Kweli Saccos ya Chadema imeishiwa ajenda kabisa! Kwenye taarifa yao ni utopolo tupu. Tulishajadiri humu na kuonyesha jinsi gani Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri linakoma au kuvunjwa. Rais akifariki na Makamo wake kuchukua usukari Baraza la Mawaziri halivunjiki automatically.
Chadema someni kwenye Katiba jinsi Waziri Mkuu anavyokoma kuwa Waziri Mkuu siyo utopolo mlioandika kwenye taarifa yenu uchwara au mkiona inafaa kimbilieni Mahakamani ili mkafundishwe jinsi ya kutafasiri vifungu vya Katiba.