kuiacha,lakini hata hiki chaka kikifa SI ni vizuri vile vile Kwa kuwa ni chama cha udini na UKABILA.
Why CCM tangu uhuru mnang'ang'ania madaraka?Mbowe sijui ana biashara gani ndani ya CHADEMA.
Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.
Sasa sijui ana jipya gani aliloshindwa kulifanya ndani ya miaka zaidi ya 20 aliyokuwa mwenyekiti wa Chama!