Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laiti ungalijua, it's only God knowsNyie ambao mko kwenye ufalme hatuna tatizo na nyie maana mnapigania mlo, na wala hatungoji ushawishi wenu, kuleni na kusaza lakini hatuna muda wa kushiriki chaguzi za kishenzi.
Helikopta za kabla zilikuwa za dk.Slaa na wafadhili wake wazungu ambao baada ya kuondoka hazipo za dk slaa Wala za Lowasa na Mbowe hana wafadhili wenye helikopta za kumpa wawe wa ndani au nje
Laiti ungalijua, it's only God knows
Mimi niko sekta binafsi, na hii ndio situation wetu
Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer
Wanabodi Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ya Magufuli, ambayo umekuwa ukikua kwa asilimia zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, ukuaji huu is not reflected kwa Watanzania wa hali ya chini ambao ndio walio wengi, tunaelezwa uchumi unakuwa, na ripoti ya juzi juzi ya UNDP inaeleza kiwango cha...www.jamiiforums.com
P
We uteuzi hupati ng'oooAsante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
Kuleta hadithi za Lowassa ni sawa na kujidhalilisha bureSafari hii helokpta na ndege za Lowasa haziko hewan kutangaza wagombea chadema safari mtakoma Lowasa ndiye aliwapaisha.Mnaishia internet cafe kutengeneza matangazo
Duh!. Mkuu Tindo, maneno makali sana haya ila ni ukweli mtupu japo ni mchungu, one thing which is not true ni ile ya "kiupendeleo", sio kiupendeleo bali ni juhudi tuu.Ni hivi Paschal ww uko 50+, na hata uandishi wako inabidi uandike hivi na ukizingatia uko na verified user sikulaumu sana. Haya ninayoongea ya katiba mpya na tume huru kwako ni ndoto na huna muda tena wa kungonja kwani umebakiza miaka michache kufika 60, miaka ya kulea wajukuu na kupambana na kisukari, ndio maana unasema tutasubiri sana ukiamini upinzani ni lazima uwe chini ya cdm au chama chochote cha siasa, hivyo kwako 2020 ni mwisho wa upinzani.
Hii post uliyoileta hapa kuonyesha financial status yako chini ya Magufuli, ni kutaka tu uonyeshe na ww sio sehemu ya wafaidika wa awamu hii. Ila ni wiki iliyopita tu ulikuwa kwa Anthony Mtaka na ukapata Airtime Star TV, ungekuwa kweli uko kinyume hata huo mwaliko wa Mtaka usingepata. Isitoshe huenda chini ya awamu hii hujala shavu kama awamu zilizopita, ila ni ukweli usioacha shaka ww ni mmoja ya watanzania mliokula keki ya taifa hili, kihalali na kiupendeleo. Hivyo una haki ya kulia sasa maana hauko kwenye eneo ulilozoea, sisi wenzako hatujawahi, ndio maana hatuwezi kuuma na kupuliza kama ww. Kwa nafasi yako unaweza kushabikia huu uhuni unaondelea katika box la kura hivi sasa, kwani historia yako pia ww ulifaidika na mifumo mibovu ya utawala wa nchi hii.
Duh!. Mkuu Tindo, maneno makali sana haya ila ni ukweli mtupu japo ni mchungu, one thing which is not true ni ile ya "kiupendeleo", sio kiupendeleo bali ni juhudi tuu.
The law of the jungle ina kanuni zake and you are free to choose in between to join them and keeping on living or stick to your guns and perish, I've chosen to live.
Please soma tarehe ya bandiko hili uangalie niliamua lini na kwa nini?.
PElections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Wanabodi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli...www.jamiiforums.com
Chadema hawakujianda kwa huu uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji.Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
Chadema hawakujianda kwa huu uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji.
Watu tumetofautiana uoni, in terms of point of views, magnitude na distance of vision, wengine uwezo wao ni kuona hadi mwisho wa pua zao, na wengine miaka 10 mbele, wengine hadi miaka 100 mbele.Nakubaliana na maelezo yako ili mjadala uendelee na siku zisonge, ila kiukweli Paskali ww sio sehemu ya mabadiliko ya kweli, hasa kwa kigezo za historia yako na umri wako wa sasa. Ww baki ukishabakia chaguzi za hujuma kwa usalama wa maisha yako na sehemu ya mlo wako. Acha wale ambao tumeamua kusimamia mabadiliko ya kweli, hata tusipoyapata sasa watayapata watoto wetu, lakini huko kwenye mfumo wa chama kimoja hatutorudi, ni kama waisraeli kurejea utumwani Misri.
Bora Tukuachie Wewe, Chadema wenyewe hawapendi kuambiwa ukweli huu. Ukipandisha uzi wowote kuzungumzia mapungufu ya Chadema, wanakuwa wakali na kukushukia kama mwewe.Chadema hawakujianda kwa huu uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji.
Watu tumetofautiana uoni, in terms of point of views, magnitude na distance of vision, wengine uwezo wao ni kuona hadi mwisho wa pua zao, na wengine miaka 10 mbele, wengine hadi miaka 100 mbele.
Kwa mtazamo wangu, upinzani huu uliopo mwisho wake ni 2020, tutakaa mapumziko ya miaka 5 hadi Magufuli atakapoondoka 2025, ndipo ujenzi wa upinzani stanza tena mdogo mdogo, hivyo uchaguzi mwingine wa vyama vingi ni 2035.
P
Kuwapigia kura Chadema ni sawa sawa na kutumbukiza mkate chooni... Baada ya Mwaka unasikia amejiuzulu uanachama na kuhamia CCM kuunga mkono juhudi... Ni bora kuwapigia CCM kabisa
Haya kama ni kwa Watanzania hawa hawa wenye utii wa ukondoo, na wengine waoga kama kunguru, ... ok, ngoja tusubiri, ila wale waona mbali, tumeisha ona na kufanya maamuziMkuu huenda macho yako yanaona kwenye ushindani wa vyama tu, kana kwamba viongozi wote duniani hupatikana kwa box la kura tu. After all hatujali ushindani wa vyama pekee kwani siasa inaweza kufanyika bila hata uwepo wa hivyo vyama. Usichojua ukiua mfumo rasmi wa ushindani utaanzisha mfumo usio rasmi wa ushindani. Umma unaweza kufanya upinzani bila hata kutegemea platform za vyama vya siasa, vyama vya siasa ni platform rasmi. Subiri tu utajionea aina mpya ya siasa za upinzani bila vyama vya upinzani.
Bora Tukuachie Wewe, Chadema wenyewe hawapendi kuambiwa ukweli huu. Ukipandisha uzi wowote kuzungumzia mapungufu ya Chadema, wanakuwa wakali na kukushukia kama mwewe.
Nisome hapa,
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...www.jamiiforums.com
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!
wewe unaishauri chadema kama nani?Kumbe wewe hunijui?!. Basi kwako na wengine wasionijua, mimi ndiye ninayetoa fedha zangu mfukoni, kuigharimia Chadema kujiendesha!, hivyo nina mamlaka yote 100% kujua kila kitu Chadema inachofanya!. Paskaliwww.jamiiforums.com
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
Wanabodi, Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho kimefanywa mchana kweupe, tena akiwa kwenye eneo ambalo ni secure area!, maeneo ya waheshimiwa, ambayo...www.jamiiforums.com
P
Haya kama ni kwa Watanzania hawa hawa wenye utii wa ukondoo, na wengine wagon kama kunguru, ... ok, ngoja tusubiri, ila wale waona mbali, tumeisha ona na kufanya maamuzi
PWanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com