Kumbe hamchungi ng'ombe siku hizi eeh!!Kwahiyo mnavyowasimanga Wasukuma ni sawa. Nyie endeleeni tu na huu mchezo,utawagharimu 2025. Usidhani Kanda ya Ziwa hawasomi hizi kejeli zenu za “wqchinga Ng’ombe,Washamba na mengineyo mengi.
Acha unazi uliovuka mipaka kwani ukipenda kitu au mtu ndo hata madhaifu na makosa usiyaone!?? Au yy ni malaika kwamba hawezi kukosea!??? Huo ni upofuChadema ni chama cha wachaga.
Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Tunatesekaje sasa? Just a figment of your imagination.Wasukuma mnateseka sana. Tulieni. Hamu amini kama Lori la mkaa limezima mazima.
Katiba lazima ifuatwe na yeyote yule.
Kumbe hamchungi ng'ombe siku hizi eeh!!
Acha kuchanganya mambo, hii sio tafsiri ya kilichokea, (rais aliesafari) kwani Magufuli amesafiri.?!Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Weka akiba ‘matusi’ yako, ili mama akikubali ushauri na kufuata katiba usiwajibike kula matapishi! Mh. Rais anaweza pia kuongoza baraza jipya alilo chagua na kuliapisha!ACHENI UZWAZWA NA UJINGA WENU WA KUSHINDWA KUSOMA KATIBA HUYU SIYO RAIS MTEULE,RAIS MTEULE NDIYE ANAYETAKIWA KUUNDA BARAZA UPYA KATIBA INASEMA MARA BAADA YA KUAPISHWA ANATAKIWA KUONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI JE NI KINA NANI HAO? INA MAANA NI WALEWALE WALIOPO ACHENI KIJIFANYA MNAIJUA SANA KATIBA NYAMBAFUUUUUU NA KATIBU WENU ALIYEINGIA CHADEMA NA NDALA KIBOKO YAKE MDEE MPAKA LEO HAJAWAHI KUJIU HIYO INAWEZEKANA KWELI ALIENDA NA NDALA
Copy and Paste kutoka chama cha wanasheria Tanganyika TLS!
Ukipanic mh. Nyani, Ndo mateso yako yataonekana, just relax! Kwani kuna haja ya kuwa wakili wa mwendazake? Labda, na ulimwanzishiwa uzi hapa kwamba, kwa halaiki ile iliyo hatarisha maisha yao (kwa ujinga tu) wakaandamana, wakakanyagana, na labda, just Labda, wakaambukizana corona, alikua anapendwa saana! Inatosha ile mkuu, usitetee tena na usiteseke pia, sasa hivi ni zama mpya na kitabu ni kipya!Tunatesekaje sasa? Just a figment of your imagination.
Acha kujibunia mambo kichwani mwako ambayo hayana uhalisia wowote ule.
Mimi kwa mfano niteseke na nini hasa? Leo nimekosa siagi ya kupaka kwenye mkate au?
Labda wewe ndo ulikuwa unateseka na ndo maana sasa hivi unahisi na wengine wana hali kama uliyokuwa nayo.
Niteseke kwa lipi mimi? Nimekosa nini sasa hivi ambacho sikuwa nacho hapo awali?
Mawazo ya ajabu, ya kijinga, na ya kipumbavu kabisa hayo!
Don’t pass your insecurities over to me.
Siteseki na chochote kile.
Labda hazijui hizo sheria na mwanasheria mkuu wa serikali hajamuelekeza inavyopaswa kwaajili ya kulinda ugali wake na wenzie. Au labda Chadema wanatupotosha, basi mwanasheria mkuu atoke hadharani na atufafanulie hili jambo likae sawaKwa hiyo Mama Samia hafuati katiba?
katika kipindi chote cha magu mmekuwa watu wa ajabu sana,mligeuza halali zote kuwa haramu, mkishauriwa haramu,mkiambiwa ukweli haramu,mkionyeshwa njia haramu,ujangili ukawa uzalendo kila kitu mkabinua mpaka na akili.inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Nini iki umeni quote?Ila buku 7 mnatia huruma siku zinaenda mbio sana.
Mna imaginations za ajabu kweli.Ukipanic mh. Nyani, Ndo mateso yako yataonekana, just relax! Kwani kuna haja ya kuwa wakili wa mwendazake? Labda, na ulimwanzishiwa uzi hapa kwamba, kwa halaiki ile iliyo hatarisha maisha yao (kwa ujinga tu) wakaandamana, wakakanyagana, na labda, just Labda, wakaambukizana corona, alikua anapendwa saana! Inatosha ile mkuu, usitetee tena na usiteseke pia, sasa hivi ni zama mpya na kitabu ni kipya!
Kwani mawazili wanaapa kutii Raisi au wanaapa kutii katiba ya nchi?
Jitahidi uwe unasoma andiko lote ili kuficha ujinga wakoKwa hiyo Mama Samia hafuati katiba?
Lisu ni debe tupu ukiona mpaka sasa hivi hajapanua domo lake ujue anaona nyota nyota tuHili suala yafaa Lissu atusaidie kidogo
Kuzidi wewe mpuuzi! aliyekuwa anawapa viburi vya kijinga hayupo tena, wenzako akili zimeanza kurudiLisu ni debe tupu ukiona mpaka sasa hivi hajapanua domo lake ujue anaona nyota nyota tu
Kweli vijana wa uvccm mna tatizo la uelewa. Hapo kinachoongelewa ni kuwa "mtu atakayetekeleza kazi kazi na shughuli za rais" Maana yake ni mtu atakayetekeleza kazi za rais (kukaimu) akiwa hayupo kwa muda. Mama samiaanatekeleza kazi kama rais na sio Kaimu rais.Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Unacoment kama vile chadema mko madarakani!Kuzidi wewe mpuuzi! aliyekuwa anawapa viburi vya kijinga hayupo tena, wenzako akili zimeanza kurudi