Elections 2010 CHADEMA yatoa tamko: Hatumtambui Kikwete kama rais

Elections 2010 CHADEMA yatoa tamko: Hatumtambui Kikwete kama rais

Nakubaliana kuwa kutokana na katiba kuwa mbovu rais (japo feki) hashtakiwi. je, hakuna hatua nyingine za kisheria zitakazoletea kupata tume huru na kuondokana na hii ya akina ki-love (kunta kunte au ledy gaga)?
 
hatua zaidi zichukuliwe na chadema,mfano operesheni PAPA/NYANGUMI.
 
MImi pia naungana na Chadema, Sitamtambua mshindi alietangazwa na NEC katika mazingira tatanishi
 
kama nilimsikia vizuri . Mbowe alisema muda si mrefu watatoa matokeo halisi ya uchaguzi kama yalivyo bandikwa na kusainiwa na mawakala kutoka vituo vya uchaguzi.
I hope kuwa baada ya hapo ataeleza next move. Lets be patience.
Nashauri chadema wasikawie sana kutujuza mengineyo yanayojiri.
 
Naam tumesubiri kwa hamu sana hili tamko
nalo ni msimamo wa wapiga kura tulioibiwa kura zetu na NEC ya kikwete.

Maadam sasa tumepata msimamo, kinachojengeka kwenye saikolojia yangu ni kwamba huyu Kikwete ni kiongozi dhalimu na hafai kwa maongozi kwani amejiweka madarakani kiuhalifu
 
Kipenzi chenu lakini wengi hamkujitokeza kupiga kura mrifikiri kura zitajipiga automatic kwa mapenzi yenu au mawazo. Elimisheni Watu kwa ajili ya uchaguzi ujao 2015 ama sivyo matokeo yatakuwa kama haya.Kwa sasa hivi kuleta malumbano hakutasaidia sana kwa sababu uchaguzi wa rais hauwezi kurudiwa tena wala Rais hawezi kutenguliwa kwa sasa kutikana na malalamiko ya Chadema.
Angalieni hizi kauli za kutomkubali Rais na matokeo yanaweza kutupeleka kule nyuma kama ilivyokuwa Zanzibar kabla ya maridhiano kitu ambacho hakuna Mtu anetakia mema taifa hili atapenda.
Mungu ibariki nchi yetu na watu wake tukae kwa amani. Amen


Penye red: hayo ni majibu ya kirahisi. Yaani umesha ku-conclude beyond reasonable doubt kwamba majority wale ambao hawakujitokeza kupiga kura ni wapinzani tu(eg Chadema)? Kwa kigezo kipi?

Kama ni hivyo basi kuna something very sisnister about the historical low turn-out this year. Kimakusudi ilifanyika kulenga wapinzani. Tume huru kuchunguza hili ndiyo pekee inaweza kupata ukweli ya kilichojiri katika zoezi zima la kujiandikisha na upigaji kura.
 
Wamarekani yawapongeza wa TZ kwa kukamilisha uchaguzi na ampongeza Dr Shein. JK je??????????????????????

U.S. Embassy Tanzania
Press Release
November 13, 2010

The White House
Office of the Press Secretary
For Immediate Release
November 13, 2010
Statement by the President on Elections in Tanzania
On behalf of the United States, I congratulate the people of the United Republic of Tanzania on your recent national election and your continued commitment to a tradition of multiparty contests begun in 1992. I look forward to working with President Jakaya Kikwete and the members of the Tenth Parliament as we build on the long, fruitful partnership between our nations to advance shared development goals and tackle the many global challenges before us

I also extend my congratulations to Zanzibar's President Ali Mohamed Shein, First Vice President Seif Sharif Hamad, the new unity government, and most especially the Zanzibari people, who have made history by conducting a peaceful contest after years of strife. As I said to President Kikwete when we met at the White House in 2009, the people of the United States support all Tanzanians in your efforts to institutionalize democratic, transparent governance, to realize the full potential of your Union, and to ensure that the steps you have taken together toward a lasting peace and prosperity cannot be reversed
Muandishi: MICHUZI JR Tarehe: Monday, November 15, 2010
Watanzania tunajua Kikwete si rais halali maana kasimikwa na tume ya uchaguzi kwa ushawishi wake mwenyewe. Anaweza kupongezwa au kutopongezwa. Huo ni uamuzi wa nchi husika kuamua wanavyoona.
Bado binafsi simtambui Kikwete kama rais wangu. Mungu nisaidie!
 
kama nilimsikia vizuri . Mbowe alisema muda si mrefu watatoa matokeo halisi ya uchaguzi kama yalivyo bandikwa na kusainiwa na mawakala kutoka vituo vya uchaguzi.
I hope kuwa baada ya hapo ataeleza next move. Lets be patience.
Nashauri chadema wasikawie sana kutujuza mengineyo yanayojiri.

