Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Chadema the Talk of Town
 
kwamba Lisu na Msigwa wanajiona kabisaaaa kwamba wanatosha Chadema dhidi ya Mbowe na miamba yake Chadema 🤣

mizaha mingine ni vichekesho sana dah...

politically speaking,
kwa nionavyo mambo yalivyo chadema Lisu na Msigwa waanzishe chama au wasianzishe, watoke chadema ama wasitoke....

the patriotic chairman Taifa is there to stay and he is going no where 🐒
Wanaoumia ni maccm
 
So to say that he's going to be a chairman for lifetime?

Ndiyo Demokrasia na maendeleo hiyo?
not lifetime,
but until he is satisfied, that he left the party on the hands of a patriot individual, disciplined and mature person he trust, without fear of contradictions......

but not his vice chairman completely 🐒

tafsiri ya demokrasia na maendeleo inabaki ndani ya fikra na uelewa wa mtu binafsi 🐒
 
kwamba Lisu na Msigwa wanajiona kabisaaaa kwamba wanatosha Chadema dhidi ya Mbowe na miamba yake Chadema 🤣

mizaha mingine ni vichekesho sana dah...

politically speaking,
kwa nionavyo mambo yalivyo chadema Lisu na Msigwa waanzishe chama au wasianzishe, watoke chadema ama wasitoke....

the patriotic chairman Taifa is there to stay and he is going no where 🐒
🙄🙄🤔
 
not lifetime,
but until he is satisfied, that he left the party on the hands of a patriot individual, disciplined and mature person he trust, without fear of contradictions......

but not his vice chairman completely 🐒

tafsiri ya demokrasia na maendeleo inabaki ndani ya fikra na uelewa wa mtu binafsi 🐒
🙄 🙄 🤔
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Hii ni chai kabisa. Ni uzushi, Ni uongo. Never believe it ❌❌❌
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Chadema inawasumbua sana nyie ma CCM.
 
Wengine tulishauri zamani...

Tundu Lissu hawezi kufikia peak yake akiwa Chadema...

Kile ni chama cha kikabila...

Na hilo atalijua akithubutu kupingana na Mbowe hadharani...

Atashangaa matusi yanatoka kwa watu wa eneo moja tu la nchi.
 
Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025
Ndio UMOJA party hiyo?

======
Hebu fikiria wakiwa Serikalini itakuwaje. Total disarray.

Wasubiri 2050 na kwaavile washakubali wasamehewe(baadhi) kwa kupewa ka nusu mkate 2025 basi naona sawa tu.

Waanzishe chama chao baada ya miaka 20 hivi watakuwa wamekomaa.
 
Hakun
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Hakuna mwanachama/shabikia wa Chadema anayelalamika kuhusu uenyekiti wa Mbowe pale Chadema. Wanaompigia kelele ni chawa wa ccm.
Swali: ccm wanashida gani na uenyekiti wa Mbowe?
Jibu: Mbowe hanunuliki.
Ikumbukwe Chadema ni chama kilichosajoliwa kihalali, kina katiba, na katiba inafuatwa vizuri, vinginevyo msajili ageshaingilia. (Si unakua msajili jezi yake ni ragi ya kijani?)
 
Back
Top Bottom