Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Hapo hakuna pigo ila wamepeleka pandikizi kwa kazi maalum.................utarudi hapa tena kuthibitisha haya
Kumbe nyumbu ni watumwa wanauzwa Sasa mnunuzi keshanunua mwanachama mwingine.Biashara ya utumwa bado inaendelea? nani ana finance??
Kwanini nyumbu ndo wananjaa Hadi wananunuliwa na CCM kila Mara? Acheni njaa mtanunuliwa Sana.Ccm ndiyo kwenye kiota cha wanunuzi wa watu wenye njaaa
Sasa mnaonunuliwa ndo mnajitambua? Nyumbu hovyo kabisa.Hawajitambui
Wanasaccos mnafanya Nini wakati huu? Kujiuza siyo kuzuri tafuteni hata kazi ya kulinda kaburi.MATAGA na sukuma gang wameishia tu kulinda kaburi
Na hao binadamu wenye njaa na tamaa wanapatikana kwenye saccos yenu.Chama cha ununuzi wa binadamu wenye njaa na tamaa.
Kuwa makini aliyesema ikifika 2020 haitakuwepo alitoweka yeye!!Kufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Kalinde kaburi la mfadhili wenu tu maana serikalini hamuaminiki tena nyie Janjawidi.Wanasaccos mnafanya Nini wakati huu? Kujiuza siyo kuzuri tafuteni hata kazi ya kulinda kaburi.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kama wewe unavyo jiuza pale corner barKwanini nyumbu ndo wananjaa Hadi wananunuliwa na CCM kila Mara? Acheni njaa mtanunuliwa Sana.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Nyumbu ni babako na mamakoSasa mnaonunuliwa ndo mnajitambua? Nyumbu hovyo kabisa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Na wanao jaribu kuiangamiza Chadema wata mfuata JiweMkuu,
2016-2020
Marehem aliapa kuipoteza..lkn mungu kamchukua ilhali chadema imebaki....
Saccos kwishney Sasa mnajiuza kwa rais eti mpate teuzi, Nani ateuwe nyumbu wakiongozwa na dj zero?Kalinde kaburi la mfadhili wenu tu maana serikalini hamuaminiki tena nyie Janjawidi.
Nanyi endeleeni kujiuza acha wengine tulinde kaburi.Kalinde kaburi la mfadhili wenu tu maana serikalini hamuaminiki tena nyie Janjawidi.
Hayo ndiyo madhara ya kuzaliwa kwenye mkesha wa mbio za mwengeUna akili za nyumbu wewe Kama wazazi wako ambao nao NI nyumbu.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hata dikteta alitabiri hivyo hivyo lakini yeye ndiyo kaondoka mapemaKufika 2025 hakuna Chadema. Itabaki JF tu!
Hilo hawatakubaliYote haya ila mkisikia tume huru, matumbo yanachafuka na kukimbilia msalani.
Chege so mwanamuziki kweli?CCM mnaforce kick, who is Chage?