SI KWELI CHADEMA yapiga marufuku ambao hawana elimu ya kidato cha sita na kuendelea kugombea serikali za mitaa na uchaguzi mkuu

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Barua ina makosa mengi ila kwanza tuanze na hiyo saini! Saini ya Mrema! Nk digital signature au hand signature!??
 
C HADEMA wanajichimbia kaburi alafu waaze kuilalamikia tume ya uchaguzi wakishakula za uso.
 
Kwanza ni kinyume na Katiba na Kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Kuna vitu havihitaji katiba kubadilshwa ni chama husika kimya kimya kinateua mgombea msomi aliyesoma form six kimya kimya bila kumwambia huyo wa darasa la saba au form four kuwa tumekukataa sababu huna cheti cha form six

Sio kila kitu lazima kisubiri katiba mpya

Kwa hili Chadema wako sahihi kama mchungaji Mtikila alibadilisha mambo mengi kwa katiba hii hiip

Hilo halihitaji katiba kubadilishwa vyama vyenyewe vyaweza tuletea wagombea wasomi sio hao darasa la saba sababu wao ndio waidhinishaji nani agombee

Hakuna haja hata ya kubadili katiba kwenye hili vyama vya siasa vijiongeze iwe CCM au upinzani

Sio kila kitu kinahitaji katiba ya nchi ibadilishwe hata kama inasomeka darasa la saba aweza gombea serikali ya mtaa ,udiwani nk
 
Ingawa kwenye siasa kuna watu wana ushawishi mitaani bila kuwa na elimu kubwa ila nawaunga mkono CHADEMA kwenye huu uamuzi kama ni kweli. Tunahitaji wasomi wengi kwenye siasa. Mimi ningeshauri wasitoe fomu kwa form six ambaye hana ONE au TWO.
 
Hii ni kutaka kumpindua Mh.Mbowe kabisa...tukatae ili mapema iwezekanavyo
 
Chadema wako makini sana kuandaa viongozi.Hawataki mambumbumbu kama ilivyo ccm
 
Reactions: UCD
Kama barua hii ni ya kweli basi hawafanya kimya kimya kama ulivyoeleza hapo juu. Madhara yake ni kuwa kama Mwanachama wa Chadema akaamua kuomba nafasi ya kuteuliwa kugombea na wakamnyima kwa kigezo cha barua hii basi akienda Mahakamani atawashinda.
 
Mwenyekiti WA Kijiji au mtaa - kidato cha sita
Diwani- diploma au degree
Ubunge- Masters up to Phd.
Urais - PhD ya kusomea.

Chadema mko vizuri! Kuongozwa na vilaza sasa iwe mwisho.
 
Ingawa kwenye siasa kuna watu wana ushawishi mitaani bila kuwa na elimu kubwa ila nawaunga mkono CHADEMA kwenye huu uamuzi kama ni kweli. Tunahitaji wasomi wengi kwenye siasa. Mimi ningeshauri wasitoe fomu kwa form six ambaye hana ONE au TWO.
😁😁😁 wewe jamaa unaleta masihala
 
Yaani utokee ugomvi wa wana ndoa mtaani mtu aupeleke kwa kijana ambaye hata hajaoa, na muda wote kalewa visungura. Mwenyekiti wa mtaa ni mzee wa busara wa eneo hilo
Sasa ugomvi wa ndoa upeleke mwenyekiti kufanya Nini huko nako ni kukosa elimu hivi mfano wewe mmeo kakunyima uboo utamwambiaje mwenyekiti?
 
Chadema wako makini sana kuandaa viongozi.Hawataki mambumbumbu kama ilivyo ccm
Akili yako inakutuma kuwa mtu yoyote ambaye hakufika Kidato cha sita ni mbumbumbu!!?
 
Kwa nafasi ya mwenyekiti wa mtaa na wajumbe wa mtaa na vijiji Mara nyingi sio rahisi umpate mwenye Elimu ya Six achilia mbali form four.

Hasa vijijini .

Hii taarifa itakuwa sio rasmi. Ebu tusubiri tuone.
 
Akili yako inakutuma kuwa mtu yoyote ambaye hakufika Kidato cha sita ni mbumbumbu!!?
Hapana.kwa Ccm hata kama ana PhD ataendelea kuwa mbumbumbu tu.Si unaona Nchi walivyoihatibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…