Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Tetesi: CHADEMA yameguka, Msigwa na Tundu Lissu wanapanga kuanzisha chama chao

Wengine tulishauri zamani...

Tundu Lissu hawezi kufikia peak yake akiwa Chadema...

Kile ni chama cha kikabila...

Na hilo atalijua akithubutu kupingana na Mbowe hadharani...

Atashangaa matusi yanatoka kwa watu wa eneo moja tu la nchi.
Point.

Nasikia ashapata kiwewe, woga na wasiwasi, kila anapoona watu ambao hawajui. Akiwa Jukwaani amesema kuna watu wanamfuatilia. Watu wasiojulikana-Red Brigade?
 
Mbowe hanunuliki
Walakin picha👇🏿 inasema vinginevyo
fb_img_1680258242993-jpg.2572153
 
Ndio UMOJA party hiyo?

======
Hebu fikiria wakiwa Serikalini itakuwaje. Total disarray.

Wasubiri 2050 na kwaavile washakubali wasamehewe(baadhi) kwa kupewa ka nusu mkate 2025 basi naona sawa tu.

Waanzishe chama chao baada ya miaka 20 hivi watakuwa wamekomaa.
Ccm mmechachamaaa
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Nitawaunga mkono Kwa nguvu zote
 
Mbowe sijui ana biashara gani ndani ya CHADEMA.

Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.

Sasa sijui ana jipya gani aliloshindwa kulifanya ndani ya miaka zaidi ya 20 aliyokuwa mwenyekiti wa Chama!
Sisiemu wana biashara gani na Taifa tangia tupate uhuru wa benders hawataki kuachia wengine!!!
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Hamchoki na craps?
 
Watanzania wengi Tupo na Lisu, kianzishwe chama ambacho kitasaidia kugawa wanachama ili nusu wabakie chadema, na nusu nyingine waende "CHAMA CHA DEMOKRASIA HALISI"-CCDH.
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Jf siku hizi bana, imekuwa na watoto wadogo kifikra. Hivi Lissu na Msigwa wanaweza kuanzisha chama? Kama Lissu kapigwa risasi mchana na hakuna mtz aliejaribu hata kuandamana leo ataanzisha chama? Angalia Kenya alivypigwa risasi Sheikh Rogo palipowaka. JF ya sasa humjui Professor wala mshona viatu, wote wanaleta tetesi tetesi tu
 
Nusu mkate, yeye; kinachotajwa kama pesa chafu toka kwa mama abdul, yeye. Lakini kuna wajinga wengi wanaimba hanunuliki.
They have something in Common.

Abduli=Abubakar

Mkate Mbowe hautemi....halal
 
Watoto waliozaliwa wakati anaingia kwenye uenyekiti wa CHADEMA leo hii wanagraduate chuo kikuu yeye yupo tu!.
Mkuu Mbowe ana miaka 30 kwenye uenyekiti. Mtu wa miaka 30 hayuko chuo kikuu. Ashamaliza chuo muda mrefu na kufanya bodaboda mpk anakaribia kustaafu.
 
Mkuu Mbowe ana miaka 30 kwenye uenyekiti. Mtu wa miaka 30 hayuko chuo kikuu. Ashamaliza chuo muda mrefu na kufanya bodaboda mpk anakaribia kustaafu.
ccm ipo miaka mingapi madarakani?
 
Jf siku hizi bana, imekuwa na watoto wadogo kifikra. Hivi Lissu na Msigwa wanaweza kuanzisha chama? Kama Lissu kapigwa risasi mchana na hakuna mtz aliejaribu hata kuandamana leo ataanzisha chama? Angalia Kenya alivypigwa risasi Sheikh Rogo palipowaka. JF ya sasa humjui Professor wala mshona viatu
Lissu sio Sheikh. Haijalishi

Ni nani kutoka CHADEMA ambao walioenda kuandamana na kutolea mfano wengine? Hakuna!

Maandamano(protest) sio lazima yawe ya watu wengi- angetokea Lema ama Heche na wengine basi...labda. Hata hivyo hakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kuandamana na kuunga mkono uasi na usaliti.

Wacheni kututukana Wananchi kwa kujilinda kwetu
 
Friends and Our Enemies...

Kama mtakumbuka hapo nyuma katika harakati za TUNDU LISU, alipopita Iringa kwenye ziara zake alishutumu vikali matumizi ya fedha za RUSHWA katika uchaguzi wao wa ndani.

Kama hiyo haitoshi LISU alifikia hatua ya kusema kwamba Kuna kila dalili kuwa fedha Hizo zinatoka Nje ya chama Kwa mipango Maalum ya kukihujum chama Hiko.

Peter Msigwa, mara baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi hivi majuzi na Sugu amehamishia majeshi yake Kwa mshirika wake wa KARIBU TUNDU LISU.

Zipo TETESI zinaendelea chini chini kuwa wawili hao Wana mpango wa kuunganisha nguvu na kuunda chama Chao kuelekea uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kwani wamebaini kuwa Kuna kila dalili ya Mwenyekiti wao Mbowe kuendeleza siasa zake za kung'ang'ania uongozi ndani ya chama Hiko.
Huo ni uooongooo🫠
 
Umaarufu wameupatia chadema.

Usiitupe ngazi iliyokupandisha juu,

All in all wote wana njaa tuu.
 
Back
Top Bottom