CHADEMA yampa siku tatu Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa awe amewajibika

Wanawawahi ACT Wazalendo
 
Huu ndo ujinga WA wapinzani wetu
 
Sasa Chadema mmeona mkimsema samia mtakuwa mmetibua asali bora mmeseme Majaliwa hahahaha

Sasa Majaliwa ana kosa gani?
Kama Samia anawogopa mawaziri na wakuu wa taasisi nani atawawajibisha?

Chadema mna vichekesho sana….mmeshindwa ata kusema waziri fulani ajiuzulu?
 
chadema hawezi kumuajibisha hata muuza mboga sokoni itakuwa waziri mkuu
 
Hivi Majukumu ya waziri mkuu ni yapi ?
 
Naona Ukinzani na hili jambo.....nisiseme sana, picha inajieleza....Unafikiri Mzee wetu J.MK anatuhabarisha nini hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…