Kuna wakati nilitaka kukata tamaa kusikia kauli za wakubwa wetu hawa (hasa mheshimiwa Presida Dr. Slaa). Hebu kamilisheni hilo sosi mtuwekee mezani waungwana maana mtutasababishia vidonda vya tumbo kwa uchu wa kungoja chakula. NAWAAMINIA WAKUU WETU
 
Hata kama CHADEMA wangemtambua,mimi sikumtambua na sitamtambua kwa miaka mitano.I said it and I repeait it again.."As for me and my family,We shall follow Dr. Slaa as our President"
 
hatua zaidi zichukuliwe na chadema,mfano operesheni PAPA/NYANGUMI.

Mukubwa Mmaroroi hapa umenena.....ila ukiachilia mbaliCHADEMA kama viongozi, na sisi kama pro-mabadiliko tunapaswa kuanza kuchukua hatua. Hapa njia ya mabadiliko itakuwa wazi kabisa kama kumsukuma.............
 
Mimi namtumbua jk. Sijapata data za kutosha kunishawishi kuwa alliba kura. Mwenye nazo alete. Tujue idadi ya watu waliopigia kura wabunge na madiwani kisha tujue idado ya waliopiga kura ya urais. Tofauiti ya kura moja hadi laki moja inakubalika. Zaidi ya laki nitatia shaka.
Namkubali jk. Lakini pia nchi hawezi pewa muhuni!!!
 
Mimi nakubaliana na tamko la chadema kwa sababu sisi sote tumeona Dr Slaa pamoja na Chadema wakiandamwa muda wote wa kampeni na hadi wakati wa uchaguzi.

Na kwa ushahidi majimbo yote ambayo Chadema imeshinda kura zilirudiwa mara mbili au tatu kabla ya kutangazwa.

Vilevile kuna baadhi ya sehemu mshindi wa pili ndio anatangazwa mbunge mfano Mvomero, Sh/Mjini, Kahama etc.

Katika hali kama hii huwezi kusema uchaguzi ulikuwa huru na haki hatakidogo.

Peoples Power
 
Ninachokiona hapa, watu wataanza kushindwa kumtofautisha Slaa na Lyatonga Mrema. Kama kweli hamtambui Rais awaambie wabunge wake wasiingie bungeni kama walivyofanya wenzao wanaume CUF 1995-2000.[/QUOT

Watu wenye akili na uelewa kama wako, sio wote. Pole:nono:
 
Kikwete ni rais wangu na wenu ninyi wote ndani ya jf, mpende msipende.
Nguvu ya umma ndio iliyomuweka madarakani
nguvu ya umma ndiyo iliyowapa ubunge wabunge 22 wa chadema

Poor thinking I think, 5 million votes out of 19 million? nguvu ya umma haikumchagua, wameshachoka na wizi hawaoni sababu tena, kitakachotokea ndio hatujui maana kama watu hawaamini kura zinaleta viongozi bora wanalo wanaloliamini, hata wewe walijua nafikiri
 
- Great post bro!, Chadema wamefanya kazi nzuri sana kwenye huu uchaguzi kwa sababu wame-expose weaknesess za uongozi wa CCM kila kona kitu ambacho kitawapa nafasi CCM kujirekebisha au huenda ukawa ndio mwisho wa empire,

- Binafsi siamini kwamba Chadema watasimamia msimamo wa kutomtambua Rais aliyeapishwa tayari, kwa sababu itaishia kuvuruga kazi kubwa na nzuri waliyoifanya tayari, kwa maoni yangu ni kwamba kwa msimamo kama huu watakuwa wanajitafutia un-necessary national political attention ambayo itawapa mwanya maadui wao kisiasa kuwaingia kati kati, kuwagawa na wataishia kufarakana kama enzi za TLP na NCCR na CUF kule visiwani

- Chadema chonde chonde wananchi tunwahitaji sana sasa kuliko wakati wowote uliopita, kumkosesha tembo usingizi huu mwendo wa kutotambuana haujakaa sawa!


William.

Ukitaka kujua watu walivyo na hasira ni Dr. Slaa atakapokosea akaitisha maandamano ya amani, watu watashangaa mamilioni ya watu watakaohudhuria. Kumkataa to me is a soft approach kwa kweli
 
Chadema kutangaza kutomtambua Rais ilhal imeshaunda KUB na itaunda serikali kivuli itakayokuwa chini ya Rais wanaemkataa na hapo hapo kwa kujua Rais ni sehemu ya Bunge hamuoni usanii hapo? Au Chadema imekuwa CCM C?
 
kweli hatumtambui Kikwete kesha anza ngebe zake anahamisha Ma RPC,na RC kwenye mikoa yote walioshinda CHADEMA hii inadhihirisha kuwa walikataa kuingia mkenge wa kunyang'anya haki za wananchi
 
Back
Top Bottom