Chagua CHADEMA upate Demokrasia na maendeleo Mtaani kwako

Chagua CHADEMA upate Demokrasia na maendeleo Mtaani kwako

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1572701584188.jpeg
 
Muhimu tunahitaji balance of power
 
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.

Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli

Asante tena kwa uhamasishaji huu.

P
 
Haya majimbo na kata zenu mlizopewa ndio mmezizika kiuchumi
CCM imeshindwa kuleta nafuu ya maisha ya wananchi kwa karibu miaka 60 , msidanganywe kwamba wataweza kwa miaka mitano .

KAMA KIBABA HAKIKUJAA NDOO HAIWEZI KUJAA
 
Asante Sky Eclat kwa uhamasishaji, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa wameisha jua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
P

Hana lolote

Alihamasisha watu tusijiandikishe Leo anataka chadema wapigiwe Kura.
Huu ni uwandawazimu wa sisi wapinzani,

Nimekumbuka tu mwaka 2010 jioni baafay ya upigaji Kura vijana walikuwa road wakitangaza wameshinda...huku vidoleni hawana alama ya wino.
 
CCM imeshindwa kuleta nafuu ya maisha ya wananchi kwa karibu miaka 60 , msidanganywe kwamba wataweza kwa miaka mitano .

KAMA KIBABA HAKIKUJAA NDOO HAIWEZI KUJAA
Vipi wewe utapiga kura? Ulienda kujiandikisha?
 
Yaani kuwaelewa ninyi viumbe kazi sana, hili hili liloleta mada leo kuhamasishana upigaji kura, wiki chache nyuma alikua akihamasisha watu wasiende kujiandikisha 😂😁😂 Dah nyumbu ni nyumbu

Mtaangukia pua vibaya sana uchaguzi huu na mtasingizia mnaibiwa
 
Back
Top Bottom