CHADEMA yampa siku tatu Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa awe amewajibika

Kwa.nini Chadema wanashindwa kusema Rais Samia Suluhu ndiye anahitajika kujiuzuri? Timu ikishindwa kuleta matokeo chanya, anaondolewa kocha sio captain wa timu..
 
Mwamsheni Mnyika mwambieni atoke usingizini anafanya matumizi mabaya ya usingizi
 

nimeanza kukuelewa kaka!
 
Akijiuzulu Waziri Mkuu, ndiyo mwisho wa baraza lote la mawaziri.

Nielimishe kwanini PM ajiuzulu wakati Tayari Makatibu wakuu na Wakurugenzi wamepewa Kazi ya Kupitia ripoti?
 

Presentation ni art.

Nadhani pana haja ya kuwachagua vyema wasilisha mada.

Tunahitaji watu wa ku maintain momentum. Tunawahitaji kina Raila. Hao wapo. Tuwatumie.

Suala la chief strategist si suala la kupuuzia.

Siasa ni sayansi.
 
Kwani umeshindwa kuzitambua hoja za Chadema au za Prof. Assad hapo?

Au ni kile kizungu zungu Cha siku zote ukipatacho kila usikiapo jina Chadema?
Hoja ya Chadema ni kwanini Halima Mdee na Mama Kaboyoka walikaa pembeni ya CAG Kichere mmoja upande wa kushoto na mwingine mkono wa kulia!!!
 
Haiwezi kutumbuliwa sababu ni muumini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…