Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,166
- 1,075
Chagua CCM kwa maendeleo ya kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo upige kura dada yangu! Lakini umejiandikisha?
Ila mwambie rais hajafa.Uko vizuri madam Sky Eclat
Si mmesema uandikishaji ni zaidi ya 19m na ni asilimia zaidi ya 90%?Pascal Mayalla kama hao nyumb wako hawakujiandikisha na walikuwa wanahamasishana kutojiandikisha sasa nani atawapigia kura? Wewe pekee yako zitatosha?
Endelea kuota mkuu!Si mmesema uandikishaji ni zaidi ya 19m na ni asilimia zaidi ya 90%?
Sasa asilimia 90% ni wanaccm?
Halafu usilojua ni kuwa wanachama wengi wa CCM hawawapi watu wenu wa mtaani kwani wanawajua kwa rushwa na bongo ni kama uji na mgonjwa.
Hebu kubali kuchosha brain yako! Unadhani kwa nini watendaji nchi nzima ni vituko tuu? Kujificha, kutokutoa fomu, figisu figisu kila kona na aibu nyingine?Endelea kuota mkuu!
Mkuu leo unaonekana umekata tamaa wkt hauko ulingoni,kwanza huwa siamini kama kuna mtu alieandaliwa wkt mtu huwa anajiandaa lkn haya mengine huwa ni mbinu za kiushindi..laiti kama msingekuwa hamuwakatishi tamaa watu kwani kila mtu anaona na anajua kinachoendelea ktk nchi hiz labda awe mtoto.....Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu jumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
Hiki chama kilikufa kitambo ,wanaogopa hata kugombea wanaona aibu
We kunya tu si ushazoea kujinyea.Mkipata hata kiti kimoja ktk ngazi yoyote nakunya mpaka ikulu
Nikishauri wewe bibi ukalale tu
Viva Magufuri, Shime CCM
Safari hii helokpta na ndege za Lowasa haziko hewan kutangaza wagombea chadema safari mtakoma Lowasa ndiye aliwapaisha.Mnaishia internet cafe kutengeneza matangazo
Mlizuiwa kujiandikisha, asilimia 80 ya waliojiandikisha ni wana ccm msitegemee ushindi sana mtaanza kusema kura zimeibiwa kumbe watu wwnu hawajapiga kura
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
Mlizuiwa kujiandikisha, asilimia 80 ya waliojiandikisha ni wana ccm msitegemee ushindi sana mtaanza kusema kura zimeibiwa kumbe watu wwnu hawajapiga kura
It doesn't matter watajitokeza wangapi, kwasababu matokeo hayatokani na votes casted but the votes counted, na sikuzote, zisipotosha, zinatosheshwa, at the end of the day, the end result justifies the means and the winner takes it all and the loser standing small, watu wanahamasishwa wasijitokeze, CCM inapata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9%, halafu nyie ndio wa kwanza kulalamika kuwa the election was not free and fair.Kwa taarifa yako watanzania tunaojitambua hakuna atakayejitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Chini ya awamu hii ya tano box la kura ni sehemu ya kuonea ujinga wa mtu mweusi. Kutaka kudhibitisha watu wanajitambua, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo kupata kutokea.
Una ushahidi wa unachokisema? Umesahau uliitwa bungeni?? Sasa hutaitwa tena!!It doesn't matter watajitokeza wangapi, kwasababu matokeo hayatokani na votes casted but the votes counted, na sikuzote, zisipotosha, zinatosheshwa, at the end of the day, the end result justifies the means and the winner takes it all.
P.
Hiki chama kilikufa kitambo ,wanaogopa hata kugombea wanaona aibu