Kweli Saccos ya Chadema imeishiwa ajenda kabisa! Kwenye taarifa yao ni utopolo tupu. Tulishajadiri humu na kuonyesha jinsi gani Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri linakoma au kuvunjwa. Rais akifariki na Makamo wake kuchukua usukari Baraza la Mawaziri halivunjiki automatically.
Hayo Ni mawazo ya chama kikuu Cha upinzani nchi hii cyo ya baba yako kuona mawazo ya wengine hayafai.Wamependekeza wakitolewa wawekwe wao?
Wakati Mkiti wenu anaomba radhi wewe bado unaendeleza uchochezi na ubaguzi.Chadema ni chama cha wachaga.
Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
nduhu taabu. kamwe hatutajiribu tena juha wa kanda ya .. wapiii tenaa?Chadema ni chama cha wachaga.
Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Bahati nzuri magumu siyo kwa CHADEMA pekee, sukari imepanda kwa wote, vifaa vya ujenzi, mafuta ya kula, uneployment kwa wote, kimsingi wewe baki na ujinga wakoUnacoment kama vile chadema mko madarakani!
Hii ni ccm, Magufuli alikuwa ccm na Samia ni ccm, hiyo mitazamo mnayojaribu kuitengeneza sijui inawafaidishaje, ila ninachojua ccm ni ile ile chini ya mfumo uleule kama unabisha subiri 2025 uone utakavyogongwa
Wenzako huku akina Heri James wameanza kutubu dhambi zao hadharani. Chupi zimeanza kuwabana...Mna imaginations za ajabu kweli.
Nahisi nyinyi ndo huwa mnateseka.
Mimi niteseke kwa lipi?
Sijawahi kuwa mtumishi wa Magufuli.
Kibinafsi, simjui na hakunijua.
Sijawahi kuwa mtumishi wa serikali na kamwe sitokuja kuwa.
Najitegemea mwenyewe.
Sijawahi kupata handout yoyote ile toka kwa serikali yoyote ile.
Sijanufaika na chochote kile kutokana na urais wa Magu
Maisha yangu hayajabadilika kwa lolote lile.
Sasa cha kunitesa ni kipi? Waweza kunitajia?
Yaani kabisa umekaa hapo ulipo na kujiaminisha kwamba Ngabu anateseka?
Magufuli nimemkosoa sana humu JF. Unabisha?
Wewe uliteseka wakati Magufuli akiwa Rais?
Hakuna kilichobadilika maishani mwangu.Wenzako huku akina Heri James wameanza kutubu dhambi zao hadharani. Chupi zimeanza kuwabana...
Wewe ndiyo mdini namba moja.Zanzibar sasa wamepata nafasi... Ngoja ajaze ijumaa tu.. Siunajua walivyo wadini
Waonaje hoja za CDM zina uzito kwa mujibu katiba au la? Achana na porojo weka maoni ya kitaalamu.inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Mtamuweka mchaga?nduhu taabu. kamwe hatutajiribu tena juha wa kanda ya .. wapiii tenaa?
Tuache UONGO jamani huyu Mnyika John John ni Msukuma aliyemuita Jakaya ni dhaifu leo kawa Mchagga?Chadema ni chama cha wachaga.
Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Samia ni CCM lkn serikali hii siyo ya Magufuli tena ni serikali ya Samia.Unacoment kama vile chadema mko madarakani!
Hii ni ccm, Magufuli alikuwa ccm na Samia ni ccm, hiyo mitazamo mnayojaribu kuitengeneza sijui inawafaidishaje, ila ninachojua ccm ni ile ile chini ya mfumo uleule kama unabisha subiri 2025 uone utakavyogongwa
Katiba isomwe vizuri ili ndio iwe mwongozo.Kwa nini baraza tu je wakuu wamikoa makatibu wakuu wakurugenzi na madc nao watoe kwakuwa hawakula kikao kwake
Upimwe akili wewe, Mambo ya udini ya Nini sasa. Wewe na jamapili unataka usaidiwe Nini. Acha kuropoka tuliza mnyeo wakoZanzibar sasa wamepata nafasi... Ngoja ajaze ijumaa tu.. Siunajua walivyo wadini
na kasi ya wizi kule umeisikia? watu wanawaza akhera yao.unafikr mali utqzikwa nayo?Zanzibar sasa wamepata nafasi... Ngoja ajaze ijumaa tu.. Siunajua walivyo wadini
jomba hata mim sio muelewa sana hapa ila nikisoma hapo umeweka ninaona kama kwa anayekaimuKwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.
Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Chama kikuu cha upinzani cha nchi gani!!!!! Chadema yenye mbunge mmoja. Zitto an azidi kukubalika jana kalamba jimbo jingine kwa njia ya kidemokrasia. Chadema mnatia aibu.Jiwe mtamkumbuka kwa kuwafundisha demokrasiaHayo Ni mawazo ya chama kikuu Cha upinzani nchi hii cyo ya baba yako kuona mawazo ya wengine hayafai.
Samia ni ccm anatekeleza ilani ya ccm chini ya mfumo unaosimamiwa na ccmSamia ni CCM lkn serikali hii siyo ya Magufuli tena ni serikali ya Samia.
Kama ni kuapa kwa rais kama taasisi, kulikuwa haja gani kwa mawaziri walioapa wakati wa JMK, kuapa tena wakati wa JPM ambapo waliteuliwa na JPM kuongoza wizara zilizile? Kiapo kwa maoni yangu kinaonesha utii kwa rais aliyepo madarakani pamoja na taasisi yake ya urais anayoiongoza.Waliapa kwa Rais au kwa magufuli?