Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Lissu sio Sheikh. Haijalishi

Ni nani kutoka CHADEMA ambao walioenda kuandamana na kutolea mfano wengine? Hakuna!

Maandamano(protest) sio lazima yawe ya watu wengi- angetokea Lema ama Heche na wengine basi...labda. Hata hivyo hakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kuandamana na kuunga mkono uasi na usaliti.

Wacheni kututukana Wananchi kwa kujilinda kwetu
Kama Lissu msaliti mbona wanakaa meza moja na Rais wa nchi? Unajua maana msaliti ? acha ujuha wewe
 
Tatizo siyo chama kuishi miaka mingapi, tatizo ni Mbowe kuwa mwenyekiti kwa miaka 30. Chama kinaeeza kuishi hata miaka 100.
Hata mtu anaweza kukaa zaidi ya miaka 40. Soma historia . babayako papa wa vatican anaongoza miaka mingapi?
 
not lifetime,
but until he is satisfied, that he left the party on the hands of a patriot individual, disciplined and mature person he trust, without fear of contradictions......

but not his vice chairman completely 🐒

tafsiri ya demokrasia na maendeleo inabaki ndani ya fikra na uelewa wa mtu binafsi 🐒
Basi sawa ngoja tuombe uhai tuone
 
Point.

Nasikia ashapata kiwewe, woga na wasiwasi, kila anapoona watu ambao hawajui. Akiwa Jukwaani amesema kuna watu wanamfuatilia. Watu wasiojulikana-Red Brigade?
What do you mean,mbowe is planning assassination to him?
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Mzee wa 'Mfumo Kristo' porojo nyingine huziwezi...baki kulekule kwenye kufia dini, hizi mwachie Lucas Msambwanda.
 
Hata mtu anaweza kukaa zaidi ya miaka 40. Soma historia . babayako papa wa vatican anaongoza miaka mingapi?
Vyama vya siasa vya kidemokrasia haviendeshwi hivyo. Kama mnataka iwe hivyo badilini jina kiitwe"Chama cha Kikomunidti", ili Mbowe awe Xi Jing Ping wenu.
 
Vyama vya siasa vya kidemokrasia haviendeshwi hivyo. Kama mnataka iwe hivyo badilini jina kiitwe"Chama cha Kikomunidti", ili Mbowe awe Xi Jing Ping wenu.
kwa hivyo unaamanisha na CCM tuitoe ishakaa sana madarakani?
 
Wangemchukua Slaa na wakili Mwambusi
Hapana,wamchukue wakili mwabukusi kwenye chama Chao watafaulu kupata wafuasi.

Slaa ni Mfa Njaa tuh.

Nashauri jina la chama Chao liitwe Tanzania Economic Liberators
 
Mzee wa 'Mfumo Kristo' porojo nyingine huziwezi...baki kulekule kwenye kufia dini, hizi mwachie Lucas Msambwanda.
Kufia dini ni ibada ya maisha hatuwezi kuiacha,lakini hata hiki chaka kikifa SI ni vizuri vile vile Kwa kuwa ni chama cha udini na UKABILA.
 
Tunamuingelea Mbowe kama mtu, huyu ndiyo atoke. Usultani wake hautakiwi ktk vyama vya demokrasia
wana utaratibu wao katika chama chao, wewe kama mwanachama tumia fursa hio ya kikatiba kumuondoa, wewe kama CCM waache wenyewe waongozwe,
 
wana utaratibu wao katika chama chao, wewe kama mwanachama tumia fursa hio ya kikatiba kumuondoa, wewe kama CCM waache wenyewe waongozwe,
Mbowe kakiuka misingi na taratibu za chadema ndiyo maana Msigwa analalamika
 
Mbowe sijui ana biashara gani ndani ya CHADEMA.

Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.

Sasa sijui ana jipya gani aliloshindwa kulifanya ndani ya miaka zaidi ya 20 aliyokuwa mwenyekiti wa Chama!
Why CCM tangu uhuru mnang'ang'ania madaraka?
 
Back
Top Bottom