infinix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 2,096
- 2,150
Mwana haramu wewe unawezaje kuwa mwanachama?
Muondoeni kwanza "malkia" mbowe
* Demokrasia ianzie mlangoni kwenu
* Acheni udikteta wa kuibaka demokrasia
* Nafasi ya mwenyekiti iende sasa kwa mtu mwingine
* wabunge viti maalum watoke na kusini pia
Wanachama tufafanuliwe haya kwanza