CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

hoja iliyo tolewa kistaarabu ndio hujibiwa kwa hoja kinyume chake utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Wewe bado unaishi kwa kivuli cha mtu ambaye alishaondoka tayari hapa duniani! Zile enzi za kumnyenyekea na kumtukuza mwanadamu kama Mungu, hazipo tena!

Na mkiendelea na upuuzi wenu wa kuwaonea raia, huku mkidhani mnamfurahisha Mama! Basi mjiandae tu kufyekelewa mbali. Ni yule mtukufu wenu pekee ndiye aliyefurahishwa na hayo matendo yenu ya kutishia na kuwaumiza watu.
 
hoja iliyo tolewa kistaarabu ndio hujibiwa kwa hoja kinyume chake utashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Wewe bado unaishi kwa kivuli cha mtu ambaye alishaondoka tayari hapa duniani! Zile enzi za kumnyenyekea na kumtukuza mwanadamu kama Mungu, hazipo tena!

Na mkiendelea na upuuzi wenu wa kuwaonea raia, huku mkidhani mnamfurahisha Mama! Basi mjiandae tu kufyekelewa mbali. Ni yule mtukufu wenu pekee ndiye aliyefurahishwa na hayo matendo yenu ya kutishia na kuwaumiza watu.
 
Tunajadili katiba ya nchi na siyo vitabu vya dini. Kuna maelfu ya Watanzania hawafuati hivyo vitabu.
hakuna kifungu cha katiba kilicho kiukwa, ndio maaana tunaye Mwana sheria Mkuu wa Serikali.
tusifuate hoja zinazotoka Ubelgiji.
Ubelgiji na Tanzania ni mataifa mawili tofauti kabisaa.
Mtu ananukuu katiba ya Ubelgiji halafu anataka watanzania waifuate! si kichekesho hicho.
 
... hivi issue ni kuapa mbele ya Rais fulani au ni kuapa mbele ya Rais? Nakosa kuelewa.
Mbele ya Raisi aliyeapa na anateua watakao apa kwake, kiapo ni kuapa kwa mtu japo title itakuwepo, mfano ukibadili dini lazima uape kwenye hiyo dini mpya, kuolewa tena lazima uape kiapo kipya japo tittle ipo ya mume so kiapo lazima waape upya watu wote wanaoapa kwa Raisi kwa vile ndivyo inavyopaswa kuwa.
 
Sisi tunawasubiri 2025 wakati wa kuja kuomba kura. Pengine kura za Kanda ya Ziwa hawazihitaji watajikita kanda zingine
Ondoa mapema hizo hisia zako za ukabila! Muasisi wenu ameshatangulia mbele za haki. Kwa sasa ni wakati muafaka wa kuijenga Tanzania mpya. Tanzania isiyo amini katika ukabila, undugu, ukanda, PhD, nk.
 
Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.

Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658
Mkuu hapo umemzungumzia makamu wa rais au mtu anayekaimu ofisi ya rais pindi rais akipata dharura ya kutowepo ofisin, lakini Mama Samia kwa sasa sio makamu wa rais na wala hajateuliwa kukaimu urais bali yeye ni Rais kamili mwenye mamlaka!
 
Yani hawa chadema wametumia vifungu vya sheria ambavyo Raisi akimaliza uchaguzi aapishwe hlf waziri mkuu, mawaziri na manaibu wajiuzuru ili kutengeneza serikali na baraza jipya na wamekwepesha vifungu halisi vya baada ya kifo cha Raisi / ugonjwa au utimamu wa akili unaopelekea Makamu wa raisi kuteuliwa ikiwa uchaguzi umepita .

Vifungu ambavyo havilazishi kuvunja baraza na kuunda baraza jipya.

Hii nchi kuendelea ni kazi sana.View attachment 1737661View attachment 1737664View attachment 1737665View attachment 1737666View attachment 1737667

Kwa Point yako, Kwahiyo Sasa hivi Mama hana mamlaka kisheria ya kulivunja bunge, au kumwondoa waziri yeyote aliyechaguliwa na hayati? Acha kutupotosha vinginevyo nyie Ndiyo hamwelewi vizuri mtiririko wa vifungu hapo!
 
hakuna kifungu cha katiba kilicho kiukwa, ndio maaana tunaye Mwana sheria Mkuu wa Serikali.
tusifuate hoja zinazotoka Ubelgiji.
Ubelgiji na Tanzania ni mataifa mawili tofauti kabisaa.
Mtu ananukuu katiba ya Ubelgiji halafu anataka watanzania waifuate! si kichekesho hicho.
Kaa pembeni mchumia tumbo na mganga njaa wee!
 
Hao wote wana kiapo cha utii kwa Marehemu JPM, kiapo huwa hakirisishwi hata kidogo

CDM mpo sahihi 100%
 
unataka wasujudie kama mlovyomsujudia mwenda zake?????
inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
 
ACHENI UZWAZWA NA UJINGA WENU WA KUSHINDWA KUSOMA KATIBA HUYU SIYO RAIS MTEULE,RAIS MTEULE NDIYE ANAYETAKIWA KUUNDA BARAZA UPYA KATIBA INASEMA MARA BAADA YA KUAPISHWA ANATAKIWA KUONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI JE NI KINA NANI HAO? INA MAANA NI WALEWALE WALIOPO ACHENI KIJIFANYA MNAIJUA SANA KATIBA NYAMBAFUUUUUU NA KATIBU WENU ALIYEINGIA CHADEMA NA NDALA KIBOKO YAKE MDEE MPAKA LEO HAJAWAHI KUJIU HIYO INAWEZEKANA KWELI ALIENDA NA NDALA
 
inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
Ukweli ambao utapingwa na wengi, ushauri mzuri mkuu
 
Kwa hiyo Mama Samia hafuati katiba?
Wasukuma mnateseka sana. Tulieni. Amuamini kama Lori la mkaa limezima mazima.
Katiba lazima ifuatwe na yeyote yule. kama mama yupo sawa, katiba iseme pia. Maisha yaendelee
 
Ondoa mapema hizo hisia zako za ukabila! Muasisi wenu ameshatangulia mbele za haki. Kwa sasa ni wakati muafaka wa kuijenga Tanzania mpya. Tanzania isiyo amini katika ukabila, undugu, ukanda, PhD, nk.

Kwahiyo mnavyowasimanga Wasukuma ni sawa. Nyie endeleeni tu na huu mchezo,utawagharimu 2025. Usidhani Kanda ya Ziwa hawasomi hizi kejeli zenu za “wqchinga Ng’ombe,Washamba na mengineyo mengi.
 
Back
Top Bottom